3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
We ropokaMnagawania hapa jf?
Time is out my friend! Amsterdam kashapigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ropokaMnagawania hapa jf?
Time is out my friend! Amsterdam kashapigwa
Uzalendo ni kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji kuwapi risasi wapinzani?Habari nzuri sana kwa sisi Wananchi wazalendo
Magufuli ni kiongozi mzuri sana kuwahi kutokea mpenda na msimamia haki...
💛 💚 💛 💚 💛
Subiri matokeo utajua watanzania wako upande wa nani. CHADEMA bado sanaWatanzania wa wapi unawasemea? au watanzania wa hapo unaposhinda ukivuta Bangi? uongo uonevu unyanyasaji vipo CCM
Kura wamepiga lakini NECCCM Tumeccm wana kura zao mifukoniUpinzani wa mitandaoni tangu lini ukachukua nchi?
Vijana hawakujitokeza kabisa kupiga Kura!!
Kosa kubwa walilolifanya hao waliozikamata kura feki ni kule kuzichoma moto. Wangeliwapa wagombea wao ili wazifikishe polisi au kuwa nazo na kuzionyesha kwa waandishi wa habari.Ina maana hata zile clips yeyehajaziona? Anataka ushahidi wa aina gani?
Hii mbeleko sasa Too much! Mwenyekiti kahaidiwa nini na watawala?
Hakuna watanzania wamemchagua magufuli zaidi ya NECCCM Tumeccm kuiba kura na uchakachuajiSubiri matokeo utajua watanzania wako upande wa nani. CHADEMA bado sana
Mtukufu magufuli kuchaguliwa na NECCCM Tumeccm na Polisiccm siyo watanzaniaNec waache usenge..nyaji
Na beberu hatutishi nyie vibaraka wa mashogaSegerea sio kitisho mshamba wewe
Kwa nini mlitia 'timu yenu' kwenye uchaguzi huu wakati mnajua wasimamizi wa uchaguzi ni hawa?Nani atawaamini hawa?
Inatakiwa ifanyike nini au itumike njia gani ili ziwasilishwe tume? Je Wananchi wanatakiwa wafanye nini ili tume ikubali uwepo wa Kura fake?Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema Tume hiyo haijapokea taarifa za uwepo wa kura feki katika majimbo ya Kawe, Pangani na Kigoma...
Uzalendo ni kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji kuwapi risasi wapinzani?
Hata akiziona mtuhumiwa atakuwa yule aliyezishika "kwa kuvuruga uchaguzi!"Ina maana hata zile clips yeyehajaziona? Anataka ushahidi wa aina gani?
Wadhani zile asilimia wanazojitapa nazo zitakujaje?NEC walijitamba kwa mara ya kwanza tunagharimia uchaguzi kumbe wanagharimia wizi tu ni aibu
Mbona kazima internet., labda mungu Wa wale waganga 900Habari nzuri sana kwa sisi Wananchi wazalendo
Magufuli ni kiongozi mzuri sana kuwahi kutokea mpenda na msimamia haki
tano tena kama kawa, Tanzaniainaendeda kushangaza dunia tena
Chaguo la Mungu
💛 💚 💛 💚 💛