Una uhakika?Chadema ni mabingwa Wa kutengeneza matukio. Wameambukiza na ACT
Mwambieni huyo mpuuzi kuwa hapa ni Zanzibar na Lori mbili zilizojaza jura zilizopigwa mgombea wa CCM zimekamatwa baada ya kiroba kuangushwa kutoka mojawapo ya Lori na mtu asiyependa dhuluma. Wamebumbulika na kuumbuka vibaya. Imagine Lori mbili zimejaza kuraMwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema Tume hiyo haijapokea taarifa za uwepo wa kura feki katika majimbo ya Kawe, Pangani na Kigoma.
Amewataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura katika muda huu mchache uliobaki.
Wamelewa madarakaIna maana hata zile clips yeyehajaziona? Anataka ushahidi wa Aina gani?
Watanzania tunawaamini. Wew na Chadema yako ndiyo haiaminiwi kwa uongo wenu wa siku zoteNani atawaamini hawa?
Tunawapuuza NECCCM Tumeccm kwa kuzani Watanzania ni wajinga kama waoAmewataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura katika muda huu mchache uliobaki....
Segerea sio kitisho mshamba weweKaribu segerea