Habari zinazosikika ni kwamba NEC itatangaza ratiba ya uchaguzi mdogo Jimbo la Singida Mashariki na kata zilizowazi muda wowote ndani ya wiki hii.
Inasemekana kuwa "Inaonekana" tishio la Lissu kwenda Mahakamani limeharikisha utoaji wa ratiba ili "ku confuse things"
Inasemekana kuwa "Inaonekana" tishio la Lissu kwenda Mahakamani limeharikisha utoaji wa ratiba ili "ku confuse things"