Wa singida mashariki alipokuwa anaongoza lissu vipWa bumbuli kuna tetesi amerejeshwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa singida mashariki alipokuwa anaongoza lissu vipWa bumbuli kuna tetesi amerejeshwa!
bado Majaliwa na Nape , watalimia meno safari hii , ujanja ujanja wa kishamba baaasiii
Kutimiza wajibu wake anahitajika kupongezwa?? Haya ndio yanayokea hata kwa magufuli kufikilia kuwapelekea wananchi maendeleo nikutaka kwake!!! Ktk kutimiza wajibu wa majukumu yanayokuhusu huhitaji kupongezwa.Nawaomba Sana Watanzania wote kwa pamoja tuipongeze Sana , Sana Tume hii ya Uchaguzi ! Nina imani kubwa Sana na Mheshimiwa Kaijage pamoja na Mkurugenzi wa Tume Dr Mahera ! MUNGU awabariki Sana Wajumbe wote wa Tume .
Huu ujanja wa kuwapotezea watu muda wa kufanya kampeni haukubaliki.
Hiyo tume iliyojaa Makada wanaofanya mambo kishabiki wakishirikiana na Chama twawala ili kurahisisha ushindi.Hakuna wakati tume imeshindwa kufanya kazi zake kwa weledi. Ni mihemuko ya wapinzani walikuwa hawatati kufuata taratibu za kisheria kama walivyofanya safari hii. "USIPO RIDHIKA NA MAAMUZI ya ngazi ya chini Unakata RUFAA" badala yake walikuwa wanaweka mpira kwapani.
Baada ya Mkwara wa Amsterdam
Wote unaowapongeza wanakadi za chama tena numbezao nikuanzia 26 mpaka 45 kwahiyo waonyesha hao ni makada wa mwanzo ukitoa nyereere na mwinyiNawaomba Sana Watanzania wote kwa pamoja tuipongeze Sana , Sana Tume hii ya Uchaguzi ! Nina imani kubwa Sana na Mheshimiwa Kaijage pamoja na Mkurugenzi wa Tume Dr Mahera ! MUNGU awabariki Sana Wajumbe wote wa Tume .
Mwaka hu tunakula na nyiemawazo ya waganga wa kienyeji[emoji3]
Mimi huwa sielewi, ni nani mteja wa hizi fomu zinapoporwa? Fomu Moja inanunuliwa kwa Shilingi ngapi?Tume bwana eti Mgombea anaporwa fomu mbele ya ofsi za NEC na wanakaa kimya. Huu uhuni mwisho ni 2020. Na watawarudisha tu watake wasitake.
Sec Pompeo kashafanya yake.
Shangaa tuMimi huwa sielewi, ni nani mteja wa hizi fomu zinapoporwa? Fomu Moja inanunuliwa kwa Shilingi ngapi?
hata mi sijazionaVp kwa upande wa ubunge?
Nasikia wanalala kwenye ofisi za NEC,ukitoka husikilizwi?Kutimiza wajibu wake anahitajika kupongezwa?? Haya ndio yanayokea hata kwa magufuli kufikilia kuwapelekea wananchi maendeleo nikutaka kwake!!! Ktk kutimiza wajibu wa majukumu yanayokuhusu huhitaji kupongezwa.
Mwaka hu tunakula na nyie
NEC wanachokifanya ni delaying technique, hakuna Faur ground