Uchaguzi 2020 NEC: Matokeo ya Urais yataanza kupokelewa kuanzia usiku wa leo kutoka kwenye Majimbo

Uchaguzi huu CCM inashinda kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Hakuna tatizo wakianza kutupa yao waliyopiga kisha tujumuishe na yajayo.
 
CCM ni magwiji wa siasa za TANZANIA na AFRICA kwa ujumla na experience huwa haidanganyi.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Raha iliyoje MAGUFULI kutuvusha awamu nyingine jemidari mwongoza mwendo
 
Hatoboi sababu ya kura yako moja? Umeweka kijiko cha chumvi ziwani na huyo unayemsema atashinda kwa zaidi ya 85%
Ila hongera kwa kutimiza wajibu wako
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Hatoboi sababu ya kura yako moja? Umeweka kijiko cha chumvi ziwani na huyo unayemsema atashinda kwa zaidi ya 85%
Ila hongera kwa kutimiza wajibu wako
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Leo kwa tarehe ya wenzetu (tarehe 12 kwa kalenda ya kiislam) ni siku ya kuzaliwa mtume na kesho ni siku ya Maulidi.

Kesho mheshimiwa Majaliwa Kassim amekaribishwa chakula cha mchana pale ukumbi wa Karimjee.

Pia atapata fursa ya kuzungumza machache kutunuku siku hiyo muhimu kwa taifa letu.

Inshaalah!
 
πŸ’₯πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…