NEC yafafanua Upotoshaji kuhusu Karatasi za kupiga kura Uchaguzi Mkuu 2020

NEC yafafanua Upotoshaji kuhusu Karatasi za kupiga kura Uchaguzi Mkuu 2020

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Willson Mahera Charles ametoa ufafanuzi juu ya upotoshwaji uliofanywa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, John Mnyika kuhusiana na mchakato wa Manunuzi wa Karatasi za kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Bwana Mnyika uje ujibu hizi tuhuma za upotoshaji juu yako , la sivyo utakigharimu chama chako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanavyokimbilia kujifanya wanafuata sheria utadhani kweli kucite vifungu ambavyo havifuatwi Ni kazi bure na Ni utapeli na wizi Kama wezi wengine tu
 
Inakuaje kila akiongea asiye mwana ccm ni mchochezi au mpotoshaji?.
 
Ameshindwa kukemea wanaccm wakati omega Kisukuma kwenye kampeni ni aibu tupu
Kiruga gani kama anaowahutubia wanakijua?
Mbona tundu ameongea umekaa kimya?
Akiongea kisukuma dar wakat wakazi sio.wasukuma hapo sawa
 
Upotishaji wa John Mnyika uko wapi?

Aliita vyombo vya habari kuelezea mapungufu ya NEC katika kufanya majukumu yao mbalimbali na tetesi mbalimbali zinazisambaa kuhusu watu wanaopewa kazi za uchaguzi na NEC

Na mwisho aliitaka NEC wajitokeze kuweka mambo clear juu ya tetesi za tuhuma mbalimbali zinazoelekezwa NEC kutaka kuhujumu mchakato wa zoezi la uchaguzi kwa nia na lengo la kuisaidia CCM kushinda bila haki.

It's good kuwa NEC kupitia kwa mtendaji mkuu wao huyu wamejitokeza kutolea ufafanuzi baadhi ya tuhuma zilizoelekezwa kwao japo hawajajibu maswali yote yaliyoulizwa na CHADEMA.

Hili siyo tatizo kwa sababu, mwaka huu na uchaguzi huu ni LAZIMA KILA KITU KITAELEWEKA TU hata awe mkali namna gani. Mwaka huu na uchaguzi huu NI HAKI BIN HAKI hakuna ujanja ujanja wa kubebana!

Bahati mbaya tu ni kuwa, Dr Wilson Mahera anaonekana kuwa na napungufu mengi sana ktk utendaji wake kama mtu anayepaswa kuwa huru and unbiased simply because yeye ni kada kindakindaki wa CCM.

Hii hali yake ya "ukada wa CCM" itamponza na kumuweka pabaya sana yeye na familia yake kama hatajirekebisha.

Kiuhalisia, amewekwa hapo na mwenyekiti wa CCM kuangamizwa tu huku yeye kijinga kabisa akidhani ni "ulaji". Huyu alipaswa kuwa jukwaani kule akimnadi mgombea wa CCM kwenye kampeni.

Utendaji mkuu wa Tume ya Uchaguzi ameupata kimakosa!
 
Mkuu unge download document nzima ndio ukaja kuekezea utata wa namba, ila kutumia hii iliyowekwa kama picha unakosea sana, hapo ndipo chadema mnapokwama
Yamelaaniwa ndiyo maana ni muhimu kuyaangamiza kabisa yapotee haya mazandiki mahuni na vibaraka wa wazungu, tena tunawasubiri baada ya uchaguzi washenzi wahuni hawa wanatuharibia nchi yetu
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Willson Mahera Charles ametoa ufafanuzi juu ya upotoshwaji uliofanywa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, John Mnyika kuhusiana na mchakato wa Manunuzi wa Karatasi za kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Wagombea gani wanadiwe wakati mmewafungia wasifanye kampeni? Kwa nini hizi taarifa za kukanusha ndizo huelezea kile wanachokisema ni ukweli badala ya huo mnaouita ukweli kuusema mapema?
 
Huyu mwanaccm kindakindaki aliyepo tume hana chochote..
Hahah

Uwa mnachekesha sana baada ya clarification la jambo moja mnadandia mnaleta viroja vingine. Na tume wenyewe wana muda sana wa kuwajibu ningelikuwa tume ningepotezea tu.

Tatizo mlikimbia bunge la katiba mpya.
 
Kiruga gani kama anaowahutubia wanakijua?
Mbona tundu ameongea umekaa kimya?
Akiongea kisukuma dar wakat wakazi sio.wasukuma hapo sawa
Tundu Lissu aliongelea proverb ya kinyaturu sio kama Mgombea wenu huko Nyehunge
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Willson Mahera Charles ametoa ufafanuzi juu ya upotoshwaji uliofanywa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, John Mnyika kuhusiana na mchakato wa Manunuzi wa Karatasi za kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Haya Sasa TUME imeshamjibu huyo mpiga kelele za zabuni kumbe nae kashirikishwa katika huo mchakato halafu anataka kuja kucheza na akili za watanzania jambo ambalo kuanzia Jana lilipingwa na wengi kwa hiyo hii hoja ya hovyo imeshajifia kifo cha mende atafute kihoja kingine Cha hovyo aje nacho aone namna gani wenzie wa TUME walivyojipanga kujibu kwa takwimu na vifungu vya sheria lakini pia watanzania tuwaelewe hawa jamaa kuwa wameishiwa sera ndio maana wankuja na vihoja hivi. Mimi nauliza TUME kwani ni lazima mtu kufanya kampeni? Kama ni lazima muwaruhusu hawa wasio na sera za kunadi kwa wananchi wakae kimya Kama sio lazima si warudishe mpira kwa kipa yaishe!
 
Back
Top Bottom