Uchaguzi 2020 NEC yatangaza Nchi na Taasisi zilizoruhusiwa kuwa watazamaji (Observors) wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 28

Hoja ya Lisu kuwa kibaraka inazidi kupata nguvu.
mbona kibaraka wa magu nae kaufyata tume inaongozwa kwa kufuata sheria na mihemko mbona kalifuta agizo la polepole la kumtaka Lisu afike mbele ya kamati tarehe 29 au hujasikia?
 
Kwa Vitisho vya Meko hii wiki nzima Dodoma ilikuwa Lazima aanze kulialia..

Lkn asimamie Uchaguzi bila Woga naye Atapata Amani
 
Waambie hao watazame Gambia kinacho endele
 
Hata wasafi media ina rais so siwezi kubishana na wewe
 
Masisiemu bwana! Yakiambiwa yatende haki yanaona yametishwa.
Siku hizi ukitamka maneno kama "haki, uhuru au ufisadi", tafsiri yao yanaona yametukanwa

Mashetani kabisa
 
mbona kibaraka wa magu nae kaufyata tume inaongozwa kwa kufuata sheria na mihemko mbona kalifuta agizo la polepole la kumtaka Lisu afike mbele ya kamati tarehe 29 au hujasikia?
Ni bora zaidi kibaraka wa Magu kuliko huyo wa Amsterdam na oktoba atatutambua vizuri
 
Kwahiyo hao ndio watampigia kura na kumtangaza mshindi?

Lisu havuki 20% ya kura zote!

Huyo beberu wake anazidi kumharibia. Ile hoja ya kwamba ni kibaraka inazidi kupata nguvu.

Yani mtu kutoka nje anakuwaje msemaji wa mgombea kutoka nchi huru?
Hivi wewe ukiwa unawatesa watoto wako kwa kuwapiga kuwafungia nje kuwanyima chakula na haki zao zingine za msingi ikiwemo suala la afya. Tena unafanya hivyo wazi wazi kabisa bila aibu. Majirani wakija kusaidia kuwatetea watoto wako wale unawaambia niacheni na watoto wangu maana ni mali yangu na niko kwangu hata nikiwaua ni wakwangu??
 
Basi subiri huyo mtu wenu na beberu wake wawe marais wenu ili wawatetee
 
Umesema vema ni kweli unapitia wakati mgumu, zaidi ya barua ya Amsterdam, pia unashinikizo kutoka kwa aliyekuteua, polepole na chama chako kwa ujumla.
Hajamjibu Polepole aliyesema Lissu asipokwenda tarehe 29 ccm watachimba nchi?
 
Ni bora zaidi kibaraka wa Magu kuliko huyo wa Amsterdam na oktoba atatutambua vizuri
wewe unaongea nyuma ya keyboard ndio maana unarahisisha mambo mwenzio kasema tumuombee yuko watched,rudi umsikilize vema
 
29 September 2020

KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU WA 2020 TANZANIA, TAFSIRI ZA SHERIA ZINAZOSIMAMIA SHERIA YA UCHAGUZI

HAKI ZA BINADAMU,WACHAMBUA MVUTANO WA TUNDU LISSU NA TUME YA UCHAGUZI TANZANIA, NANI YUPO SAHIHI ?

  • KAULI ZA MKURUGENZI ZIMEKAA KISIASA
  • KANUNI ADHABU KARIPIO FAINI
  • KULIKUWA HAKUNA HAJA YA MKURUGENZI KUTOA TAARIFA HADHARANI KUWA TUNDU LISSU ANAHITAJIKA MBELE YA KAMATI YA MAADILI, ANGETUMIA TARATIBU ZA MAWASILIANO KWA BARUA
 
Hana jipya. Yote yanafahamika na ni nadharia tu kufurahisha mdomo. Sisi tunachotaka ni utekelezaji huru na wa haki. Utakuwepo? Tukimwangalia usoni Mahera, hatuoni hilo. Tunakusuburi Mahera ulikoroge ili tukukoroge vizuri. Hakuna cha msalie mtume mwaka huu. Umesikia Mahera. Kawaambie na ndugu zako mapema.
 
Wewe simamia haki tu, ukizingua kweli the hague inakuhusu. Halafu acha kupigia kampeni mgombea unaempenda.
Mnajua kujitekenya na Kucheka mpaka Wazungu wanatucheka. Kwan hatuwezi jiongoza na kujiamulia mambo yetu mpaka tuwalilie Wazungu?? Upinzani ufike mahali uwe unajiandaa sio uchaguzi ukifika ndio wanaanza lia kama Yatima. Wao miaka nenda rudi wanasema tume haitendi haki na hapo hapo unawafuata wakupe form ukagombee. Punguzeni usanii
 
Wewe simamia haki tu, ukizingua kweli the hague inakuhusu. Halafu acha kupigia kampeni mgombea unaempenda.
Huyu Fala hata hatuto mpeleka the Hague akale kuku wa kizungu huko! Akizingua tu basi huyu ni wa kumgawana hapa hapa!
 
Hahaha mnatoa elimu ya kupiga kura Zanzibar muda huohuo mnawakatalia vitambulisho vya mpiga kura!

Daftari la mpiga kura liondolewe! Tupige kura za maruwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…