Uchaguzi 2020 NEC isipomuengua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, Muungano utasalimika?

Uchaguzi 2020 NEC isipomuengua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, Muungano utasalimika?

I agree with you partly. Nzanzibar is the major worry for CCM. Lakini nasmini pia kama TUME ikifanya kazi ya TUME na siyo kufanya kazi ya ccm kama ambavyo imekuwa inafanya miaka yote, inawezekana kabisa Tundu lisu akashinda.
Wawe huru na wahesabu kura Kama zilivyopigwa na wasitumie nafasi yao kuwazuia wapinzani kupita. Wasiwasi wangu, ambao naamini Niko sahihi Ni kwamba time yetu hii haiwezi kamwe kuwa huru na kutenda Haki, kwani Hawa Ni waajiriwa was CCM.
Sijui huwa mnakwama wapi....yaani chama tawala kikongwe kishindwe uchaguzi hapa Africa?...kama ndiyo mimi rais ningeivunja hiyo tume ya uchaguzi....swali rahisi...Hivi Lissu akichukua nchi niambie kama ana timu ya kuongoza nchi.....nani waziri mkuu? nani spika?etc mi sina chama lakini sipatani na haya mambo ya mkumbo na jazba
 
wali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama.

Ama hili la Muungano ni wewe unasema tu kuwa hautakuwa Salama.
Yaani unataka kutuaminisha kuwa CCM ndio Muungano Na Muungano ni CCM? bila ya wao hakuna Muungano?

Mimi naona si vyo hivyo bali Muungano ni jambo la kikatiba.
Maalim Sefu hatoweza kuvunja katiba kirahisi hiivyo.
Nenda kawadanganye CCM wenzako vijijini uwongo wako huu.
Kuhusu Lisu na Maalim kuusemea Muungano kuwa ni Ukoloni , hii ni CCM ndiyo wanvyougeuza Muungano kinyume na Ktiba.
Kwa kuwa CCM huwa hawafuati katiba wala Sheria.

Nifuatilie kwa makini nitakuweka sawa.
 
NEC isipomuegua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, muungano utasalimika?


Na, Robert Heriel

Jambo kubwa linaloendelea katika vichwa vya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa ni pamoja na Tundu Lisu kupenya NEC. Hofu kubwa ipo miongoni mwa wafuasi wa Mgombea huyo wa CHADEMA wapo katika fukuto la wasiwasi kwa mgombea wao kuenguliwa. Pengine ni hofu ya uzushi kuwa Tundu Lisu ataenguliwa, lakini pengine sio uzushi bali ni jambo halisi kutoka kwa vyanzo walivyonavyo CHADEMA.

Tundu Lisu naye siku ya jana tarehe 23/08/2020 alielezea hofu yake ya kuenguliwa na NEC kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA. Je hii ni njama na hila za CCM kuhakikisha Tundu Lisu hatoboi? Je, ni kwa nini njama hii itumike? Je, CCM wanaogopa kushindwa na Tundu Lisu? Lakini Maswali haya yanaweza yakamezwa na swali moja; kwani NEC ni CCM? Jibu, ni hapana. Kama NEC sio CCM Kwa nini Tundu Lisu aogope kukatwa? Labda tuseme kuwa Huenda CCM inamkono wake Huko NEC, Lakini nani ataweza kuthibitisha hayo? Je matendo ya NEC ni kiashiria cha hofu kwa Lissu?

Binafsi naamini kuwa Tundu Lisu hata apewe nafasi ya kugombea Urais kamwe hataweza kushinda, ingawaje anaweza kufurukuta na kujipatia kura nyingi tuu. Niliwahi kusema siku 60 ni nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa kushawishi watu kama Tundu Lissu. Naufahamu uwezo wa Lisu katika kujenga hoja.

Kwa muono wangu, CCM hawana hofu na Tundu Lissu kushindwa, bali wanahofu ya kushindwa huko visiwani Zanzibar. Jicho langu linaniambia kuwa Tundu Lisu atapata 40% za kura huku Mhe Rais aliyemadarakani John Magufuli akipata kura 50%. Hata hivyo hilo ni jicho langu na linategemea na usawa katika mchakato wa uchaguzi. Jicho langu linaniambia kuwa hofu ya CCM ipo Zanzibar zaidi kuliko Bara.

Ili CCM iendelee kuwepo Zanzibar itabidi Tundu Lissu aenguliwe hivi Leo 25/08/2020. Kwa muono wangu, ACT- WAZALENDO itachukua Zanzibar licha ya kuwepo kwa Figisu Figisu. Maalimu Seif ananafasi kubwa ya kushinda huko Zanzibar, atakachohitaji na Backup kutoka bara ambayo ataipata kwa Tundu Lissu na Zito Kabwe.

Kutokana na Tabia ya Msimamo wa Tundu Lissu, kama hataenguliwa, najua atakubali kushindwa hiyo october 28 kama atakuwa ameshindwa halali na atashindwa halali. Lakini atampa nguvu Maalimu Seifu ambaye ataibuka kidedea huko Zanzibar.

Na ikiwa CCM itakuwa imepoteza Zanzibar ni wazi kuwa yatakuwa maandalizi ya 2025 kutolewa huku bara. Njia rahisi wanayoweza kuitumia Wapinzani ni kuiondoa CCM Zanzibar kwani kule ndio rahisi kutokana na udogo wa eneo na uchache wa watu. Kisha waje waiondoe huku bara.

Swali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama. kulingana na viongozi wa Upinzani wanaogombea mwaka huu kote bara na visiwani. Tundu Lissu niliwahi kumsikia akizungumzia suala la Muungano alipokuwa akihutubia huko Zanzibar. Maneno yake nayakumbuka kiasi, ni kama alikuwa akiwaambia Wanzanzibar wanatawaliwa na Wabara, hivyo wanatakiwa wajikomboe. Lakini Pia ukimuangalia Maalimu Seif yeye naye anamsimamo wa namna hiyo ingawaje hapendi kuuonyesha.

Seif anachoshindwa mara nyingi kwenye uchaguzi huko Zanzibar ni Backup kutoka Bara. Mwaka 2015 hakupata Backup nzuri kutoka kwa Edward Lowasa, hii ni kutokana na tabia ya upole wa Lowasa wa kumuachia Mungu. Lakini mwaka huu, Tundu Lissu na Zito Kabwe watampa Backup ya kutosha endapo atashinda.

Nina uhakika CCM hawana Hofu kubwa na Tundu Lissu kushinda bara kwani wanajua hatashinda, lakini hofu ipo visiwani.

Muhimu: NEC izingatie haki kwa kila mgombea, asiwepo wa kuonewa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwani kabla ya mungano siilikua Zanzibar IPO na Tanganyika ipo na watu walikua wakifanya shuhuli zao kwa nafasi
 
Ama hili L muungano niwewe unasema tu kuwa hautakuwa Salama.
Yaani unataka kutuaminisha kuwa CCM ndio Muungano Na MUUngano ni CCM bila ya wao hakuna Muungano?

Mimi naona si vyo hivyo bali Muungano ni jambo la kikatiba.
Malim Sefu hatoweza kuvunja katiba kirahisi hiivyo.
Nenda kawadanganye CCM wenzako vijijini uwongo wako huu.
Kuhusu Lisu na Malim kuuwemea Muungano kuwa ni Ukoloni , hii ni CCM ndiyo wanvyougeuza Muungano kinyume na Ktiba.
Kwa kuwa CCM huwa hawafuati katiba wala Sheria.

Nifuatilie kwa makini nitakuweka sawa.


Mkuu utanielewa uchaguzi ukimalizika. Kwa sasa tubaki watazamaji
 
NEC isipomuegua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, muungano utasalimika?


Na, Robert Heriel

Jambo kubwa linaloendelea katika vichwa vya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa ni pamoja na Tundu Lisu kupenya NEC. Hofu kubwa ipo miongoni mwa wafuasi wa Mgombea huyo wa CHADEMA wapo katika fukuto la wasiwasi kwa mgombea wao kuenguliwa. Pengine ni hofu ya uzushi kuwa Tundu Lisu ataenguliwa, lakini pengine sio uzushi bali ni jambo halisi kutoka kwa vyanzo walivyonavyo CHADEMA.

Tundu Lisu naye siku ya jana tarehe 23/08/2020 alielezea hofu yake ya kuenguliwa na NEC kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA. Je hii ni njama na hila za CCM kuhakikisha Tundu Lisu hatoboi? Je, ni kwa nini njama hii itumike? Je, CCM wanaogopa kushindwa na Tundu Lisu? Lakini Maswali haya yanaweza yakamezwa na swali moja; kwani NEC ni CCM? Jibu, ni hapana. Kama NEC sio CCM Kwa nini Tundu Lisu aogope kukatwa? Labda tuseme kuwa Huenda CCM inamkono wake Huko NEC, Lakini nani ataweza kuthibitisha hayo? Je matendo ya NEC ni kiashiria cha hofu kwa Lissu?

Binafsi naamini kuwa Tundu Lisu hata apewe nafasi ya kugombea Urais kamwe hataweza kushinda, ingawaje anaweza kufurukuta na kujipatia kura nyingi tuu. Niliwahi kusema siku 60 ni nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa kushawishi watu kama Tundu Lissu. Naufahamu uwezo wa Lisu katika kujenga hoja.

Kwa muono wangu, CCM hawana hofu na Tundu Lissu kushindwa, bali wanahofu ya kushindwa huko visiwani Zanzibar. Jicho langu linaniambia kuwa Tundu Lisu atapata 40% za kura huku Mhe Rais aliyemadarakani John Magufuli akipata kura 50%. Hata hivyo hilo ni jicho langu na linategemea na usawa katika mchakato wa uchaguzi. Jicho langu linaniambia kuwa hofu ya CCM ipo Zanzibar zaidi kuliko Bara.

Ili CCM iendelee kuwepo Zanzibar itabidi Tundu Lissu aenguliwe hivi Leo 25/08/2020. Kwa muono wangu, ACT- WAZALENDO itachukua Zanzibar licha ya kuwepo kwa Figisu Figisu. Maalimu Seif ananafasi kubwa ya kushinda huko Zanzibar, atakachohitaji na Backup kutoka bara ambayo ataipata kwa Tundu Lissu na Zito Kabwe.

Kutokana na Tabia ya Msimamo wa Tundu Lissu, kama hataenguliwa, najua atakubali kushindwa hiyo october 28 kama atakuwa ameshindwa halali na atashindwa halali. Lakini atampa nguvu Maalimu Seifu ambaye ataibuka kidedea huko Zanzibar.

Na ikiwa CCM itakuwa imepoteza Zanzibar ni wazi kuwa yatakuwa maandalizi ya 2025 kutolewa huku bara. Njia rahisi wanayoweza kuitumia Wapinzani ni kuiondoa CCM Zanzibar kwani kule ndio rahisi kutokana na udogo wa eneo na uchache wa watu. Kisha waje waiondoe huku bara.

Swali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama. kulingana na viongozi wa Upinzani wanaogombea mwaka huu kote bara na visiwani. Tundu Lissu niliwahi kumsikia akizungumzia suala la Muungano alipokuwa akihutubia huko Zanzibar. Maneno yake nayakumbuka kiasi, ni kama alikuwa akiwaambia Wanzanzibar wanatawaliwa na Wabara, hivyo wanatakiwa wajikomboe. Lakini Pia ukimuangalia Maalimu Seif yeye naye anamsimamo wa namna hiyo ingawaje hapendi kuuonyesha.

Seif anachoshindwa mara nyingi kwenye uchaguzi huko Zanzibar ni Backup kutoka Bara. Mwaka 2015 hakupata Backup nzuri kutoka kwa Edward Lowasa, hii ni kutokana na tabia ya upole wa Lowasa wa kumuachia Mungu. Lakini mwaka huu, Tundu Lissu na Zito Kabwe watampa Backup ya kutosha endapo atashinda.

Nina uhakika CCM hawana Hofu kubwa na Tundu Lissu kushinda bara kwani wanajua hatashinda, lakini hofu ipo visiwani.

Muhimu: NEC izingatie haki kwa kila mgombea, asiwepo wa kuonewa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
E imekua zanzibar Tena sio Bara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
NEC isipomuegua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, muungano utasalimika?


Na, Robert Heriel

Jambo kubwa linaloendelea katika vichwa vya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa ni pamoja na Tundu Lisu kupenya NEC. Hofu kubwa ipo miongoni mwa wafuasi wa Mgombea huyo wa CHADEMA wapo katika fukuto la wasiwasi kwa mgombea wao kuenguliwa. Pengine ni hofu ya uzushi kuwa Tundu Lisu ataenguliwa, lakini pengine sio uzushi bali ni jambo halisi kutoka kwa vyanzo walivyonavyo CHADEMA.

Tundu Lisu naye siku ya jana tarehe 23/08/2020 alielezea hofu yake ya kuenguliwa na NEC kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA. Je hii ni njama na hila za CCM kuhakikisha Tundu Lisu hatoboi? Je, ni kwa nini njama hii itumike? Je, CCM wanaogopa kushindwa na Tundu Lisu? Lakini Maswali haya yanaweza yakamezwa na swali moja; kwani NEC ni CCM? Jibu, ni hapana. Kama NEC sio CCM Kwa nini Tundu Lisu aogope kukatwa? Labda tuseme kuwa Huenda CCM inamkono wake Huko NEC, Lakini nani ataweza kuthibitisha hayo? Je matendo ya NEC ni kiashiria cha hofu kwa Lissu?

Binafsi naamini kuwa Tundu Lisu hata apewe nafasi ya kugombea Urais kamwe hataweza kushinda, ingawaje anaweza kufurukuta na kujipatia kura nyingi tuu. Niliwahi kusema siku 60 ni nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa kushawishi watu kama Tundu Lissu. Naufahamu uwezo wa Lisu katika kujenga hoja.

Kwa muono wangu, CCM hawana hofu na Tundu Lissu kushindwa, bali wanahofu ya kushindwa huko visiwani Zanzibar. Jicho langu linaniambia kuwa Tundu Lisu atapata 40% za kura huku Mhe Rais aliyemadarakani John Magufuli akipata kura 50%. Hata hivyo hilo ni jicho langu na linategemea na usawa katika mchakato wa uchaguzi. Jicho langu linaniambia kuwa hofu ya CCM ipo Zanzibar zaidi kuliko Bara.

Ili CCM iendelee kuwepo Zanzibar itabidi Tundu Lissu aenguliwe hivi Leo 25/08/2020. Kwa muono wangu, ACT- WAZALENDO itachukua Zanzibar licha ya kuwepo kwa Figisu Figisu. Maalimu Seif ananafasi kubwa ya kushinda huko Zanzibar, atakachohitaji na Backup kutoka bara ambayo ataipata kwa Tundu Lissu na Zito Kabwe.

Kutokana na Tabia ya Msimamo wa Tundu Lissu, kama hataenguliwa, najua atakubali kushindwa hiyo october 28 kama atakuwa ameshindwa halali na atashindwa halali. Lakini atampa nguvu Maalimu Seifu ambaye ataibuka kidedea huko Zanzibar.

Na ikiwa CCM itakuwa imepoteza Zanzibar ni wazi kuwa yatakuwa maandalizi ya 2025 kutolewa huku bara. Njia rahisi wanayoweza kuitumia Wapinzani ni kuiondoa CCM Zanzibar kwani kule ndio rahisi kutokana na udogo wa eneo na uchache wa watu. Kisha waje waiondoe huku bara.

Swali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama. kulingana na viongozi wa Upinzani wanaogombea mwaka huu kote bara na visiwani. Tundu Lissu niliwahi kumsikia akizungumzia suala la Muungano alipokuwa akihutubia huko Zanzibar. Maneno yake nayakumbuka kiasi, ni kama alikuwa akiwaambia Wanzanzibar wanatawaliwa na Wabara, hivyo wanatakiwa wajikomboe. Lakini Pia ukimuangalia Maalimu Seif yeye naye anamsimamo wa namna hiyo ingawaje hapendi kuuonyesha.

Seif anachoshindwa mara nyingi kwenye uchaguzi huko Zanzibar ni Backup kutoka Bara. Mwaka 2015 hakupata Backup nzuri kutoka kwa Edward Lowasa, hii ni kutokana na tabia ya upole wa Lowasa wa kumuachia Mungu. Lakini mwaka huu, Tundu Lissu na Zito Kabwe watampa Backup ya kutosha endapo atashinda.

Nina uhakika CCM hawana Hofu kubwa na Tundu Lissu kushinda bara kwani wanajua hatashinda, lakini hofu ipo visiwani.

Muhimu: NEC izingatie haki kwa kila mgombea, asiwepo wa kuonewa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Nani huteuwa watumishi wa NEC
 
Katiba ilisema wazi tokea miaka ya 80 baada ya Zanzibar kulalamika kuhusu mapato ya pamoja ya Muungano na matumizi yake na Mgao wa mapato kwa pande mbili za Muungano pawepo na Account ya pamoja ya fedha za Muungano.
Hadi leo hii serikali za CCM hazija tekeleza Takwa hilila katiba, na kwa hiyo Zanzibar inaendelea kudhulumiwa Stahiki yake katika Muungano.

labda nadhani Pesa hizo zinapenyezwa Kisiwandui na wanazitumia CCM kichama ndio maana SMZ imenyamaza kimyaaaaa haiendelea kulidai hilo.

Niwazi kwa hili serikali ya Malim sefu Haitalinyamazia ,na itaitaka Tanganyika iilipe zanzibar malimikizo ya Tokea siku ya Kuanzishwa Muungano kitu ambacho Tanganyika haitaweza na kwa Hili latosha kuuweka Muungano kikaangoni.

Maana Moyo wa nchi ni mapato.
-Tanganyika watajitowa kwenye Muungano ili kukimbia deni walilotudhulumu tokea tuunganishe nchi zetu.
-wengi hudhani kuwa Zanzibar hawana haki katika hili la fedha za Muungano.
hebu tafakari hivi.!:-
- Viza zote za watalii zitolewazo malipo yanakwenda Muungano.
ambapo 1/3
ya watalii hutembelea Zanzibar.
-Bidhaa zote zinazoingizwa nchinihutolewa VAT ka kodi nyingine Muungano kudhibitimapato.
-Mashirika ya simu yote huilipa serikali kwa kusajiliwa na kupokea kodi za wateja na huduma.
- Zanzibar tukiwa sehemu ya wateja na wahusika wakubwa wa mapato kama washirika wa Muungano.
Gawio la mapato haya ni lazima liwe wazina kila upande ujuwe quarter yake.
sas serikali za CCm wamezira juu ya hili na Zanzibar inaendelea kudidimia kiuchumi.

Maalim Sefu hatakubali hilo atadadisi na pakikosekana majibu stahiki Tanganyika watakimbia ukweli na wata sepa kwenye Muungano.

Zanziba Tunauhitaji sana Mungano, lakini si kwa mfumo huu.

Kule UAE kuna muungano mzuri tuu na kila upande unahaki zake na uchumi wake na kuna mambo ya pamoja wanashirikiana kigharama na uendeshaji kwa kuwa kuna ukweli na GOOD WILL

Muungano unahitaji GOOD WILL na si ubabaishaji kama huuwa CCm.

Ikiwi umenielewa ndo maana Muungano unaweza kuwa hatarini.
 
..wasichotaka waZnz ni uchaguzi wao kuporwa na waTanganyika.

..Tanganyika imekuwa ikisimika serikali ya Znz kinyume na matokeo ya sanduku la kura, na matakwa ya waZnz.

..sasa matendo hayo ya Tanganyika ndiyo yanayochochea hoja kwamba Zanzibar inatawaliwa, au ni koloni la Tanganyika.

..ikiwa ACT itashinda uchaguzi Znz kitakachobadilika ni MUUNDO WA MUUNGANO, na utakwenda kuwa wa serikali 3.

..Tume ya Katiba ya Jaji Warioba ilikutanisha watu wa mitizamo mbalimbali, ikiwemo waZnz waliokuwa wakitaka kujitenga na Tanganyika, lakini walipoangalia hali halisi ya maingiliano ya kijamii, kisiasa, na kiuchumi, baina ya mataifa yetu, walifikia conclusion kwamba muungano wa SERIKALI 3 ndio unaofaa.

NB:

..kuna masuala ya EAST AFRICAN COMMUNITY ambayo wengi hatuyafuatilii, lakini moja ya malengo ya jumuiya hiyo ni kuziunganisha nchi wanachama kisiasa. Sasa muungano wa serikali 3 baina ya Tanganyika na Zanzibar utasaidia kufikia azma na malengo ya kuwa na muungano mkubwa zaidi wa nchi za Afrika Mashariki.
 
Chadema ni chama cha mioyo ya watz wkt ccm ni chama cha mioyo ya polisi, NEC na msajili wa vyama
 
NEC haiwezi Kumwondoa mgombea wa CCM kwa sababu ndiye mtu aliyeitengeneza hiyo NEC na hapo ule usemi wa NEC ni vibaraka wa CCM ndipo unapokamilika
Hivikwanini NEC isimuengua mgombea wa CCM!?

Kwa kufanya kampeni miaka 5 kabla ya wakati, kunyamazia risasi 38 alizopigwa mbunge hadharani n.k?
 
NEC isipomuegua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, muungano utasalimika?


Na, Robert Heriel

Jambo kubwa linaloendelea katika vichwa vya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa ni pamoja na Tundu Lisu kupenya NEC. Hofu kubwa ipo miongoni mwa wafuasi wa Mgombea huyo wa CHADEMA wapo katika fukuto la wasiwasi kwa mgombea wao kuenguliwa. Pengine ni hofu ya uzushi kuwa Tundu Lisu ataenguliwa, lakini pengine sio uzushi bali ni jambo halisi kutoka kwa vyanzo walivyonavyo CHADEMA.

Tundu Lisu naye siku ya jana tarehe 23/08/2020 alielezea hofu yake ya kuenguliwa na NEC kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA. Je hii ni njama na hila za CCM kuhakikisha Tundu Lisu hatoboi? Je, ni kwa nini njama hii itumike? Je, CCM wanaogopa kushindwa na Tundu Lisu? Lakini Maswali haya yanaweza yakamezwa na swali moja; kwani NEC ni CCM? Jibu, ni hapana. Kama NEC sio CCM Kwa nini Tundu Lisu aogope kukatwa? Labda tuseme kuwa Huenda CCM inamkono wake Huko NEC, Lakini nani ataweza kuthibitisha hayo? Je matendo ya NEC ni kiashiria cha hofu kwa Lissu?

Binafsi naamini kuwa Tundu Lisu hata apewe nafasi ya kugombea Urais kamwe hataweza kushinda, ingawaje anaweza kufurukuta na kujipatia kura nyingi tuu. Niliwahi kusema siku 60 ni nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa kushawishi watu kama Tundu Lissu. Naufahamu uwezo wa Lisu katika kujenga hoja.

Kwa muono wangu, CCM hawana hofu na Tundu Lissu kushindwa, bali wanahofu ya kushindwa huko visiwani Zanzibar. Jicho langu linaniambia kuwa Tundu Lisu atapata 40% za kura huku Mhe Rais aliyemadarakani John Magufuli akipata kura 50%. Hata hivyo hilo ni jicho langu na linategemea na usawa katika mchakato wa uchaguzi. Jicho langu linaniambia kuwa hofu ya CCM ipo Zanzibar zaidi kuliko Bara.

Ili CCM iendelee kuwepo Zanzibar itabidi Tundu Lissu aenguliwe hivi Leo 25/08/2020. Kwa muono wangu, ACT- WAZALENDO itachukua Zanzibar licha ya kuwepo kwa Figisu Figisu. Maalimu Seif ananafasi kubwa ya kushinda huko Zanzibar, atakachohitaji na Backup kutoka bara ambayo ataipata kwa Tundu Lissu na Zito Kabwe.

Kutokana na Tabia ya Msimamo wa Tundu Lissu, kama hataenguliwa, najua atakubali kushindwa hiyo october 28 kama atakuwa ameshindwa halali na atashindwa halali. Lakini atampa nguvu Maalimu Seifu ambaye ataibuka kidedea huko Zanzibar.

Na ikiwa CCM itakuwa imepoteza Zanzibar ni wazi kuwa yatakuwa maandalizi ya 2025 kutolewa huku bara. Njia rahisi wanayoweza kuitumia Wapinzani ni kuiondoa CCM Zanzibar kwani kule ndio rahisi kutokana na udogo wa eneo na uchache wa watu. Kisha waje waiondoe huku bara.

Swali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama. kulingana na viongozi wa Upinzani wanaogombea mwaka huu kote bara na visiwani. Tundu Lissu niliwahi kumsikia akizungumzia suala la Muungano alipokuwa akihutubia huko Zanzibar. Maneno yake nayakumbuka kiasi, ni kama alikuwa akiwaambia Wanzanzibar wanatawaliwa na Wabara, hivyo wanatakiwa wajikomboe. Lakini Pia ukimuangalia Maalimu Seif yeye naye anamsimamo wa namna hiyo ingawaje hapendi kuuonyesha.

Seif anachoshindwa mara nyingi kwenye uchaguzi huko Zanzibar ni Backup kutoka Bara. Mwaka 2015 hakupata Backup nzuri kutoka kwa Edward Lowasa, hii ni kutokana na tabia ya upole wa Lowasa wa kumuachia Mungu. Lakini mwaka huu, Tundu Lissu na Zito Kabwe watampa Backup ya kutosha endapo atashinda.

Nina uhakika CCM hawana Hofu kubwa na Tundu Lissu kushinda bara kwani wanajua hatashinda, lakini hofu ipo visiwani.

Muhimu: NEC izingatie haki kwa kila mgombea, asiwepo wa kuonewa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Forex traders make it sound like they the only ones making money and we are just playing around. What I've realised is that most of them make more money teaching people how to trade than actually trading themselves.
 
Mwaka 2015 MAGUFULI/ mnyapara aliyechoka na muoga alipata kura 54000 tu kwa jiji lote la dar.
Amekuwa akiitwa kiongozi wa wanyonge japp sio kweli.
Hajaongeza mishahara kwa watumishi.
Amefurusha watumishi hewa huku akiwaacha kina Bashir wakidunda na kuongeza ukubwa wa makalio.
Alipora Korosho za watu huko Kusini, Kauai zoo la mbaazi,pamba na tumbaku.
Aliahidi kujenga viwands matokeo YAke anahubiri ndege na Barbara.
Aliahidi Ajira mpaka Leo hakuna kitu vijana wapo mitaani.
Anapiga watu risasi mcshane kweupe
Ilikuwaje kipenzi cha wangonge/wapumbavu akapata kura lukuki kiasi hicho ?
 
..mtoa mada hebu soma heading ya uzi wako tena.

..unazungumzia "kuipoteza Zanzibar."

..Je, inamaanisha Znz imekuwa "mali" ya watu/kikundi/dola/taifa fulani?

..Huyo ambaye Znz ni "mali" au "miliki" yake, na kuna hatari ataipoteza, ni nani?

cc Rubawa
 
NEC isipomuegua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, muungano utasalimika?


Na, Robert Heriel

Jambo kubwa linaloendelea katika vichwa vya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa ni pamoja na Tundu Lisu kupenya NEC. Hofu kubwa ipo miongoni mwa wafuasi wa Mgombea huyo wa CHADEMA wapo katika fukuto la wasiwasi kwa mgombea wao kuenguliwa. Pengine ni hofu ya uzushi kuwa Tundu Lisu ataenguliwa, lakini pengine sio uzushi bali ni jambo halisi kutoka kwa vyanzo walivyonavyo CHADEMA.

Tundu Lisu naye siku ya jana tarehe 23/08/2020 alielezea hofu yake ya kuenguliwa na NEC kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA. Je hii ni njama na hila za CCM kuhakikisha Tundu Lisu hatoboi? Je, ni kwa nini njama hii itumike? Je, CCM wanaogopa kushindwa na Tundu Lisu? Lakini Maswali haya yanaweza yakamezwa na swali moja; kwani NEC ni CCM? Jibu, ni hapana. Kama NEC sio CCM Kwa nini Tundu Lisu aogope kukatwa? Labda tuseme kuwa Huenda CCM inamkono wake Huko NEC, Lakini nani ataweza kuthibitisha hayo? Je matendo ya NEC ni kiashiria cha hofu kwa Lissu?

Binafsi naamini kuwa Tundu Lisu hata apewe nafasi ya kugombea Urais kamwe hataweza kushinda, ingawaje anaweza kufurukuta na kujipatia kura nyingi tuu. Niliwahi kusema siku 60 ni nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa kushawishi watu kama Tundu Lissu. Naufahamu uwezo wa Lisu katika kujenga hoja.

Kwa muono wangu, CCM hawana hofu na Tundu Lissu kushindwa, bali wanahofu ya kushindwa huko visiwani Zanzibar. Jicho langu linaniambia kuwa Tundu Lisu atapata 40% za kura huku Mhe Rais aliyemadarakani John Magufuli akipata kura 50%. Hata hivyo hilo ni jicho langu na linategemea na usawa katika mchakato wa uchaguzi. Jicho langu linaniambia kuwa hofu ya CCM ipo Zanzibar zaidi kuliko Bara.

Ili CCM iendelee kuwepo Zanzibar itabidi Tundu Lissu aenguliwe hivi Leo 25/08/2020. Kwa muono wangu, ACT- WAZALENDO itachukua Zanzibar licha ya kuwepo kwa Figisu Figisu. Maalimu Seif ananafasi kubwa ya kushinda huko Zanzibar, atakachohitaji na Backup kutoka bara ambayo ataipata kwa Tundu Lissu na Zito Kabwe.

Kutokana na Tabia ya Msimamo wa Tundu Lissu, kama hataenguliwa, najua atakubali kushindwa hiyo october 28 kama atakuwa ameshindwa halali na atashindwa halali. Lakini atampa nguvu Maalimu Seifu ambaye ataibuka kidedea huko Zanzibar.

Na ikiwa CCM itakuwa imepoteza Zanzibar ni wazi kuwa yatakuwa maandalizi ya 2025 kutolewa huku bara. Njia rahisi wanayoweza kuitumia Wapinzani ni kuiondoa CCM Zanzibar kwani kule ndio rahisi kutokana na udogo wa eneo na uchache wa watu. Kisha waje waiondoe huku bara.

Swali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama. kulingana na viongozi wa Upinzani wanaogombea mwaka huu kote bara na visiwani. Tundu Lissu niliwahi kumsikia akizungumzia suala la Muungano alipokuwa akihutubia huko Zanzibar. Maneno yake nayakumbuka kiasi, ni kama alikuwa akiwaambia Wanzanzibar wanatawaliwa na Wabara, hivyo wanatakiwa wajikomboe. Lakini Pia ukimuangalia Maalimu Seif yeye naye anamsimamo wa namna hiyo ingawaje hapendi kuuonyesha.

Seif anachoshindwa mara nyingi kwenye uchaguzi huko Zanzibar ni Backup kutoka Bara. Mwaka 2015 hakupata Backup nzuri kutoka kwa Edward Lowasa, hii ni kutokana na tabia ya upole wa Lowasa wa kumuachia Mungu. Lakini mwaka huu, Tundu Lissu na Zito Kabwe watampa Backup ya kutosha endapo atashinda.

Nina uhakika CCM hawana Hofu kubwa na Tundu Lissu kushinda bara kwani wanajua hatashinda, lakini hofu ipo visiwani.

Muhimu: NEC izingatie haki kwa kila mgombea, asiwepo wa kuonewa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Lissu atashinda kwa zaidi ya 70% , tumefanya utafiti kwa siku 45 , kabla na baada ya Lissu kurudi , sasa hiyo hesabu yako ya 40 /50 % haina uhalali
 
au unataka tuweke namba za cyprian Musiba na Le mutuz madalali wa siasa watesi wakubwa wanaotafuna pesa za umma kwa njia haramu kwa kisingizio kuwa wanaisaidia CCM kutokomeza chadema na kurejesha mfumo wa chama kimoja.
kuuwa upinzani sio rahisi kama kufanya ngono,upinzani unaunderground wengi sana vichwa subiri bunge lijalo
 
hatuwezi shinadana na wakati ikifika waznz wanautaka uhuru wao wapewe kama ni muungano wataamua ni aina gani ya muungano kama ni wa kiuchumi,kisiasa au kijamii sawa.
 
Back
Top Bottom