Naamuuua, mkuu wewe ni mnyonge,?Beberu, beberu, beberu, beberu, beberu, beberu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamuuua, mkuu wewe ni mnyonge,?Beberu, beberu, beberu, beberu, beberu, beberu,
Lipia tu itakuonesha mwanzo mwisho. Hata CCM wamelipia hiyo live coverage.Hivi TBC ni Tv ya CCM au ya umma?
Hivi inakuwaje pesa za walipa kodi zinafanya mambo ya chama tawala tu inashindwa kufanya mambo ya vyama vingine...
Huu ndio uhuni anaousema Tundu Lissu Kila siku.
Pesa za umma kutumika pasipo ridhaa ya Wananchi.
Ni jambo jemaMhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli arejesha fomu za kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Njedengwa Jijini Dodoma. Ameongozana na Mgombea Mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan.
M/kiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa amemteua Dkt. John Pombe Magufuli kuwa mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mama Samia Suluhu kuwa mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais kupitia CCM na kukabidhiwa seti za fomu na nyaraka muhimu kuwa kumbukumbu kwao.
Hakika mkuu!Ni jambo jema
Mwaka huu wakiiba kura tu nitahakikisha kabla sijafa mimi nimekata vichwa siyo chini ya 20 vya nzi wa kijani!Magufuli ajitoe tu Kwenye Uchaguzi wa mwaka huu sababu hatashinda Uchaguzi na akilazimisha Nchi itaingia katika machafuko ya kisiasa na hatimae waburuzwe mahakamani kwa uhalifu dhidi ya binadam.
Akifikisha kura milioni 3 urudi hapa unikumbusheYapo mambo umeyatenda vizuri katika kutimiza wajibu wako, lakini pia yapo mengi hakika umeharibu sana na kikatiba na kidemokrasia tunapaswa kukuachisha kazi na kuajiri mwingine na sio dhambi....
Hakika Magufuli hafikishi hizo ndio maana mikwara mingiAkifikisha kura milioni 3 urudi hapa unikumbushe
Anzeni kwanza kukarabati lele gofu la ufipa.Tutang'oa vyuma vyote vya reli na kuviuza ghafi pamoja na ndege kulipia fidia ya dhuluma kwa kila mtanzania aliyepata 2015-2020 kutoka kwa mkoloni mweusi.
Magonjwa Mtambuka Saguda47
Na yule mgombea mwenza wake, labda wavae suti za mkeka!!Hiyo live coverage inaendelea hadi kwa Lissu?