NEC igeni Mfano wa IEBC ya Kenya

Kwa taarifa yako, vyombo vya habari vilisitisha kutangaza matokeo siku tatu kabla ya matokeo ya mwisho kutangazwa. Kwa hiyo pointi yako haina uzito, hasa ukijua ni kwa nini walisitisha.
Lakini walitangaza japo kdgo
 
Tume hii hii ambayo ndani ilikuwa na magenge yaliyolanguliwa na kila upande?????

Hapo labda tume yetu ikaongeze uhuni tu hakuna la maana la kujifunza.
 
Tatizo ni kuwa NEC siyo huru..
Wizi, hila, uhalifu na uchakachuaji unaotekelezwa na NEC huwa ni maelekezo kutoka juu
 
Mahela huyuhuyu anaesema wananchi wanataka maji
 
Nina wasiwasi kama kweli hii tume ilikuwa huru. Mwenyekiti wa tume Chibukati kabla ya kutangaza matokeo kulikuwa na mikiki mingi. Kati ya wajumbe 7 zaidi ya nusu hawakukubaliana na hayo matokeo kwa sababu ya irregularities lakini akaamua kutangaza bila makubaliano na wenzake ambao ndo wengi include makamu wake. Kwa maana hiyo hiyo tume pia ilishaingiliwa na haikuwa huru. Lakini nami niwasifu kwa uwazi walioonyesha lakini nadhani kulikuwa na shida kwenye verification ndo maana kuna Afisa mmoja mpaka sasa hajulikani alipo.

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Reactions: F4B
Raila sijui ana hali gani hapo alipo!
Kenya hawatakagi ujinga !
 
Tume hii hii ambayo ndani ilikuwa na magenge yaliyolanguliwa na kila upande?????

Hapo labda tume yetu ikaongeze uhuni tu hakuna la maana la kujifunza.
La kujifunza ni kwamba hata chama ambacho hakipo madarakani mgombea wake wa URais akishinda atangazwe kwamba ameshinda !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…