Uchaguzi 2020 NEC ndiyo inaweza kuleta vurugu Tanzania sio Vyama vya Siasa

Uchaguzi 2020 NEC ndiyo inaweza kuleta vurugu Tanzania sio Vyama vya Siasa

Hawa wote mnawalaumu bure, kama fujo zikitokea na kuvuruga Uchaguzi kwavile JIWE anaelekea kushindwa, wakulaumiwa ni JIWE peke yake kwani ndiye ARCHITECT!!
Ccm kingdom is falling no matter what
 
Kwanza nianze kwa kukushangaa na kukuuliza swali kuwa Tume inasababishaje vurugu wakati haipigi kampeni zaidi ya wao kusimamia Sheria pia kila chama kitakua na wakala wakati upigaji kura, uhesabuji kura wanakuwepo Sasa huo wizi unatokeaje?
Mahera anapigia kampeni mgombea wake aliyefeli na kutoa matamko yenye mlengo wa upendeleo.we are keeping records.he will be responsible individually.
 
Kwanza nianze kwa kukushangaa na kukuuliza swali kuwa Tume inasababishaje vurugu wakati haipigi kampeni zaidi ya wao kusimamia Sheria pia kila chama kitakua na wakala wakati upigaji kura, uhesabuji kura wanakuwepo Sasa huo wizi unatokeaje?
Daaah
 
NEC wana sahau kwamba vyama vya upinzani kazi yao kuu ni kutaka kuitoa Ccm madarakani. Rither kwa kusema uongo au kweli. Hawachagui silaha. Unapo walazimisha wacheze ngoma za Ccm ni upotolo
 
Hawa wote mnawalaumu bure, kama fujo zikitokea na kuvuruga Uchaguzi kwavile JIWE anaelekea kushindwa, wakulaumiwa ni JIWE peke yake kwani ndiye ARCHITECT!!
Huyo hatusumbui tutajua Kama Ni mtanzania au siyo
 
Vyama vya siasa vinapaswa kufuata kanuni za Uchaguzi na sio matakwa binafsi.

Huwezi ukalazimisha jambo wakati kanuni hazitambui, lazima tatizo litokee.

Vyama vya siasa pia vina wajibu wa kuwaelemisha wanachama na wafuasi wake kuhusiana na mambo yanayopaswa kufanyika kipindi hiki na yale pia yasiyopaswa.
 
What I know for sure is , this october i’m voting for TUNDU LISSUu for so many reasons. but the biggest of all is that i don’t want to see some insecure, paranoid man in the highest office in the country who cares very little about laws and constitution. i also ask you to vote for TUNDU LISSU.

Babymama cariha , pls join me

Sorry, I cannot vote a person who insults us as wapumbafu wanaopeleka watoto wao sekondari za kata. Wa kwake wanaenda private za Belgium. Does this sound like a person to be voted by right minded person like me..HELL NO.
 
Kwanza nianze kwa kukushangaa na kukuuliza swali kuwa Tume inasababishaje vurugu wakati haipigi kampeni zaidi ya wao kusimamia Sheria pia kila chama kitakua na wakala wakati upigaji kura, uhesabuji kura wanakuwepo Sasa huo wizi unatokeaje?
Nenda ugoogle kwa jinsi gani tume ya uchaguzi kenya ilisababisha umwagikaji damu kwa sababu kama hizi.
 
NEC Imekuwa mbele sana kujipendekeza kwa CCM na kuanza kujadili hoja badala ya kuwaaachia vyama vishindane. Vile vile wana toa miongozo ambayo haiwahusu ya kitu gani au agenda gani ziongelewe.

Vurugu itatokea tu pale ambako hakutakuwa na uwazi kwenye siku ya kura na kuhesabu kura. Ukiangalia hakuna mbunge hata mmoja wa CCM ambaye amenyimwa au kuzuia kugombea lakini imebakia ni wapinzani pekee hii pia ni kujipendekeza na kusikiliza wagombea binafsi badala ya kujali maslahi ya taifa.

Mkurugenzi wa NEC kuonekana kwenye video ya CCM Arusha siku za nyuma akijadili jinsi wanavyosaidia CCM kwenye uchaguzi na kutaja kwa sifa mtu wake wa computer nayo inaonyesha huyu ni kada.

Kama NEC haitawaruhusu vyama vya wapinzani kuwa na wawakilishi wao na kuwapa matokeo kwenye kila kituo watakuwa wametangaza fujo maana matokeo yeyote hapo hayata kubaliwa. Cha ajabu NEC wanafikiri Lissu na Seif pekee ndiyo tatizo kumbe tatizo kubwa na watu wa kuwaogopa ni wananchi ambao hawa ni waakilishi tu.

Tushauri NEC ihakikishe uchaguzi unakuwa halali msije kumpeleka Magufuli masikini kwenye kesi za mauaji kama Kenyetta. Na kibaya zaidi ushahidi sasa upo na kuna kundi tayari limeanza kuandaa video zote wakati wa kampeni. Polisi mpaka sasa wanafanya kazi nzuri.
View attachment 1583995
[/QUOT
NEC Imekuwa mbele sana kujipendekeza kwa CCM na kuanza kujadili hoja badala ya kuwaaachia vyama vishindane. Vile vile wana toa miongozo ambayo haiwahusu ya kitu gani au agenda gani ziongelewe.

Vurugu itatokea tu pale ambako hakutakuwa na uwazi kwenye siku ya kura na kuhesabu kura. Ukiangalia hakuna mbunge hata mmoja wa CCM ambaye amenyimwa au kuzuia kugombea lakini imebakia ni wapinzani pekee hii pia ni kujipendekeza na kusikiliza wagombea binafsi badala ya kujali maslahi ya taifa.

Mkurugenzi wa NEC kuonekana kwenye video ya CCM Arusha siku za nyuma akijadili jinsi wanavyosaidia CCM kwenye uchaguzi na kutaja kwa sifa mtu wake wa computer nayo inaonyesha huyu ni kada.

Kama NEC haitawaruhusu vyama vya wapinzani kuwa na wawakilishi wao na kuwapa matokeo kwenye kila kituo watakuwa wametangaza fujo maana matokeo yeyote hapo hayata kubaliwa. Cha ajabu NEC wanafikiri Lissu na Seif pekee ndiyo tatizo kumbe tatizo kubwa na watu wa kuwaogopa ni wananchi ambao hawa ni waakilishi tu.

Tushauri NEC ihakikishe uchaguzi unakuwa halali msije kumpeleka Magufuli masikini kwenye kesi za mauaji kama Kenyetta. Na kibaya zaidi ushahidi sasa upo na kuna kundi tayari limeanza kuandaa video zote wakati wa kampeni. Polisi mpaka sasa wanafanya kazi nzuri.
View attachment 1583995
[





Hatuwezi kukubali mtu mmoja anayenufaika kwa kodi zetu atuharibie nchi kulinda maslahi yake.
Hakuna mtu asiyechaguliwa atakayepata kibali cha Mungu kuongoza nchi hii.

Tena napendekeza ile wiki ya mwisho ya uchaguzi watu wakeshe wakiomba na kufunga na kila mtu asome dua za kuwadhuru wote watakaovuruga Haki ya mpiga kura katika Taifa hili . Hsiwezekani tuendelee kuwapa mamlaka wezi kwa wizi wa kura. Yani watu wameifilisi nchi kwa kuuza mpaka nyumba za serikali zote na nyingine wamejiuzia kwa bei rahisi halafu tena anatokea oCD wa ajabu anatumia risasi za umma tena kuhakiikisha hao wezi wanashinda kwa wizi tena ? Hapana !!
Kama watashinda washinde kwa Haki. Watangazwe kwa Haki,kura zipigwe kwa uwazi na kwa haki.
Kama kweli wanaamini kuwa Mungu alituepusha na korona basi watambue kuwa huyo ndiye Mungu wa Haki. Mungu hapendi dhuluma na kujikweza . Bora huyo Mwenyekiti wa NEC aridhike na alichopewa na Mungu na atende haki kuliko kutafuta vyeo kwa kuwafurahisha Watu walioshiba kwa dhulma tangu uhuru.

Lisu aliponywa kwa sababu ya ile kiu yake ya Haki aliyo nayo.
Mungu wetu amrondoa Korona Tanzania na sasa tuzidi kumwomba aondoe Dhuluma ambayo pia ni kama Korona iliyoua watu wengi sana na kuwafunga watu wengi wasuo na hatia.
Dhulma,wizi, ufisadi,rushwa ya madaraka,kujikweza ni Korona iliyowaumiza watanzania chini ya CCM. Uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana uliwaumiza watu sana kama janga la korona kule uleya. Mungu ameamua kutetea taifa lake kwa kuliepusha na korona lakini limegauka kuwa Taifa la watu waovu ,wenye dhuluma ,waliolewa madaraka.
 
NEC Imekuwa mbele sana kujipendekeza kwa CCM na kuanza kujadili hoja badala ya kuwaaachia vyama vishindane. Vile vile wana toa miongozo ambayo haiwahusu ya kitu gani au agenda gani ziongelewe.

Vurugu itatokea tu pale ambako hakutakuwa na uwazi kwenye siku ya kura na kuhesabu kura. Ukiangalia hakuna mbunge hata mmoja wa CCM ambaye amenyimwa au kuzuia kugombea lakini imebakia ni wapinzani pekee hii pia ni kujipendekeza na kusikiliza wagombea binafsi badala ya kujali maslahi ya taifa.

Mkurugenzi wa NEC kuonekana kwenye video ya CCM Arusha siku za nyuma akijadili jinsi wanavyosaidia CCM kwenye uchaguzi na kutaja kwa sifa mtu wake wa computer nayo inaonyesha huyu ni kada.

Kama NEC haitawaruhusu vyama vya wapinzani kuwa na wawakilishi wao na kuwapa matokeo kwenye kila kituo watakuwa wametangaza fujo maana matokeo yeyote hapo hayata kubaliwa. Cha ajabu NEC wanafikiri Lissu na Seif pekee ndiyo tatizo kumbe tatizo kubwa na watu wa kuwaogopa ni wananchi ambao hawa ni waakilishi tu.

Tushauri NEC ihakikishe uchaguzi unakuwa halali msije kumpeleka Magufuli masikini kwenye kesi za mauaji kama Kenyetta. Na kibaya zaidi ushahidi sasa upo na kuna kundi tayari limeanza kuandaa video zote wakati wa kampeni. Polisi mpaka sasa wanafanya kazi nzuri.
View attachment 1583995
huyu mkurugenzi nikimwangalia nakumbuka tar 5 sept 2018 alivyofokewa na DC JERRY MURO pale Arumeru
 
Back
Top Bottom