Anahamasisha chuki na vurugu nchini.Uko sahihi kabisa. Hata NEC ingekuelewa au ingeelewa kama wewe, haingekua na haja ya kupata hiyo hofu. Mafuriko yenyewe yanayokua kwa Lissu ni madogo, pia hao wanaokusanyika kwa Lissu siyo wapiga kura. Ungefanya utaratibu wa kuwatuliza NEC kwamba huyu mtu hana madhara, watulie tu.
Lowassa alishinda jwa sabuni za CHADEMA walivyomtakasa baada ya kumtia dhambi?Ha
lowassa alishinda ule uchaguzi lakini alitangazwa mwingine hivyo umakini unahitajika zaidi katka huu uchaguzi
HahahahaLissu sio Lowasa wa kumuachia Mungu,pili hoja ya awajaajiandikisha ni hoja mufilisi kabisa,kwani hao nyomi wa CCM wamejiandikisha.
Uchaguzi wa 2015 ushapita na tunaelekea huu wa 2020 ambapo swali kama hili utamuuliza mtu mmoja huko 2025Umeshajiuliza Lowasa alibebwa na vyama vingapi?
Wizi wa kura mara zote..mwaka huu sasa basiiii..Magu atafurahi aibe kura aoneUnamkumbuka Agustino mrema, seifu,w.slaa na lowasa na bado walipigwa chini
Wewe utakuwa mgeni kwenye siasa za bongo
Unaweza kuelezea namna anavyohamasisha chuki na vurugu?Anahamasisha chuki na vurugu nchini.
Kumuacha afanye atakavyo ni kujiweka rehani
Sijui sisi watanzania tulikua wapi kudai tume ya Uchaguzi , majirani zetu Kenya wanashangaa, mgombea ndiye anayeteua wajumbe, wakurugenzi na makamishna wa tume kweli tutegemee mkurugenzi atamwangusha aliyempa ugali?? Tuamke tuamkeMafuriko yake yanazidi yale ya Lowassa?
Je wanaokuja tena kwa idadi ndogo ni wapigakura?
Sisi wapiga kura tupo majumbani tunasubiri tarehe tukampigie Magu tena
Awe nazo asiwe nazo zingatieni uchaguzi huru na wa haki. Hofu ya nini mbona silaha zenu mnaelekeza kwa Lissu kama si hofu ni nini. Hila mbaya na mipango ovu iko hadharani. Kwa nink hayoSiyo Lowasa wa kumuachia Mungu?
Atafanya nini sasa? Acheni ujinga!
Lissu hana kura za kuifanya tume kupindisha matokeo, hana, atapata chini ya 20%
Mtu wenu kafeli sana! Hata wale waliokuwa na imani nae wamesharudi nyuma kwamba kumbe wanamchagua Amsterdam na si Lisu
Nibonyeze ngapi ili kupata vichekesho vingine kama hivi🤔?NEC wameongeza hamu ya watu kumsikiliza Lisssu, kura za Lissu zitaongezeka.
Kaa subiri watu wafanye kazi uje ushangilie na kuwacheka upinzani sababu you understand nothing zaidi ya kushangilia.Mjinga katika ubora wako
Umeshajiuliza mafuriko ya Lissu ni ya vyama vingapi?Ata kama ni vyama kumi kwani wapiga kura wake wamekufa ?
Swali kubwa sana limekuzidi uwezoUchaguzi wa 2015 ushapita na tunaelekea huu wa 2020 ambapo swali kama hili utamuuliza mtu mmoja huko 2025
Kijana aliyezaliwa 1995 hajui hayo mafuriko ya Mrema.sa hizi ni ana miaka 25,in mpiga kura mwaka huu,na ana elimu ya chuo ameelimika usimweleze huu utopolo wako,na hawa ndio wana mwamko na mabadiliko,wamezaliwa wakakuta mfumo Wa vyama vingi.wengi wanaochukia ccm maana kwa miaka hii mitano wengi walinyimwa mikopo kosa wamesoma shule za private nk.
Asilimia kubwa ya wananchi ni vijana,wazee ambao ndio mtaji Wa ccm sio wengi kama vijana ,pia wazee wengine hawaitaki ccm,huu utawala Wa awamu hii ya tano ulikuwa Wa mateso kwa asilimia kubwa ya wananchi.