Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Msamehe bure mkuu.Asante kwa matusi
Nilikuwa nashangaa kwa nini hawakuweka ratiba kusema kuapishwa ni kuanzia 10.21 - 10.23 kusudi vyama vishiriki na kupewa haki yao sasa sijui wapi nimekosea?
Rejea michango yangu kuhusu upinzani utaelewa
Nikutakie wakati mzuri
Iwekeni hapaSongwe nimeona video wananchi kama buku hivi walimfuata msimamizi kwake.
Blaza kidumu cha petroli vipi tuma picha.......au kidumu chako umejaza gongo sahv unajiliwazaAfadhali, kidumu changu cha Petroli nawagaiya Bodaboda
Tundu aliwadanganya mno. Yaani aliwanawaona watoto wadooooogoBlaza kidumu cha petroli vipi tuma picha.......au kidumu chako umejaza gongo sahv unajiliwaza
Haha wajiandae tu kumsindikiza KisutuTundu aliwadanganya mno. Yaani aliwanawaona watoto wadooooogo
Hivi jamaa ana kesi ngapi ππππHaha wajiandae tu kumsindikiza Kisutu
Kwani haki imevunjwa wapi si ulipiga kura hayo ndo matokeo unataka watu waingie barabarani utapanda ulicho vunaMtu mweusi tatizo sana usumbufu wanajitafutia wenyewe. Kwanini usitende haki ili kuondokana na huo usumbufu?
Ngoja tumalize kumzika Wakala wetuBlaza kidumu cha petroli vipi tuma picha.......au kidumu chako umejaza gongo sahv unajiliwaza
Mikwara mbuziNgoja tumalize kumzika Wakala wetu
Leta mrejesho Mkuu.Uchaguzi umekwisha!Wameogopa. Kazi ya chadema ni noma. Chadema ni tasisi kubwa. Mabadiliko haramu yaliyofanywa na NEC ndani ya masaaa mawili kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa Nne Katibu Mkuu JJM alikuwa kashanasa taarifa zote nchi nzima in a very detailed manner.
Timing aliyofanya ku present kwenye press ilikuwa ni ya kiintelijensia zaidi na imeleta Matunda. Je kesho watagoma tena??