Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumfutia ubunge TL hakuna uhusiano na umashuhuri wake katika kugombea uraisi. Ila ni Mtanzania gani atamchagua Lissu awe rais wake? Kwa lipi? Amemtukana baba wa taifa Mwalimu Nyerere hadharani. Atakuwa rais wa watoto wake? Yeye anapinga wezi kusafirisha makenikia japo aliandika kitabu kuaminisha ulimwengu kuwa TZ tunaibiwa kupitia hayo makenikia. Sasa ndio huyo awe rais wa nani? Hata Mungu wa mbinguni hatakubali.TUNDU LISSU NI MOTO WA KUOTEA MBALI WATU WAMESHAJUA HUYU JAMAA AKIGOMBEA URAISI ATASHINDA 2020 HIVYO NJIA PEKEE YA KUMPOTEZA NI KUMFUTIA UBUNGE WAKE AKOSE SIFA ZA KUWA MGOMBEA URAISIIII
Hii nchi tuna mavi-ongozi mataahira, yaani tumebakiza miezi 15 tuende kwenye uchaguzi mkuu watu wanataka kuitisha uchaguzi mdogo? Hata kama jimbo lingekuwa wazi hii haikubaliki, haya ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi! Watumishi wa umma hawajaongezwa mishahara leo hii kunapatikana pesa ya kumwaga, kweli ukiongozwa na taahira tarajia kuangukia shimoni! Kwa ufupi ile namba moja ni taahira!
Hivi ukiitwa juha utalalamika, kama hujui sifa za mtu anaefaa kugombea Urais kwa mujibu wa katiba si upige kimyaTundu Lissu ni moto wa kuotea mbali watu wameshajua huyu jamaa akigombea uraisi atashinda 2020 hivyo njia pekee ya kumpoteza ni kumfutia ubunge wake akose sifa za kuwa mgombea Urais
mkuu ni käzi maana asilimia kubwa ya watanzania tuishio Ulaya ndo, shughuliLisu bora atafute shughuli ya kufanya huko Ulaya hata kuosha masufuria kwenye migahawa
Lisu hawezi kuwa hata rais wa wehu kama yeyeTundu Lissu ni moto wa kuotea mbali watu wameshajua huyu jamaa akigombea uraisi atashinda 2020 hivyo njia pekee ya kumpoteza ni kumfutia ubunge wake akose sifa za kuwa mgombea Urais
Kweli alee wazee tu huko ulaya huku chadema wakiendelea kukusananya na kula pesa zake za michangoLisu bora atafute shughuli ya kufanya huko Ulaya hata kuosha masufuria kwenye migahawa
Demokrasia ni ghali si mnalilia demokrasiaHii nchi tuna mavi-ongozi mataahira, yaani tumebakiza miezi 15 tuende kwenye uchaguzi mkuu watu wanataka kuitisha uchaguzi mdogo? Hata kama jimbo lingekuwa wazi hii haikubaliki, haya ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi! Watumishi wa umma hawajaongezwa mishahara leo hii kunapatikana pesa ya kumwaga, kweli ukiongozwa na taahira tarajia kuangukia shimoni! Kwa ufupi ile namba moja ni taahira!
Hawa makamasi sio makamandaNa makamanda mmekwama kabisa
Hawa makamasi sio makamandaNa makamanda mmekwama kabisa
Hawa makamasi sio makamandaNa makamanda mmekwama kabisa
Lisu bora atafute shughuli ya kufanya huko Ulaya hata kuosha masufuria kwenye migahawa
Hawa makamasi sio makamandaNa makamanda mmekwama kabisa
Mzimu wa nyerere hauta muacha vemaKumfutia ubunge TL hakuna uhusiano na umashuhuri wake katika kugombea uraisi. Ila ni Mtanzania gani atamchagua Lissu awe rais wake? Kwa lipi? Amemtukana baba wa taifa Mwalimu Nyerere hadharani. Atakuwa rais wa watoto wake? Yeye anapinga wezi kusafirisha makenikia japo aliandika kitabu kuaminisha ulimwengu kuwa TZ tunaibiwa kupitia hayo makenikia. Sasa ndio huyo awe rais wa nani? Hata Mungu wa mbinguni hatakubali.
Wewe kwa vile hapa bongo umekosa cha kufanya mpaka umeamua kutumika kinyume cha maumbile ndiyo maana unatoa kejeli hii.
Mbona mnatumia nguvu nyingi?Ninauhakika lisu akigombea chochote hapa tz hapati. Hivyo ni bora abaki hukohuko ulaya anaweza pata kazi nyingine
Kama kichaa aliyefukuzwa seminari na kuhamia Lake secondary school anatawala na kutwa anawatukana itakuwa Lisu?Hivi ukiitwa juha utalalamika, kama hujui sifa za mtu anaefaa kugombea Urais kwa mujibu wa katiba si upige kimya
GaMzimu wa nyerere hauta muacha vema
Mnaojua mnisaidie,Hivi magufuli alipata nafasi ya kufanya kampeni kwa muda wote wa miaka minne kwa ruhusa ya tume au kwa kuwa ni rais au kwa kuwa ni mwenyekiti wa ccm?Habari zinazosikika ni kwamba NEC itatangaza ratiba ya uchaguzi mdogo Jimbo la Singida Mashariki na kata zilizowazi muda wowote ndani ya wiki hii.
Inasemekana kuwa "Inaonekana" tishio la Lissu kwenda Mahakamani limeharikisha utoaji wa ratiba ili "ku confuse things"