NEC yafafanua Upotoshaji kuhusu Karatasi za kupiga kura Uchaguzi Mkuu 2020

NEC yafafanua Upotoshaji kuhusu Karatasi za kupiga kura Uchaguzi Mkuu 2020

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Willson Mahera Charles ametoa ufafanuzi juu ya upotoshwaji uliofanywa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, John Mnyika kuhusiana na mchakato wa Manunuzi wa Karatasi za kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Tuna hitaji pia maelezo kuhusu rufaa za Chadema kuhusu ukiukwaji wa sheria za uchaguzi zinazo fanywa na mgombea wa Ccm..
 
Hebu wakati mwingine busara ikutume usiwe na comment vitu kabla ya kujiridhisha. Unaona kabisa hiyo barua alieupload ameikata, So it's obviously namba 1 ilikua hiyo kampuni ya South Africa na hizo za kenya na Dubai ndo zikafuata.
Wewe mwenyewe Una busara gani wewe.?
 
Ndo mana nasema mwaka huu Chadema wana ma strategist ambao wana akili sana.

Sasa NEC wameshajifunga kuhusu nani na nani wanahusila na huu uchaguzi. Watu wako field wanakusanya maushahidi juu ya yanayoendelea kufanyika.

Lazima nyoka atolewe pangoni mwaka huu come sun come rain
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ukiona coment kama hizi unafikiri alaafu unaishia kucheka tu!

Yani ukikuta chadema anavyotoa povu kuhusu huu uchaguzi utafikri kichwani ana chochote!

Yani siku hizi kigogo akitoa boko chadema nzima inaitisha vyombo vya habari!

Hakuna umbumbumbu kama huu
 
CHADEMA kupitia Katibu mkuu Mnyika wacheni tabia ya kutupotosha semeni ukweli, acheni kutuchanganya
 
Ili kulimaliza suala hili, Mkurugenzi alitakiwa kuweka wazi kuwa aliyeshinda tenda ndio waliyeingia nae mkataba na ndie anayechapisha hayo makaratasi. Alitakiwa kusema wazi kuwa Jamana hahusiki katika uchapishaji wa hayo makaratasi.

Hoja ya Mnyika, kama nilimuelewa, ilikuwa kuwa aliyeshinda hakupewa tenda na anaezichapisha sasa hivi hakuwepo kwenye kuomba hiyo kazi. Aidha, kwa vile kila mdau ana haki ya kuhoji taratibu zilizotumika, Mkurugenzi angejikita kwenye kujibu hoja tu bila kuingiza mambo mengine ambayo yanamfanya aonekane hampendi mtoa hoja. Hii si vizuri.

Amandla...
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ukiona coment kama hizi unafikiri alaafu unaishia kucheka tu!

Yani ukikuta chadema anavyotoa povu kuhusu huu uchaguzi utafikri kichwani ana chochote!

Yani siku hizi kigogo akitoa boko chadema nzima inaitisha vyombo vya habari!

Hakuna umbumbumbu kama huu
Kwa akili yako fupi huwezi kuelewa!! Kama Tume ilianza mchakato mwezi wa pili kutangaza tenda Kwa nini ilianza kuwaita wawakilishi wa vyama mwezi wa 6?? Kwa nini unaita watu baada ya kuanza mchakato???

Mwaka huu Tume watajifunga kwa maneno yao wenyewe!!
 
Huyu Mahera alipaswa aseme haya yote kwa sisi wananchi kupitia Tbc.Anakwama wapi?
Hahaha Sasa huyo Msemaji wa Chama kaitwa vikaoni haijaenda halafu anakuja huku. Mi namshauri aombe radhi tu. Asikuze Mambo.
 
Upotishaji wa John Mnyika uko wapi?

Aliita vyombo vya habari kuelezea mapungufu ya NEC katika kufanya majukumu yao mbalimbali na tetesi mbalimbali zinazisambaa kuhusu watu wanaopewa kazi za uchaguzi na NEC

Na mwisho aliitaka NEC wajitokeze kuweka mambo clear juu ya tetesi za tuhuma mbalimbali zinazoelekezwa NEC kutaka kuhujumu mchakato wa zoezi la uchaguzi kwa nia na lengo la kuisaidia CCM kushinda bila haki.

It's good kuwa NEC kupitia kwa mtendaji mkuu wao huyu wamejitokeza kutolea ufafanuzi baadhi ya tuhuma zilizoelekezwa kwao japo hawajajibu maswali yote yaliyoulizwa na CHADEMA.

Hili siyo tatizo kwa sababu, mwaka huu na uchaguzi huu ni LAZIMA KILA KITU KITAELEWEKA TU hata awe mkali namna gani. Mwaka huu na uchaguzi huu NI HAKI BIN HAKI hakuna ujanja ujanja wa kubebana!

Bahati mbaya tu ni kuwa, Dr Wilson Mahera anaonekana kuwa na napungufu mengi sana ktk utendaji wake kama mtu anayepaswa kuwa huru and unbiased simply because yeye ni kada kindakindaki wa CCM.

Hii hali yake ya "ukada wa CCM" itamponza na kumuweka pabaya sana yeye na familia yake kama hatajirekebisha.

Kiuhalisia, amewekwa hapo na mwenyekiti wa CCM kuangamizwa tu huku yeye kijinga kabisa akidhani ni "ulaji". Huyu alipaswa kuwa jukwaani kule akimnadi mgombea wa CCM kwenye kampeni.

Utendaji mkuu wa Tume ya Uchaguzi ameupata kimakosa!
Labda wewe KWA maoni yako ninani leo angekua Mkurugenzi wa Uchaguzi au Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, ungeona Tume ni Huru.
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Willson Mahera Charles ametoa ufafanuzi juu ya upotoshwaji uliofanywa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, John Mnyika kuhusiana na mchakato wa Manunuzi wa Karatasi za kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.

Chadema ishajifia kitambo toka enzi za katibu mkuu slaa! Hakuna katibu mkuu wa hovyo kupata kutokea kama mnyika! Wanazua uzushi, wakiambia wathibitishe hawawezi wakishitakiwa wanabaki kulialia tu! Chadema hatuwapi kura ng'ooooo tar 28
 
wacha kuongea bila ya kuwa na uhakika ndugu ngoja nikusaidie hyo namba moja ni ya Afrika Kusini,kuhusu tenda tembelea tovuti ya ppra kwenye Tender Portal au kwenye Tanzania Procurement Journal.usipende kulishwa matango pori ukafakamia tuu ,utavimbiwa
Uvccm tulitegemea mda huu muwe mshafika kilimanjaro kukabiliana na moto, Sasa huo uzalendo pori wenu ni wa kuimba mapambio na kumsifu meko tu, linapokuja suala linalohitaji uzalendo mnajificha kama mnadaiwa kodi na faza house mzaramo [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema ni chama chenye laana hakika haahaha
 
Labda wewe KWA maoni yako ninani leo angekua Mkurugenzi wa Uchaguzi au Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, ungeona Tume ni Huru.
Labda wewe kama ni mtu, na,siyo mnyama fulani!

I am sorry, nimekujibu kwa kejeli kwa sababu swali lako lenyewe lina elements za kejeli.

Hapa siyo ishu ya "nani angefaa kuwa....."

Kwa sbb generally, the whole Tanzanian election system has to be changed completely ili u - accommodate mabadiliko ya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi..

Labda swali lako lilipaswa liwe hivi;

"....ndugu, The Palm Tree, ili Tume ya Uchaguzi iwe huru unadhani mabadiliko gani yafanyike....?"

At least hapa ningekuelewa na ningejua una nia njema kujadili jambo hili kwa mustakabali wa taifa letu.

Lakini kwa swali lako hii, nadhani wewe ndiye unafaa uwe Dr Mahera No. 2...!!!
 
Ndo mana nasema mwaka huu Chadema wana ma strategist ambao wana akili sana.

Sasa NEC wameshajifunga kuhusu nani na nani wanahusila na huu uchaguzi. Watu wako field wanakusanya maushahidi juu ya yanayoendelea kufanyika.

Lazima nyoka atolewe pangoni mwaka huu come sun come rain

Kichwa maji wa chadema huwa mnatumia nini kufikiri? Kwani kuna usiri gani kwenye mshindi wa zabuni? Hahahaha mbona iko wazi na alitangazwa kwenye magazeti sema ninyi wavivu kusoma?
 
Kichwa maji wa chadema huwa mnatumia nini kufikiri? Kwani kuna usiri gani kwenye mshindi wa zabuni? Hahahaha mbona iko wazi na alitangazwa kwenye magazeti sema ninyi wavivu kusoma?
Siku ya mwisho utapata majibu nani ni kichwa Maji
 
Ili kulimaliza suala hili, Mkurugenzi alitakiwa kuweka wazi kuwa aliyeshinda tenda ndio waliyeingia nae mkataba na ndie anayechapisha hayo makaratasi. Alitakiwa kusema wazi kuwa Jamana hahusiki katika uchapishaji wa hayo makaratasi.

Hoja ya Mnyika, kama nilimuelewa, ilikuwa kuwa aliyeshinda hakupewa tenda na anaezichapisha sasa hivi hakuwepo kwenye kuomba hiyo kazi. Aidha, kwa vile kila mdau ana haki ya kuhoji taratibu zilizotumika, Mkurugenzi angejikita kwenye kujibu hoja tu bila kuingiza mambo mengine ambayo yanamfanya aonekane hampendi mtoa hoja. Hii si vizuri.

Amandla...

Chadema mbona mna vichwa maji wengi? Mbona kila kitu mnataka mtafsiriwe na mume wenu kigogo?
 
Wameshaingia kwenye mtego,wasubiri kujibiwa.
Hakuna mtego wowote, mtakula ya chuya. Tanzania ni babalao watu hawalali wanawakodolea macho tu. Hamuwezi kufahamu lakini yote maovu tutayaanika hadharani, hakuna Serikali makini kama hii ''mark my words.''

Endeleeni kujifariji lakini mwisho wa siku kila moja atatoa alichopanda.
 
Back
Top Bottom