Ameshindwa kukemea wanaccm wakati wanapiga Kisukuma kwenye kampeni ni aibu tupuHuyu mwanaccm kindakindaki aliyepo tume hana chochote..
NEC CCMMkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Willson Mahera Charles ametoa ufafanuzi juu ya upotoshwaji uliofanywa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, John Mnyika kuhusiana na mchakato wa Manunuzi wa Karatasi za kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.
View attachment 1597988View attachment 1597990View attachment 1597991View attachment 1597992View attachment 1597993
Mkuu umeona utata wa wazi kwenye hiyo barua. Hizo kampuni mbili kwanza kuna utata wa namba, tunaona kampuni namba 2 ya Kenya na 3 ya Dubai. Ukiachia utata wa hizo namba maana hakuna namba moja. Lakini hizo kampuni mbili za Kenya na Dubai zina uhusiano gani na Kampuni iliyoshinda zabuni ya Afrika Kusini?Huyu mwanaccm kindakindaki aliyepo tume hana chochote..
Wamebanwa hawana pa kutokea , Mahera atafungwa kizembe sana !Wameshaingia kwenye mtego,wasubiri kujibiwa.
Aibu imewashika wapotoshaji wa kinazi.Huyu mwanaccm kindakindaki aliyepo tume hana chochote..
Mkuu unge download document nzima ndio ukaja kuelezea utata wa namba, ila kutumia hii iliyowekwa kama picha unakosea sana, hapo ndipo chadema mnapokwamaMkuu umeona utata wa wazi kwenye hiyo barua. Hizo kampuni mbili kwanza kuna utata wa namba, tunaona kampuni namba 2 ya Kenya na 3 ya Dubai. Ukiachia utata wa hizo namba maana hakuna namba moja. Lakini hizo kampuni mbili za Kenya na Dubai zina uhusiano gani na Kampuni iliyoshinda zabuni ya Afrika Kusini?
CDM wanapaswa kuibana tume ifaavyo maana ukweli unazidi kusogea karibu.
Una akili sana mwandishi anataka kudanganya halafu hajafuzu uongo maana wameandika kampuni ya Dubai na Kenya huku tunaona afrika kusini,swali kampuni gani inayosambaza vifaaa watuambieMkuu umeona utata wa wazi kwenye hiyo barua. Hizo kampuni mbili kwanza kuna utata wa namba, tunaona kampuni namba 2 ya Kenya na 3 ya Dubai. Ukiachia utata wa hizo namba maana hakuna namba moja. Lakini hizo kampuni mbili za Kenya na Dubai zina uhusiano gani na Kampuni iliyoshinda zabuni ya Afrika Kusini?
CDM wanapaswa kuibana tume ifaavyo maana ukweli unazidi kusogea karibu.
he is taking things for grantedHuyu mwanaccm kindakindaki aliyepo tume hana chochote..
Wewe na tindo hamjapakua hata hiyo document tiyari mshaanza kuikosoa. Kuna tofauti kati ya taarifa ilivyotolewa na ilivyowasilishwa. Aliyeileta ndiye kakata ile kampuni ya kwanza.Unakili sana mwandishi nataka danganya alafu ajafuzu uongo maana wameandika kampuni ya Dubai na Kenya uku tunaona afrika kusini swali kampuni gani inayosambaza vifaaa watuambie
Hiyo avatar Mbowe akiiona ni shida.Nimeelewa lengo la machadema