Tetesi: NEC kutoa ratiba ya uchaguzi mdogo Jimbo la Singida Mashariki na Kata zilizo wazi wiki hii.

Tetesi: NEC kutoa ratiba ya uchaguzi mdogo Jimbo la Singida Mashariki na Kata zilizo wazi wiki hii.

Tundu Lissu ni moto wa kuotea mbali watu wameshajua huyu jamaa akigombea uraisi atashinda 2020 hivyo njia pekee ya kumpoteza ni kumfutia ubunge wake akose sifa za kuwa mgombea Urais
mkuu nieleweshe kidogo na mimi,Siku ili kuwa mbunge ni moja ya sifa za mtu kuweza kugombea urais?
 
Back
Top Bottom