Wewe kwa vile hapa bongo umekosa cha kufanya mpaka umeamua kutumika kinyume cha maumbile ndiyo maana unatoa kejeli hii.Lisu bora atafute shughuli ya kufanya huko Ulaya hata kuosha masufuria kwenye migahawa
Mzee Meko kaharibu kabisa nchi.
Maneno yako yana kauchochezi kwa mbali.TUNDU LISSU NI MOTO WA KUOTEA MBALI WATU WAMESHAJUA HUYU JAMAA AKIGOMBEA URAISI ATASHINDA 2020 HIVYO NJIA PEKEE YA KUMPOTEZA NI KUMFUTIA UBUNGE WAKE AKOSE SIFA ZA KUWA MGOMBEA URAISIIII
SaaanaaaaMzee Meko kaharibu kabisa nchi.
Hii nchi tuna mavi-ongozi mataahira, yaani tumebakiza miezi 15 tuende kwenye uchaguzi mkuu watu wanataka kuitisha uchaguzi mdogo? Hata kama jimbo lingekuwa wazi hii haikubaliki, haya ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi! Watumishi wa umma hawajaongezwa mishahara leo hii kunapatikana pesa ya kumwaga, kweli ukiongozwa na taahira tarajia kuangukia shimoni! Kwa ufupi ile namba moja ni taahira!
Hiyo ndio gharama ya demokrasia,mnayoipigia kelele kila siku, uwe mpole, ni takwa la kikatiba,Hii nchi tuna mavi-ongozi mataahira, yaani tumebakiza miezi 15 tuende kwenye uchaguzi mkuu watu wanataka kuitisha uchaguzi mdogo? Hata kama jimbo lingekuwa wazi hii haikubaliki, haya ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi! Watumishi wa umma hawajaongezwa mishahara leo hii kunapatikana pesa ya kumwaga, kweli ukiongozwa na taahira tarajia kuangukia shimoni! Kwa ufupi ile namba moja ni taahira!
Unaruhusiwa kuiponda, umezuiwa?Labda hawana la kufanya hii imetengenezwa kuzuia watu wasiiponde timu ya TAIFA kwa jinsi Mkuu Fulani alivyoikuza lakini ikabondwa