Nikishamaliza kupiga Kura yangu basi tena, kama hazitatosha Kwa niliyemchagua, shauri yake!
Siwezi kuacha usingizi wangu Kwa ajiri yake, siwezi kujitaabisha tena Kwa lolote Kwa ajiri yake!
Akiona ameibiwa, mahakama IPO, aende huko
Ya nini kujipa tabu nyingine baada ya kupiga Kura?
Huo nimsimamo wangu Paul Sylvester
Eti nikaandamane! Kwangu huo ni upumbavu na ujinga na pia ni kuonesha uzembe wa kazi,
Tunawawakilishi kibao bungeni wa vyama mbalimbali, Kwa nini wasipiganie tume huru humo bungeni?
Kwa nini wasitupiganie kutuletea katiba humo bungeni?
Wakome kutujua baada ya kupiga kura