n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Hivi mwenyekiti wenu wa faru John, Ana PhD ngapi?.Hivi kazi ya makamishina wa tume ni ipi? au ndio hawa majaji wa UPE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mwenyekiti wenu wa faru John, Ana PhD ngapi?.Hivi kazi ya makamishina wa tume ni ipi? au ndio hawa majaji wa UPE?
Labda uwe na wasiwasi na mawakala wenu juu ya swala zima la njaa.Hawa ni kuwa nao makini. Mawakala wataenguliwa na kuwekwa mawakala feki. Hivi kama nchi nzima wameunguliwa wagombea wa chadema pekee na hakuna wa ccm aliyeenguliwa hata mmoja bado tunatarajia hii tume ifanye haki?
Hapa hakuna uchaguzi ni uchafuzi tu. Ila ipo siku itafika kwa sababu taratibu naona tunasogea hapo
Sasa inapotokea vyama fulani kutoa malalamiko kuwa huwa mnaibiwa kura, hawa mawakala huwa hawatekelezi majukumu yao?
Kwahiyo hata nyinyi kwa nyinyi hamuaminiani😂?Ccm wahuni sana wale hawaoni hasara kumpa mtu nyumba na million100 ili acheze rafu
Sikutaka kuizingatia phrase ya mleta mada, nimezingatia maelezo yako kwamba "huwa ni utaratibu mawakala kuwepo",jambo ambalo ndio ukweli wenyewe, hivyo sikupingi kumkosoa mleta mada.Umeelewa nini kwenye phrase 'kimeruhusiwa'?
Wapo watu tunaowalipa kwaajili ya kulinda raia na mali zao, ukishamaliza kumpigia kura JPM wewe nenda nyumbani kaburudike.sio kazi ya wanachama kulinda kura.
kazi ya wanachama ni kupiga kura kisha kwenda nyimbani kusubiri matokeo.
Natukana! Unapata faida gani?Hivi kazi ya makamishina wa tume ni ipi? au ndio hawa majaji wa UPE?
Nikiamua kubaki je?sio kazi ya wanachama kulinda kura.
kazi ya wanachama ni kupiga kura kisha kwenda nyimbani kusubiri matokeo.
Sikutaka kuizingatia phrase ya mleta mada, nimezingatia maelezo yako kwamba "huwa ni utaratibu mawakala kuwepo",jambo ambalo ndio ukweli wenyewe, hivyo sikupingi kumkosoa mleta mada.
Swali langu ni, kwanini baadhi ya vyama hulalamika kuibiwa Kura baada ya uchaguzi, licha ya kuwepo kwa Hawa watu?
Hata hivyo amesema “Tayari vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi, vimepata nakala tepe ya orodha ya wapiga kura waliomo katika orodha ya daftari la kudumu la wapiga kura hii ni kuwawezesha mawakala kutimiza wajibu wa kuhakiki wapiga kura wanaofika kituoni” Jaji mstaafu Mary Longway Kamishna wa tume ya taifa ya uchaguzi
Kwamaana hiyo bado hatujawa na watu wenye uchungu,wanaopigania maendeleo ya watu kutoka upinzani,kiasi kwamba wananunulika kirahisi🤔? Au ndo kusema kwamba kila mtu kwenye siasa yupo kwaaliji ya tumbo lake eeh🤔?Umejiuliza vema, jibu ni sio mara zote kura huibiwa... lakini hata pale inapotokea wizi, mwizi ni yule mwenye 'nguvu' hivyo anaweza kuwaahidi/kuwapa chochote kitu mawakala wenye njaa kali.
Kwa chaguzi nyingi hapa nchini, vyama 'vingine' hushindwa kuajiri mawakala kila kituo sababu ya ukata.
Baada ya kupiga kura wanachama wataruhusiwa kulinda kura zao?
Na asipoenda nyumbani? Mathlani akienda kanisani au msikitini? Kazini? Shambani? Kwa mpango wake wa kando? Kwenye kijiwe cha jirani? Akifanya vyote badala ya kwenda nyumbani atakuwa amekiuka kifungu kipi cha sheria ipi?sio kazi ya wanachama kulinda kura.
kazi ya wanachama ni kupiga kura kisha kwenda nyimbani kusubiri matokeo.
Itakuwa shwari kabisa. Kama hapatakuwa na jaribio la kuiba kura. Au kubadilisha matokeo kwa njia yeyote.Sasa kila mtu akitaka abaki kituo Cha Kura ili alinde Kura za chama chake itakuwaje 🤔?
Ahaaaaa... mnataka mawakala wabaki wenyewe ili muwanunue?Kama umeshindwa kumwamini wakala wako atizame kura zako sasa umemweka wa Nini?
Kwamaana hiyo bado hatujawa na watu wenye uchungu,wanaopigania maendeleo ya watu kutoka upinzani,kiasi kwamba wananunulika kirahisi[emoji848]? Au ndo kusema kwamba kila mtu kwenye siasa yupo kwaaliji ya tumbo lake eeh[emoji848]?
Mkuu acha dharau, sio kitu kizuri.Hivi kazi ya makamishina wa tume ni ipi? au ndio hawa majaji wa UPE?