Uchaguzi 2020 NEC: Hatutaruhusu mtu kukaa mita 100 kusubiri matokeo ya uchaguzi

Uchaguzi 2020 NEC: Hatutaruhusu mtu kukaa mita 100 kusubiri matokeo ya uchaguzi

Nikishamaliza kupiga Kura yangu basi tena, kama hazitatosha Kwa niliyemchagua, shauri yake!

Siwezi kuacha usingizi wangu Kwa ajiri yake, siwezi kujitaabisha tena Kwa lolote Kwa ajiri yake!

Akiona ameibiwa, mahakama IPO, aende huko

Ya nini kujipa tabu nyingine baada ya kupiga Kura?

Huo nimsimamo wangu Paul Sylvester

Eti nikaandamane! Kwangu huo ni upumbavu na ujinga na pia ni kuonesha uzembe wa kazi,

Tunawawakilishi kibao bungeni wa vyama mbalimbali, Kwa nini wasipiganie tume huru humo bungeni?

Kwa nini wasitupiganie kutuletea katiba humo bungeni?

Wakome kutujua baada ya kupiga kura
Sawa sisi tutailinda kura yako kwa niaba ila nashukuru kwamba umetimiza wajibu wako wa kupiga hapo hongera!!
 
Mimi Francis John Njewike mpiga kura kituo cha TIA uhasibu karibu na kambi ya twalipo nitalinda hakuna mwanajeshi hapo kambini anaipenda Ccm .
Hivi wakikudaka wakakubana korodani na koleo utasema wamekuonea hao askari?
 
Hivi wakikudaka wakakubana korodani na koleo utasema wamekuonea hao askari?
Pilipili usiyoila yakuwashia nini! Ebu achana na Mimi! Ushauri wako peleka Lumumba! Kukamatwa nchi hii kwani nitakuwa wa kwanza!.
 
Nyie NEC hata mseme watu wakae mita 2900 yaani mwaka huu uhuni wowote mtakaojaribu kupindisha sheria na kanuni za uchaguzi ili CCM wafaidike...wote hatutakwenda makazini...na supermarkets.

Tutacheza rumba pamoja!!
 
Nyuma ya keyboard hadi Mayweather hafui dafu kwa wengi wenu
BUSH BIN LADEN kamwe usidharau key board hata siku moja. Keyboard warriors ndiyo wanaleta mapinduzi duiani. Enzi za kutumia bunduki kuondoa tawala dhalimu duniani zilikuwa kwenye 1960s - 1990s. Siku hizi unaondoka kwa social media kama alivyoondoka Ben Ali wa Tunisia au Mubarak wa Egypt au Omar Bashir wa Sudan.

Endelea kutudharau lakini ujue Magufuli yuko tumbo moto na anaogopa sana internet
 
Mimi nyumbani kwangu in MITA 10 toka kituo cha kupigia kura. Sasa nikipiga niende wapi maana hairuhusiwi kuwa ndani yab mita 100?
 
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu ambaye atakuwa tayari kuharibu amani ya nchi yake kwa masirahi ya kibaraka wa wazungu lissu
Wewe na wenzio mnaokataa uhuru, haki na maendeleo ya watu; na kumng'ang'ania sera za Jiwe mkandamizaji, ndio vibaraka.
Kwa miaka mitano ya giza, mmeharibu nchi na taifa letu kwa unafiki wenu wa kusifia na kujivunia maovu kwa waTz wengine.
Ni aibu kubwa ...'eti mko tayari kuendelea kuiharibu nchi hii'.
SASA BASI
 
Wana uwezo gani wa kutuzuia?

Wana nini wao Kama Nani ? Tena hatukai mita mia tunakaa nje ya kituo mpaka kieleweke.

Yaani tukiamka tarehe 28 asubuhi haturudi ndani mpaka Lissu atangazwe ..

Sheria inasema watu wanaweza kukaa mita mia halafu wenyewe wanaleta bla bla..

Wajaribu kuzuia nguvu ya umma mwaka huu waone Kama wataweza mwaka huu hatuna mchezo kabisa na uchaguzi..
Ongelea kukaa humu JF, huna lolote bangi tu hizo zinakusumbua. Siku 6 kuanzia leo sio nyingi kaa ukione cha moto.
 
haya siyo maagizo ya the so called tume, ni maagizo ya mmoja wa wagombea hawa tume wanatumika kama domo la kupigia kelele tu.
 
Ongelea kukaa humu JF, huna lolote bangi tu hizo zinakusumbua. Siku 6 kuanzia leo sio nyingi kaa ukione cha moto.
Eti kaa ukione cha moto uoga huo peleka Lumumba, huyo Lumumba mwenyewe hakuogopa kukamatwa na kuteswa!Lazima tuweke misingi ya serikali kuheshimu sanduku la kura, sio maneno ya kejeli kama ya mama Samia.
 
Eti kaa ukione cha moto uoga huo peleka Lumumba, huyo Lumumba mwenyewe hakuogopa kukamatwa na kuteswa!Lazima tuweke misingi ya serikali kuheshimu sanduku la kura, sio maneno ya kejeli kama ya mama Samia.
Kwa nini wewe usijaribu. Popote pale hapa duniani kuna taratibu kama ukishindwa kufuata sheria kwa nini wewe usiwe wa kwanza unatuma wenzako? Kazi kujazana ujinga badala ya kufanya kazi.
 
haya siyo maagizo ya the so called tume, ni maagizo ya mmoja wa wagombea hawa tume wanatumika kama domo la kupigia kelele tu.
Hama nchi kwani umelazimishwa kuishi Tanzania? There is a free world out there to be explored!
 
ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema hakuna mtu yeyote atakayeruhusiwa kukaa mita 100, kusubiri matokeo ya uchaguzi
Kama Sheria inaruhusu, waache tu watu wafanye watakayo. Vinginevyo watasababisha shida isiyo ya Lazima.

Tz tuna amani wasitake wao wawe mwanzo wa vurugu.

Kwangu Mimi naona Ni swala Rahisi Sana.
Kama mtu havunji Sheria( wote wananchi wenye dhamana halisi, watawala na Chama tawala Cha Sasa, vyama vya Upinzani pia) kwa nini kusumbuka. Mbona Kuna njia Rahisi ya kutimiza majukumu bila lawana na ukabaki na heshima.

Mwisho wa siku wote tukifuata Sheria tutabaki kuwa nchi yenye heshima na amani. Tukatunza heshima na legacy yetu ya kuwa nchi ya mfano.

Wanachi wasikilizwe tu. Sababu mwisho wa siku hata vyombo vya usalama na vya kulinda amani huwa upande wa Wananchi.
Kama Ni kweli kasema hivyo, inapaswa afahamu Hilo.
 
Back
Top Bottom