Uchaguzi 2020 NEC: Hatutaruhusu mtu kukaa mita 100 kusubiri matokeo ya uchaguzi

Uchaguzi 2020 NEC: Hatutaruhusu mtu kukaa mita 100 kusubiri matokeo ya uchaguzi

Kwa nini wewe usijaribu. Popote pale hapa duniani kuna taratibu kama ukishindwa kufuata sheria kwa nini wewe usiwe wa kwanza unatuma wenzako? Kazi kujazana ujinga badala ya kufanya kazi.
Asante kwa ushauri japo wa kijinga Lakini naupokea!
 
Hata wapige kelele kura zitalindwa tu kwa figiso hili la mawakala 'no hate no fear'
Ukipiga kura Linda kura yako, Mh Sugu Uyole Mbeya 2020.Kazi ni moja tu ukipiga kura ilinde!
 
Back
Top Bottom