Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Nacheka Sana jinsi wee jamaa unavyobebwa hovyo na wanasiasa aisee inasikitisha sana.Tunasemaje ukimaanisha tuna imani na kinachosemwa na tume ama? Kama hiyo tume ilitoa matokeo ya kura za kwenye mabeg, sasa hii ndio it's sema ukweli? Cdm fukuza hao wahuni ili wao na tume wakajuane.
Shituka mkuu huku tuendako siko maigizo yamezidi hapo kaka.