Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Wakuu bila kumumunya maneno kuna baadhi ya wana JamiiForums hasa wa vyama vya upinzani wana uelewa mdogo sana.
Uwezo wao wa ku reason mambo ni mdogo sana.
Wametyuni akili zao kwenye kushabikia siasa bila kukielewa kile wanacho kishabikia.
Wamekariri katiba na baadhi ya vifungu vya sheria ili tujue kwamba wanayaelewa mambo ya uongozi.
Lakini ukweli ni kwamba ushabiki wao umewapumbaza akili zao washindwe kuelewa kanuni za mchezo hata wa Simba na Yanga.
Hawajui kazi za refarii kwenye mchezo, wanaona ni sawa eti refali kumchezesha mchezaji aliye fanya madhambi uwanjani na aliyekwenda kinyume na kanuni za maadili ya mchezo.
Sikariri katiba wala sheria ila natumia uwezo wangu kutafakari kwasababu hata hizo sheria zilitungwa na wanadamu kama mimi.
NEC ni sawa na TFF au FIFA, NEC ndiye sawa na refa. CCM, CHADEMA, ACT, CUF hizi ndio timu zetu. Hizi timu zinawashabiki wao, ambapo wengine hawana akili za kutafakari ila wanashabikia tu.
NEC kama Refali au TFF au FIFA ndiye msimamizi wa ligi inayofanyika kila baada ya miaka mitano mwezi wa 10. Lakini kabla ya mchezo huo kufanyika ni lazima NEC ahakikishe timu zote na wachezaji wa timu zote wanaokwenda kushiriki kwenye ligi hiyo wanakidhi vigezo vya kushiriki ligi hiyo.
Wale ambao hawakidhi vigezo vya kushiriki ligi kamati ya maadili ya NEC au FIFA au TFF huwaondoa kwenye ligi na huwapatia adhabu ya kutoshiriki ligi kwa muda wa miezi au miaka kadhaa.
Hivyo ndivyo mambo yaendavyo. Wachezaji waliokwenda kinyume na kanuni za FIFA au TFF au NEC huenguliwa kwenye ligi ili wakajitathimi na kujifunza kwaajili ya ligi zijazo.
Tujifunze kutafakari mambo kwa kina badala ya kushabikia shabikia tu. Tuwaachie NEC, TFF, FIFA na refarii wafanye kazi yao. Hiyo ndio kazi ya NEC.
Kama wajumbe wamemaliza kazi yao basi huu ni muda wa NEC. Kama timu haijapanda daraja haina haja kuihusisha kwenye ligi. Wachezaji waliofanya madhambi na waliokwenda kinyume na kanuni za maadili za NEC au TFF hao hawafai kuwepo kwenye ligi kwa maana hawakidhi vigezo.
Ni Mimi meneja wa makampuni a. k. a Mr. Newton wa Tz
Sent from HUAWEI MATE 40 PRO
Uwezo wao wa ku reason mambo ni mdogo sana.
Wametyuni akili zao kwenye kushabikia siasa bila kukielewa kile wanacho kishabikia.
Wamekariri katiba na baadhi ya vifungu vya sheria ili tujue kwamba wanayaelewa mambo ya uongozi.
Lakini ukweli ni kwamba ushabiki wao umewapumbaza akili zao washindwe kuelewa kanuni za mchezo hata wa Simba na Yanga.
Hawajui kazi za refarii kwenye mchezo, wanaona ni sawa eti refali kumchezesha mchezaji aliye fanya madhambi uwanjani na aliyekwenda kinyume na kanuni za maadili ya mchezo.
Sikariri katiba wala sheria ila natumia uwezo wangu kutafakari kwasababu hata hizo sheria zilitungwa na wanadamu kama mimi.
NEC ni sawa na TFF au FIFA, NEC ndiye sawa na refa. CCM, CHADEMA, ACT, CUF hizi ndio timu zetu. Hizi timu zinawashabiki wao, ambapo wengine hawana akili za kutafakari ila wanashabikia tu.
NEC kama Refali au TFF au FIFA ndiye msimamizi wa ligi inayofanyika kila baada ya miaka mitano mwezi wa 10. Lakini kabla ya mchezo huo kufanyika ni lazima NEC ahakikishe timu zote na wachezaji wa timu zote wanaokwenda kushiriki kwenye ligi hiyo wanakidhi vigezo vya kushiriki ligi hiyo.
Wale ambao hawakidhi vigezo vya kushiriki ligi kamati ya maadili ya NEC au FIFA au TFF huwaondoa kwenye ligi na huwapatia adhabu ya kutoshiriki ligi kwa muda wa miezi au miaka kadhaa.
Hivyo ndivyo mambo yaendavyo. Wachezaji waliokwenda kinyume na kanuni za FIFA au TFF au NEC huenguliwa kwenye ligi ili wakajitathimi na kujifunza kwaajili ya ligi zijazo.
Tujifunze kutafakari mambo kwa kina badala ya kushabikia shabikia tu. Tuwaachie NEC, TFF, FIFA na refarii wafanye kazi yao. Hiyo ndio kazi ya NEC.
Kama wajumbe wamemaliza kazi yao basi huu ni muda wa NEC. Kama timu haijapanda daraja haina haja kuihusisha kwenye ligi. Wachezaji waliofanya madhambi na waliokwenda kinyume na kanuni za maadili za NEC au TFF hao hawafai kuwepo kwenye ligi kwa maana hawakidhi vigezo.
Ni Mimi meneja wa makampuni a. k. a Mr. Newton wa Tz
Sent from HUAWEI MATE 40 PRO