Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu Wana hasira kiasi kwamba wameanza kunena kuwa lughaWanaendelea na ngonjera zao? Sisi tumesema tunataka wagombea wote warudishwe bila masharto wakashindwe kwenye sanduku la kura waache usanii wa kishamba
Wekeni majina ya wagombea na vyama vyao.Watu Wana hasira kiasi kwamba wameanza kunena kuwa lugha
Mkuu, Tarime iliumia Sana, kwa nini huyo kitila mkumbo akimuogoba jacobo? Kijana mtetexi wa watu huyo sisi tumefurahi Sana, tunataka na Yule wa Morogoro mjini arudishwe ili huyo tajiri ahangaike maaana katumia hela kumdhalilisha na kutumia polisi na nguvu nyiiiingi ili apite bila kupingwa, tunataka Yule dada arudi ili hela za Yule tajiri wa aboood zipoteee, tunajua alihonga hela nyingi mnoHata mimi nilisikitika. Nataka uwanja uwe huru kama walivyoshauri Maaskofu.
TrueWanaendelea na ngonjera zao? Sisi tumesema tunataka wagombea wote warudishwe bila masharto wakashindwe kwenye sanduku la kura waache usanii wa kishamba
Utajuaje Wakati wewe uko kwenye lile kundi la washamba waliokabidhiwa nchi?Alifanyiwa unyama gani,kwa sisi tusiofahamu kwanza ili tutambue kwanza