Uchaguzi 2020 NEC tumieni mafuriko mikutano ya Lissu kusoma alama za nyakati

NEC itasimamia kwa haki kabisa. CHADEMA mtashindwa mapema sana, msituchoshe, kubalini matokeo mpumzike miaka 5 hii Ilani ya CCM iendelee kutekelezwa
 
Mkurugenzi wa NEC CCM alishasema tayari hivyo matokeo yalishatoka kabla hata ya kuanza mchakato
Kama matokeo unayo wahi nayo mahakamani kabla hatujapiga kura. Wewe ni bogas
 
Mashabiki wa chadema ni wajinga sana!

Hayo mafuriko Magu hana?

Kwanini huu uchguzi mmeshajiaminisha kwamba mna shinda? Kwa vigezo vipi?

Hivi mnafikiri hao mabwana zenu wao ni wajinga hawaoni uhalisia?
Endeleeni kupiga magoti.
 
NEC ni chombo imara Sana vihoja Kama hivi si kitu kwao haki itatendeka kwa kufuata utaratibu si mafuriko
 
Yaaani wewe jamaaa ukapimwe akili kidogo aliyekwambia awapewi kipaumbele kwenye radio na tv stations nani?nyie si mlifukuza watu kuwa amuwataki kumbe roho inauma,mnapewa air time tena ya bure,pia Kuna yakulipia.pia aliyekuwaambia mafuriko hayo unayosema ndio yanayopiga kura?Lowasa alikuwa na nyomi kubwa zaidi ya huyu lkn alipigwa sembuse huyu jamaa yenu .hapo mnajidanganya mtakula za uso asubuhi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…