Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
KabisaKigoda cha CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaKigoda cha CCM
Sijui huwa mnakwama wapi....yaani chama tawala kikongwe kishindwe uchaguzi hapa Africa?...kama ndiyo mimi rais ningeivunja hiyo tume ya uchaguzi....swali rahisi...Hivi Lissu akichukua nchi niambie kama ana timu ya kuongoza nchi.....nani waziri mkuu? nani spika?etc mi sina chama lakini sipatani na haya mambo ya mkumbo na jazbaI agree with you partly. Nzanzibar is the major worry for CCM. Lakini nasmini pia kama TUME ikifanya kazi ya TUME na siyo kufanya kazi ya ccm kama ambavyo imekuwa inafanya miaka yote, inawezekana kabisa Tundu lisu akashinda.
Wawe huru na wahesabu kura Kama zilivyopigwa na wasitumie nafasi yao kuwazuia wapinzani kupita. Wasiwasi wangu, ambao naamini Niko sahihi Ni kwamba time yetu hii haiwezi kamwe kuwa huru na kutenda Haki, kwani Hawa Ni waajiriwa was CCM.
Utahamia nchi gani October 2020?Seif anashinda Zanzibar na Lissu anashinda Bara hakuna nini Wala Nini.
Mwaka huu hakuna cha kupoteza
wali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama.
Kwani kabla ya mungano siilikua Zanzibar IPO na Tanganyika ipo na watu walikua wakifanya shuhuli zao kwa nafasiNEC isipomuegua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, muungano utasalimika?
Na, Robert Heriel
Jambo kubwa linaloendelea katika vichwa vya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa ni pamoja na Tundu Lisu kupenya NEC. Hofu kubwa ipo miongoni mwa wafuasi wa Mgombea huyo wa CHADEMA wapo katika fukuto la wasiwasi kwa mgombea wao kuenguliwa. Pengine ni hofu ya uzushi kuwa Tundu Lisu ataenguliwa, lakini pengine sio uzushi bali ni jambo halisi kutoka kwa vyanzo walivyonavyo CHADEMA.
Tundu Lisu naye siku ya jana tarehe 23/08/2020 alielezea hofu yake ya kuenguliwa na NEC kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA. Je hii ni njama na hila za CCM kuhakikisha Tundu Lisu hatoboi? Je, ni kwa nini njama hii itumike? Je, CCM wanaogopa kushindwa na Tundu Lisu? Lakini Maswali haya yanaweza yakamezwa na swali moja; kwani NEC ni CCM? Jibu, ni hapana. Kama NEC sio CCM Kwa nini Tundu Lisu aogope kukatwa? Labda tuseme kuwa Huenda CCM inamkono wake Huko NEC, Lakini nani ataweza kuthibitisha hayo? Je matendo ya NEC ni kiashiria cha hofu kwa Lissu?
Binafsi naamini kuwa Tundu Lisu hata apewe nafasi ya kugombea Urais kamwe hataweza kushinda, ingawaje anaweza kufurukuta na kujipatia kura nyingi tuu. Niliwahi kusema siku 60 ni nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa kushawishi watu kama Tundu Lissu. Naufahamu uwezo wa Lisu katika kujenga hoja.
Kwa muono wangu, CCM hawana hofu na Tundu Lissu kushindwa, bali wanahofu ya kushindwa huko visiwani Zanzibar. Jicho langu linaniambia kuwa Tundu Lisu atapata 40% za kura huku Mhe Rais aliyemadarakani John Magufuli akipata kura 50%. Hata hivyo hilo ni jicho langu na linategemea na usawa katika mchakato wa uchaguzi. Jicho langu linaniambia kuwa hofu ya CCM ipo Zanzibar zaidi kuliko Bara.
Ili CCM iendelee kuwepo Zanzibar itabidi Tundu Lissu aenguliwe hivi Leo 25/08/2020. Kwa muono wangu, ACT- WAZALENDO itachukua Zanzibar licha ya kuwepo kwa Figisu Figisu. Maalimu Seif ananafasi kubwa ya kushinda huko Zanzibar, atakachohitaji na Backup kutoka bara ambayo ataipata kwa Tundu Lissu na Zito Kabwe.
Kutokana na Tabia ya Msimamo wa Tundu Lissu, kama hataenguliwa, najua atakubali kushindwa hiyo october 28 kama atakuwa ameshindwa halali na atashindwa halali. Lakini atampa nguvu Maalimu Seifu ambaye ataibuka kidedea huko Zanzibar.
Na ikiwa CCM itakuwa imepoteza Zanzibar ni wazi kuwa yatakuwa maandalizi ya 2025 kutolewa huku bara. Njia rahisi wanayoweza kuitumia Wapinzani ni kuiondoa CCM Zanzibar kwani kule ndio rahisi kutokana na udogo wa eneo na uchache wa watu. Kisha waje waiondoe huku bara.
Swali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama. kulingana na viongozi wa Upinzani wanaogombea mwaka huu kote bara na visiwani. Tundu Lissu niliwahi kumsikia akizungumzia suala la Muungano alipokuwa akihutubia huko Zanzibar. Maneno yake nayakumbuka kiasi, ni kama alikuwa akiwaambia Wanzanzibar wanatawaliwa na Wabara, hivyo wanatakiwa wajikomboe. Lakini Pia ukimuangalia Maalimu Seif yeye naye anamsimamo wa namna hiyo ingawaje hapendi kuuonyesha.
Seif anachoshindwa mara nyingi kwenye uchaguzi huko Zanzibar ni Backup kutoka Bara. Mwaka 2015 hakupata Backup nzuri kutoka kwa Edward Lowasa, hii ni kutokana na tabia ya upole wa Lowasa wa kumuachia Mungu. Lakini mwaka huu, Tundu Lissu na Zito Kabwe watampa Backup ya kutosha endapo atashinda.
Nina uhakika CCM hawana Hofu kubwa na Tundu Lissu kushinda bara kwani wanajua hatashinda, lakini hofu ipo visiwani.
Muhimu: NEC izingatie haki kwa kila mgombea, asiwepo wa kuonewa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Ama hili L muungano niwewe unasema tu kuwa hautakuwa Salama.
Yaani unataka kutuaminisha kuwa CCM ndio Muungano Na MUUngano ni CCM bila ya wao hakuna Muungano?
Mimi naona si vyo hivyo bali Muungano ni jambo la kikatiba.
Malim Sefu hatoweza kuvunja katiba kirahisi hiivyo.
Nenda kawadanganye CCM wenzako vijijini uwongo wako huu.
Kuhusu Lisu na Malim kuuwemea Muungano kuwa ni Ukoloni , hii ni CCM ndiyo wanvyougeuza Muungano kinyume na Ktiba.
Kwa kuwa CCM huwa hawafuati katiba wala Sheria.
Nifuatilie kwa makini nitakuweka sawa.
E imekua zanzibar Tena sio Bara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]NEC isipomuegua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, muungano utasalimika?
Na, Robert Heriel
Jambo kubwa linaloendelea katika vichwa vya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa ni pamoja na Tundu Lisu kupenya NEC. Hofu kubwa ipo miongoni mwa wafuasi wa Mgombea huyo wa CHADEMA wapo katika fukuto la wasiwasi kwa mgombea wao kuenguliwa. Pengine ni hofu ya uzushi kuwa Tundu Lisu ataenguliwa, lakini pengine sio uzushi bali ni jambo halisi kutoka kwa vyanzo walivyonavyo CHADEMA.
Tundu Lisu naye siku ya jana tarehe 23/08/2020 alielezea hofu yake ya kuenguliwa na NEC kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA. Je hii ni njama na hila za CCM kuhakikisha Tundu Lisu hatoboi? Je, ni kwa nini njama hii itumike? Je, CCM wanaogopa kushindwa na Tundu Lisu? Lakini Maswali haya yanaweza yakamezwa na swali moja; kwani NEC ni CCM? Jibu, ni hapana. Kama NEC sio CCM Kwa nini Tundu Lisu aogope kukatwa? Labda tuseme kuwa Huenda CCM inamkono wake Huko NEC, Lakini nani ataweza kuthibitisha hayo? Je matendo ya NEC ni kiashiria cha hofu kwa Lissu?
Binafsi naamini kuwa Tundu Lisu hata apewe nafasi ya kugombea Urais kamwe hataweza kushinda, ingawaje anaweza kufurukuta na kujipatia kura nyingi tuu. Niliwahi kusema siku 60 ni nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa kushawishi watu kama Tundu Lissu. Naufahamu uwezo wa Lisu katika kujenga hoja.
Kwa muono wangu, CCM hawana hofu na Tundu Lissu kushindwa, bali wanahofu ya kushindwa huko visiwani Zanzibar. Jicho langu linaniambia kuwa Tundu Lisu atapata 40% za kura huku Mhe Rais aliyemadarakani John Magufuli akipata kura 50%. Hata hivyo hilo ni jicho langu na linategemea na usawa katika mchakato wa uchaguzi. Jicho langu linaniambia kuwa hofu ya CCM ipo Zanzibar zaidi kuliko Bara.
Ili CCM iendelee kuwepo Zanzibar itabidi Tundu Lissu aenguliwe hivi Leo 25/08/2020. Kwa muono wangu, ACT- WAZALENDO itachukua Zanzibar licha ya kuwepo kwa Figisu Figisu. Maalimu Seif ananafasi kubwa ya kushinda huko Zanzibar, atakachohitaji na Backup kutoka bara ambayo ataipata kwa Tundu Lissu na Zito Kabwe.
Kutokana na Tabia ya Msimamo wa Tundu Lissu, kama hataenguliwa, najua atakubali kushindwa hiyo october 28 kama atakuwa ameshindwa halali na atashindwa halali. Lakini atampa nguvu Maalimu Seifu ambaye ataibuka kidedea huko Zanzibar.
Na ikiwa CCM itakuwa imepoteza Zanzibar ni wazi kuwa yatakuwa maandalizi ya 2025 kutolewa huku bara. Njia rahisi wanayoweza kuitumia Wapinzani ni kuiondoa CCM Zanzibar kwani kule ndio rahisi kutokana na udogo wa eneo na uchache wa watu. Kisha waje waiondoe huku bara.
Swali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama. kulingana na viongozi wa Upinzani wanaogombea mwaka huu kote bara na visiwani. Tundu Lissu niliwahi kumsikia akizungumzia suala la Muungano alipokuwa akihutubia huko Zanzibar. Maneno yake nayakumbuka kiasi, ni kama alikuwa akiwaambia Wanzanzibar wanatawaliwa na Wabara, hivyo wanatakiwa wajikomboe. Lakini Pia ukimuangalia Maalimu Seif yeye naye anamsimamo wa namna hiyo ingawaje hapendi kuuonyesha.
Seif anachoshindwa mara nyingi kwenye uchaguzi huko Zanzibar ni Backup kutoka Bara. Mwaka 2015 hakupata Backup nzuri kutoka kwa Edward Lowasa, hii ni kutokana na tabia ya upole wa Lowasa wa kumuachia Mungu. Lakini mwaka huu, Tundu Lissu na Zito Kabwe watampa Backup ya kutosha endapo atashinda.
Nina uhakika CCM hawana Hofu kubwa na Tundu Lissu kushinda bara kwani wanajua hatashinda, lakini hofu ipo visiwani.
Muhimu: NEC izingatie haki kwa kila mgombea, asiwepo wa kuonewa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Nani huteuwa watumishi wa NECNEC isipomuegua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, muungano utasalimika?
Na, Robert Heriel
Jambo kubwa linaloendelea katika vichwa vya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa ni pamoja na Tundu Lisu kupenya NEC. Hofu kubwa ipo miongoni mwa wafuasi wa Mgombea huyo wa CHADEMA wapo katika fukuto la wasiwasi kwa mgombea wao kuenguliwa. Pengine ni hofu ya uzushi kuwa Tundu Lisu ataenguliwa, lakini pengine sio uzushi bali ni jambo halisi kutoka kwa vyanzo walivyonavyo CHADEMA.
Tundu Lisu naye siku ya jana tarehe 23/08/2020 alielezea hofu yake ya kuenguliwa na NEC kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA. Je hii ni njama na hila za CCM kuhakikisha Tundu Lisu hatoboi? Je, ni kwa nini njama hii itumike? Je, CCM wanaogopa kushindwa na Tundu Lisu? Lakini Maswali haya yanaweza yakamezwa na swali moja; kwani NEC ni CCM? Jibu, ni hapana. Kama NEC sio CCM Kwa nini Tundu Lisu aogope kukatwa? Labda tuseme kuwa Huenda CCM inamkono wake Huko NEC, Lakini nani ataweza kuthibitisha hayo? Je matendo ya NEC ni kiashiria cha hofu kwa Lissu?
Binafsi naamini kuwa Tundu Lisu hata apewe nafasi ya kugombea Urais kamwe hataweza kushinda, ingawaje anaweza kufurukuta na kujipatia kura nyingi tuu. Niliwahi kusema siku 60 ni nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa kushawishi watu kama Tundu Lissu. Naufahamu uwezo wa Lisu katika kujenga hoja.
Kwa muono wangu, CCM hawana hofu na Tundu Lissu kushindwa, bali wanahofu ya kushindwa huko visiwani Zanzibar. Jicho langu linaniambia kuwa Tundu Lisu atapata 40% za kura huku Mhe Rais aliyemadarakani John Magufuli akipata kura 50%. Hata hivyo hilo ni jicho langu na linategemea na usawa katika mchakato wa uchaguzi. Jicho langu linaniambia kuwa hofu ya CCM ipo Zanzibar zaidi kuliko Bara.
Ili CCM iendelee kuwepo Zanzibar itabidi Tundu Lissu aenguliwe hivi Leo 25/08/2020. Kwa muono wangu, ACT- WAZALENDO itachukua Zanzibar licha ya kuwepo kwa Figisu Figisu. Maalimu Seif ananafasi kubwa ya kushinda huko Zanzibar, atakachohitaji na Backup kutoka bara ambayo ataipata kwa Tundu Lissu na Zito Kabwe.
Kutokana na Tabia ya Msimamo wa Tundu Lissu, kama hataenguliwa, najua atakubali kushindwa hiyo october 28 kama atakuwa ameshindwa halali na atashindwa halali. Lakini atampa nguvu Maalimu Seifu ambaye ataibuka kidedea huko Zanzibar.
Na ikiwa CCM itakuwa imepoteza Zanzibar ni wazi kuwa yatakuwa maandalizi ya 2025 kutolewa huku bara. Njia rahisi wanayoweza kuitumia Wapinzani ni kuiondoa CCM Zanzibar kwani kule ndio rahisi kutokana na udogo wa eneo na uchache wa watu. Kisha waje waiondoe huku bara.
Swali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama. kulingana na viongozi wa Upinzani wanaogombea mwaka huu kote bara na visiwani. Tundu Lissu niliwahi kumsikia akizungumzia suala la Muungano alipokuwa akihutubia huko Zanzibar. Maneno yake nayakumbuka kiasi, ni kama alikuwa akiwaambia Wanzanzibar wanatawaliwa na Wabara, hivyo wanatakiwa wajikomboe. Lakini Pia ukimuangalia Maalimu Seif yeye naye anamsimamo wa namna hiyo ingawaje hapendi kuuonyesha.
Seif anachoshindwa mara nyingi kwenye uchaguzi huko Zanzibar ni Backup kutoka Bara. Mwaka 2015 hakupata Backup nzuri kutoka kwa Edward Lowasa, hii ni kutokana na tabia ya upole wa Lowasa wa kumuachia Mungu. Lakini mwaka huu, Tundu Lissu na Zito Kabwe watampa Backup ya kutosha endapo atashinda.
Nina uhakika CCM hawana Hofu kubwa na Tundu Lissu kushinda bara kwani wanajua hatashinda, lakini hofu ipo visiwani.
Muhimu: NEC izingatie haki kwa kila mgombea, asiwepo wa kuonewa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Hivikwanini NEC isimuengua mgombea wa CCM!?
Kwa kufanya kampeni miaka 5 kabla ya wakati, kunyamazia risasi 38 alizopigwa mbunge hadharani n.k?
Forex traders make it sound like they the only ones making money and we are just playing around. What I've realised is that most of them make more money teaching people how to trade than actually trading themselves.NEC isipomuegua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, muungano utasalimika?
Na, Robert Heriel
Jambo kubwa linaloendelea katika vichwa vya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa ni pamoja na Tundu Lisu kupenya NEC. Hofu kubwa ipo miongoni mwa wafuasi wa Mgombea huyo wa CHADEMA wapo katika fukuto la wasiwasi kwa mgombea wao kuenguliwa. Pengine ni hofu ya uzushi kuwa Tundu Lisu ataenguliwa, lakini pengine sio uzushi bali ni jambo halisi kutoka kwa vyanzo walivyonavyo CHADEMA.
Tundu Lisu naye siku ya jana tarehe 23/08/2020 alielezea hofu yake ya kuenguliwa na NEC kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA. Je hii ni njama na hila za CCM kuhakikisha Tundu Lisu hatoboi? Je, ni kwa nini njama hii itumike? Je, CCM wanaogopa kushindwa na Tundu Lisu? Lakini Maswali haya yanaweza yakamezwa na swali moja; kwani NEC ni CCM? Jibu, ni hapana. Kama NEC sio CCM Kwa nini Tundu Lisu aogope kukatwa? Labda tuseme kuwa Huenda CCM inamkono wake Huko NEC, Lakini nani ataweza kuthibitisha hayo? Je matendo ya NEC ni kiashiria cha hofu kwa Lissu?
Binafsi naamini kuwa Tundu Lisu hata apewe nafasi ya kugombea Urais kamwe hataweza kushinda, ingawaje anaweza kufurukuta na kujipatia kura nyingi tuu. Niliwahi kusema siku 60 ni nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa kushawishi watu kama Tundu Lissu. Naufahamu uwezo wa Lisu katika kujenga hoja.
Kwa muono wangu, CCM hawana hofu na Tundu Lissu kushindwa, bali wanahofu ya kushindwa huko visiwani Zanzibar. Jicho langu linaniambia kuwa Tundu Lisu atapata 40% za kura huku Mhe Rais aliyemadarakani John Magufuli akipata kura 50%. Hata hivyo hilo ni jicho langu na linategemea na usawa katika mchakato wa uchaguzi. Jicho langu linaniambia kuwa hofu ya CCM ipo Zanzibar zaidi kuliko Bara.
Ili CCM iendelee kuwepo Zanzibar itabidi Tundu Lissu aenguliwe hivi Leo 25/08/2020. Kwa muono wangu, ACT- WAZALENDO itachukua Zanzibar licha ya kuwepo kwa Figisu Figisu. Maalimu Seif ananafasi kubwa ya kushinda huko Zanzibar, atakachohitaji na Backup kutoka bara ambayo ataipata kwa Tundu Lissu na Zito Kabwe.
Kutokana na Tabia ya Msimamo wa Tundu Lissu, kama hataenguliwa, najua atakubali kushindwa hiyo october 28 kama atakuwa ameshindwa halali na atashindwa halali. Lakini atampa nguvu Maalimu Seifu ambaye ataibuka kidedea huko Zanzibar.
Na ikiwa CCM itakuwa imepoteza Zanzibar ni wazi kuwa yatakuwa maandalizi ya 2025 kutolewa huku bara. Njia rahisi wanayoweza kuitumia Wapinzani ni kuiondoa CCM Zanzibar kwani kule ndio rahisi kutokana na udogo wa eneo na uchache wa watu. Kisha waje waiondoe huku bara.
Swali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama. kulingana na viongozi wa Upinzani wanaogombea mwaka huu kote bara na visiwani. Tundu Lissu niliwahi kumsikia akizungumzia suala la Muungano alipokuwa akihutubia huko Zanzibar. Maneno yake nayakumbuka kiasi, ni kama alikuwa akiwaambia Wanzanzibar wanatawaliwa na Wabara, hivyo wanatakiwa wajikomboe. Lakini Pia ukimuangalia Maalimu Seif yeye naye anamsimamo wa namna hiyo ingawaje hapendi kuuonyesha.
Seif anachoshindwa mara nyingi kwenye uchaguzi huko Zanzibar ni Backup kutoka Bara. Mwaka 2015 hakupata Backup nzuri kutoka kwa Edward Lowasa, hii ni kutokana na tabia ya upole wa Lowasa wa kumuachia Mungu. Lakini mwaka huu, Tundu Lissu na Zito Kabwe watampa Backup ya kutosha endapo atashinda.
Nina uhakika CCM hawana Hofu kubwa na Tundu Lissu kushinda bara kwani wanajua hatashinda, lakini hofu ipo visiwani.
Muhimu: NEC izingatie haki kwa kila mgombea, asiwepo wa kuonewa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Nyie watu mtaota hadi lini Magufuli atatawala Tanzania hadi achoke kabisa kutoa amriSeif anashinda Zanzibar na Lissu anashinda Bara hakuna nini Wala Nini.
Mwaka huu hakuna cha kupoteza
Ilikuwaje kipenzi cha wangonge/wapumbavu akapata kura lukuki kiasi hicho ?Mwaka 2015 MAGUFULI/ mnyapara aliyechoka na muoga alipata kura 54000 tu kwa jiji lote la dar.
Amekuwa akiitwa kiongozi wa wanyonge japp sio kweli.
Hajaongeza mishahara kwa watumishi.
Amefurusha watumishi hewa huku akiwaacha kina Bashir wakidunda na kuongeza ukubwa wa makalio.
Alipora Korosho za watu huko Kusini, Kauai zoo la mbaazi,pamba na tumbaku.
Aliahidi kujenga viwands matokeo YAke anahubiri ndege na Barbara.
Aliahidi Ajira mpaka Leo hakuna kitu vijana wapo mitaani.
Anapiga watu risasi mcshane kweupe
Lissu atashinda kwa zaidi ya 70% , tumefanya utafiti kwa siku 45 , kabla na baada ya Lissu kurudi , sasa hiyo hesabu yako ya 40 /50 % haina uhalaliNEC isipomuegua Tundu Lissu, ni go-ahead ya kuipoteza CCM Zanzibar. Je, muungano utasalimika?
Na, Robert Heriel
Jambo kubwa linaloendelea katika vichwa vya wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa ni pamoja na Tundu Lisu kupenya NEC. Hofu kubwa ipo miongoni mwa wafuasi wa Mgombea huyo wa CHADEMA wapo katika fukuto la wasiwasi kwa mgombea wao kuenguliwa. Pengine ni hofu ya uzushi kuwa Tundu Lisu ataenguliwa, lakini pengine sio uzushi bali ni jambo halisi kutoka kwa vyanzo walivyonavyo CHADEMA.
Tundu Lisu naye siku ya jana tarehe 23/08/2020 alielezea hofu yake ya kuenguliwa na NEC kugombea Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA. Je hii ni njama na hila za CCM kuhakikisha Tundu Lisu hatoboi? Je, ni kwa nini njama hii itumike? Je, CCM wanaogopa kushindwa na Tundu Lisu? Lakini Maswali haya yanaweza yakamezwa na swali moja; kwani NEC ni CCM? Jibu, ni hapana. Kama NEC sio CCM Kwa nini Tundu Lisu aogope kukatwa? Labda tuseme kuwa Huenda CCM inamkono wake Huko NEC, Lakini nani ataweza kuthibitisha hayo? Je matendo ya NEC ni kiashiria cha hofu kwa Lissu?
Binafsi naamini kuwa Tundu Lisu hata apewe nafasi ya kugombea Urais kamwe hataweza kushinda, ingawaje anaweza kufurukuta na kujipatia kura nyingi tuu. Niliwahi kusema siku 60 ni nyingi sana kwa mtu mwenye uwezo wa kushawishi watu kama Tundu Lissu. Naufahamu uwezo wa Lisu katika kujenga hoja.
Kwa muono wangu, CCM hawana hofu na Tundu Lissu kushindwa, bali wanahofu ya kushindwa huko visiwani Zanzibar. Jicho langu linaniambia kuwa Tundu Lisu atapata 40% za kura huku Mhe Rais aliyemadarakani John Magufuli akipata kura 50%. Hata hivyo hilo ni jicho langu na linategemea na usawa katika mchakato wa uchaguzi. Jicho langu linaniambia kuwa hofu ya CCM ipo Zanzibar zaidi kuliko Bara.
Ili CCM iendelee kuwepo Zanzibar itabidi Tundu Lissu aenguliwe hivi Leo 25/08/2020. Kwa muono wangu, ACT- WAZALENDO itachukua Zanzibar licha ya kuwepo kwa Figisu Figisu. Maalimu Seif ananafasi kubwa ya kushinda huko Zanzibar, atakachohitaji na Backup kutoka bara ambayo ataipata kwa Tundu Lissu na Zito Kabwe.
Kutokana na Tabia ya Msimamo wa Tundu Lissu, kama hataenguliwa, najua atakubali kushindwa hiyo october 28 kama atakuwa ameshindwa halali na atashindwa halali. Lakini atampa nguvu Maalimu Seifu ambaye ataibuka kidedea huko Zanzibar.
Na ikiwa CCM itakuwa imepoteza Zanzibar ni wazi kuwa yatakuwa maandalizi ya 2025 kutolewa huku bara. Njia rahisi wanayoweza kuitumia Wapinzani ni kuiondoa CCM Zanzibar kwani kule ndio rahisi kutokana na udogo wa eneo na uchache wa watu. Kisha waje waiondoe huku bara.
Swali kubwa linalopiga kichwa changu ni je, usalama wa Muungano upo kwa kiasi gani mara tuu CCM itakapofungasha virago huko Zanzibar? Kwa jicho langu, naona muungano hautabaki salama. kulingana na viongozi wa Upinzani wanaogombea mwaka huu kote bara na visiwani. Tundu Lissu niliwahi kumsikia akizungumzia suala la Muungano alipokuwa akihutubia huko Zanzibar. Maneno yake nayakumbuka kiasi, ni kama alikuwa akiwaambia Wanzanzibar wanatawaliwa na Wabara, hivyo wanatakiwa wajikomboe. Lakini Pia ukimuangalia Maalimu Seif yeye naye anamsimamo wa namna hiyo ingawaje hapendi kuuonyesha.
Seif anachoshindwa mara nyingi kwenye uchaguzi huko Zanzibar ni Backup kutoka Bara. Mwaka 2015 hakupata Backup nzuri kutoka kwa Edward Lowasa, hii ni kutokana na tabia ya upole wa Lowasa wa kumuachia Mungu. Lakini mwaka huu, Tundu Lissu na Zito Kabwe watampa Backup ya kutosha endapo atashinda.
Nina uhakika CCM hawana Hofu kubwa na Tundu Lissu kushinda bara kwani wanajua hatashinda, lakini hofu ipo visiwani.
Muhimu: NEC izingatie haki kwa kila mgombea, asiwepo wa kuonewa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
kuuwa upinzani sio rahisi kama kufanya ngono,upinzani unaunderground wengi sana vichwa subiri bunge lijaloau unataka tuweke namba za cyprian Musiba na Le mutuz madalali wa siasa watesi wakubwa wanaotafuna pesa za umma kwa njia haramu kwa kisingizio kuwa wanaisaidia CCM kutokomeza chadema na kurejesha mfumo wa chama kimoja.