NEC yataka ushahidi vituo hewa vya wapiga kura kutoka kwa Wanasiasa wanaosambaza taarifa hizo

NEC yataka ushahidi vituo hewa vya wapiga kura kutoka kwa Wanasiasa wanaosambaza taarifa hizo

NEC mpaka hivi sasa mmeifanya kazi yenu vizuri na mmekidhi matarajio yetu kwenu. Hawa wanaozusha uwepo wa vituo na wapiga kura hewa ni wapuuzi tu waliokwisha poteza dira so lazima waje na uzushi ili waendelee kuongelewa
 
NEC mnatakiwa muwe mnawajibu hivyo hivyo awa CHADEMA wanajua uchaguzi huu wanakwenda kushindwa vibaya sana, kwaiyo wanatafuta sababu ya kuwasingizia NEC, POLISI au TISS ndani ya Aya masaa 72 watakuja na propaganda nyingi kwenye izo Tahasisi ili ionekane wameonewa. Nazishauri izo Tahasisi zifanye kazi kwa weredi na wakanushe taarifa zote za uongo bila kusita.
Polisi kuweni macho ndani ya saa hizi 72 CHADEMA wanaweza kuchoma ofisi zao Kama walivyofanyanya kirimanjaro, wanaweza wakajiteka au Jambo lolote ili ionekane uchaguzi huu wanaonewa.
 
Presidents are
Screenshot_20201026-075839~2.jpeg
 
Kama vituo ni 81,155, na idadi ya wapiga kura kila kituo ni 450-500, basi idadi itazidi wapiga kura 29m+. 81,155 x 450 = 36,069,750! Huu ni utata mtupu. Halafu malalamiko ya vituo hewa yana zaidi ya siku 3, mpaka leo si watakuwa wameshaondoa hivyo vituo ili kuficha ushahidi? Hatuna imani na tume ya uchaguzi fullstop.
 
Nilipoteza imani na hilo genge liitwalo Tume ile siku Chaijaba kampigia kampeni bosi wake yani alijisahau hata kuficha rangi zake
 
Tuna vijua na wanavijua , hatuwaambii , tuliwaambia watacibadirisha na kukana .
Tunachosubiri ni kuvichoma moto na kuwagaragaza wahusika , kimya kimya.
 
Naibu Waziri Mazingira, ameonekana kwenye video clip akiwafundisha watoto wa shule chini ya miaka 18 namna ya kumpigia kura za ndio Magufuli. Wamejifungia ndani ya chumba.
 
Mpk sasa wameshindwa kutoa majibu ya malalamiko ya CDM juu ya mwenendo wa mgombea wa CCM na wagombea wa upinzani walioenguliwa ndo wataweza vituo hewa..NEC haina hiyo credibility kwa sasa wasitufanye watanzania kuwa wajinga.
 
Kama vituo ni 81,155, na idadi ya wapiga kura kila kituo ni 450-500, basi idadi itazidi wapiga kura 29m+. 81,155 x 450 = 36,069,750! Huu ni utata mtupu. Halafu malalamiko ya vituo hewa yana zaidi ya siku 3, mpaka leo si watakuwa wameshaondoa hivyo vituo ili kuficha ushahidi? Hatuna imani na tume ya uchaguzi fullstop.
Kumbuka idad ya wapiga kura hazifanan kwa Kila kituo nadhan hiyo 450 had 500 Ni maximum
 
Mahela, wewe subiri kunyongwa endapo watu watakufa kutokana na ghasia za kuuvuruga uchaguzi! Utabaki peke yako kwenye kizimba!
 
Bwana Zungu, Naibu Waziri Mazingira, ameonekana kwenye video clip akiwafundisha watoto wa shule chini ya miaka 18 namna ya kumpigia kura za ndio Magufuli. Wamejifungia ndani ya chumba.

Tume ituambie, hawa watoto watapiga kura kituo gani? Kwa nini Zungu mpaka leo hajakamatwa?
uliona birth certificates zao kuwa wana umri chini ya miaka 18? ziweke hapa wewe ndie ulete ushahidi kuwa vyeyti vyao vya kuzaliwa vinaonyesha wana umri chini ya miaka 18
 
Kama vituo ni 81,155, na idadi ya wapiga kura kila kituo ni 450-500, basi idadi itazidi wapiga kura 29m+. 81,155 x 450 = 36,069,750! Huu ni utata mtupu. Halafu malalamiko ya vituo hewa yana zaidi ya siku 3, mpaka leo si watakuwa wameshaondoa hivyo vituo ili kuficha ushahidi? Hatuna imani na tume ya uchaguzi fullstop.
wewe umeshaleta vituo hewa vipya elfu moja tume imesema vituo viko 80,155 wewe na uongo wako wa chadema umeweka 81,155 umezidisha vituo 1,000 chapchap!!!

Tume wanasema kisizidi watu 450-500 wewe unasema vitakuwa na 450 hadi 500!!!
 
Kama vituo ni 81,155, na idadi ya wapiga kura kila kituo ni 450-500, basi idadi itazidi wapiga kura 29m+. 81,155 x 450 = 36,069,750! Huu ni utata mtupu. Halafu malalamiko ya vituo hewa yana zaidi ya siku 3, mpaka leo si watakuwa wameshaondoa hivyo vituo ili kuficha ushahidi? Hatuna imani na tume ya uchaguzi fullstop.
Mbowe kasema wameandaa mawakala wa CHADEMA 80,000 wewe unasema haviki elfu 80 sasa tumuamini nani wewe au Mbowe? ina maana Mbowe kaanda majina ya mawakala hewa ili aibe posho zao kwa kusingizia wako elfu 80 wakati hawafiki?
 
Naona wewe na Mbowe mmeshaanza kugongana Mbowe huyu hapa kasema CHADEMA wameweka mawakala 81,115 vituo vyote nchi nzima wewe unasema haviki!!!! tume imesema ina vituo 80,115 Mbowe kasema wameweka mawakala vituo vyote 81,160 nchi nzima!!!

Kazidisha vituo kuliko vya Tume ilivyonavyo kwa vituo1,045 hivyo ni vituo hewa zaidi ya vya tume kuna upigaji pesa hapo unaandaliwa na Mbowe.Mwambie akuonyeshe hivyo vituo hewa alivyozidisha 1,045 viko wapi muulizane huko huko CHADEMA naota kama mnataka kumwibia AMSTERDAM kwa pesa za mawakala .Piga hesabu kila wakala akilipwa laki mbili kwa siku mbili mara 1,045 hapo mbowe analamba milioni 400 kwa siku mbili tu kwa kulipa mawakala hewa aliojijazia mwenyewe

msikilize kuanzia sekunde ya kwanza hadi ya 30 akisema wameweka mawakala 81,160

 
Hivi jamani ndugu zangu wakati hawa viongozi wetu wanapotoa taarifa au kuzungumza nasi huwa tunakaa chini na kujiuuliza juu ya tulichokisikia au tunatikisa kicha na kukubali kuwa wanachosema ni sawa? Na hawa waandishi wa habari hivi kweli wamesomea hii kazi kweli? Mwanahabari anapaswa kuuliza masuali na kufanya utafiti na sio tu kuandika kile kilichosemwa.

Kwanza na tujiulize ni kwa muda gani vituo vya kupiga kura vitakuwa wazi? Inakadiriwa kuchukua muda gani kwa mpiga kura mmoja kukamilisha zoezi zima la kupiga kura?

Tuseme vituo vitakuwa wazi kwa masaa 10, ina maana kwa watu 500 kwa kila kituo, watu 50 watapiga kura kwa kila saa moja, kila mpiga kura atachukua dakika 10 kuthibitishwa kama anastahiki kupiga kura na kukamilisha kupiga kura! Dakika 10!? Dakika 10? Is this a joke? Itachukua zaidi ya dakika 5 kuangalia kama mtu yumo au hayumo katika daftari la wapiga kura? Waangalizi wa majina ni wanafunzi wa darasa la nne? Si kila kitambulisho kina nambari ya kipekee, itachukuaje zaidi dakika tano kutafuta jina la mtu kwenye daftari?
 
wewe umeshaleta vituo hewa vipya elfu moja tume imesema vituo viko 80,155 wewe na uongo wako wa chadema umeweka 81,155 umezidisha vituo 1,000 chapchap!!!

Tume wanasema kisizidi watu 450-500 wewe unasema vitakuwa na 450 hadi 500!!!
Tume wanasema ni vituo 80,155 na grand total yangu ni ya 80,155 hiyo 81 nimetype kwa makosa. Tume inasema kila kituo kina watu 450-500. Rejea wanachosema na sio utakacho.
 
Bwana Zungu, Naibu Waziri Mazingira, ameonekana kwenye video clip akiwafundisha watoto wa shule chini ya miaka 18 namna ya kumpigia kura za ndio Magufuli. Wamejifungia ndani ya chumba.

Tume ituambie, hawa watoto watapiga kura kituo gani? Kwa nini Zungu mpaka leo hajakamatwa?
So umeambiwa tuma ushahidi ..
 
Back
Top Bottom