Uchaguzi 2020 NEC: Tulifanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum baada ya orodha ya majina hayo kuwasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA 19 Novemba 2020

Tunasemaje ukimaanisha tuna imani na kinachosemwa na tume ama? Kama hiyo tume ilitoa matokeo ya kura za kwenye mabeg, sasa hii ndio it's sema ukweli? Cdm fukuza hao wahuni ili wao na tume wakajuane.
Nacheka Sana jinsi wee jamaa unavyobebwa hovyo na wanasiasa aisee inasikitisha sana.
Shituka mkuu huku tuendako siko maigizo yamezidi hapo kaka.
 
Uteuzi tarehe 19.11.2020...Mteuliwa mmoja bado yuko mahabusu...lakini Chadema hawajali wanapeleka jina lake.

Then siku moja kabla ya kuapishwa DPP anaondoa mashtaka usiku. Halafu siku ya pili anaapishwa....

Sijui connection ikoje hapa?
 
Ni wivu tu, watu hawataki dada zetu na mama zetu wakapige mpunga huko bungeni. Haya sasa na uthibitisho ndo huo, kwamba chadema wenyewe akiwemo katibu mkuu wao ndo waliopeleka hayo majina ya viti maalum Nec.

NB; Hao kina dada na kinamama viti maalum chadema wasibugudhiwe muwaache wakapige kazi.
 
Kwa mlolongo wa matukio mbali mbali tata ya hii Tume ya Mahera, naelekea kumuamini Mnyika kuliko Mahera. Kuna JINAI imefanyika kughushi sahihi ya J.J.Mnyika ili kuhalalisha HARAMU! Yajayo yanatia KICHEFUCHEFU sana.
Hili linaonekana wazi.
 
Hivi kuna wafuasi wa chadema ambao bado wanaumizwa na haya mambo?
Nadhani huu ni muda kujua walipo sio sehemu sahihi na kufanya maamuzi
 
Lolote litakalo semwa na viongozi wetu wa Chadema, ni kweli na sisi hatuna shaka nalo
Tatizo lenu mnawaamini Sana viongozi wa chadema kana kwamba wao ni Malaika hapana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…