Uchaguzi 2020 NEC yatangaza Nchi na Taasisi zilizoruhusiwa kuwa watazamaji (Observors) wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 28

Uchaguzi 2020 NEC yatangaza Nchi na Taasisi zilizoruhusiwa kuwa watazamaji (Observors) wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 28

Wasiishie tu kumtisha ikiwezekana wamshikishe adabu kabisa.
Mlivyowajinga hamuoni hata ujumbe uliojificha kwenye hiyo statement ya huyo mkurugenzi! Kwamba raia wa marekani aitwae Amsterdam amemtisha.
 
sawa, we endelea kupuuza kanuni na taratibu za uchaguzi ili uvurugike kisha utajua huyo robeti ni nani !!
Ni beberu wa Lisu.

Lisu ni kibaraka wa Amstedam. Subiri tumnyooshe oktoba hii
 
Tunahitadi Tume huru ya uchaguzi Tanzania. That is the point. Ili Watanzania walio wengi wachague mtu wa kuwaongoza. Hatuhitaji viongozi wa Tume ambao wanapigia CCM kampeni. Ni ujinga kushabikia ujinga unaoendelea sasa.
Si bora huyu kibaraka wa Magufuli kuliko yule kibaraka wa Amsterdam?
 
Hahaha kumbe Kika mtu huwa anaogopa vitisho😂😂😂😂😂

Haya Mambo haya hitaji double standard yakikufika Roho ya mama lazima inene nawe moyoni ikiitafakari siku uliyoletwa duniani,tutende Hali tukijua ipo siku hatutakuwa na Mamlaka Wala Kinga
 
Acha mawazo ya kishenzi ya kupeana ushindi. Watanzania waruhusiwe kuchagua kiongozi wao. Mbona huelewi jambo rahisi hivi. CCM imewewekeza katia ujinga!
Ni bora hata ushindi apewe Lipumba kuliko huyo taahira anaesemewa na mabeberu.

Hapo tu keahajiharibia asahau urais
 
Hahaha kumbe Kika mtu huwa anaogopa vitisho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya Mambo haya hitaji double standard yakikufika Roho ya mama lazima inene nawe moyoni ikiitafakari siku uliyoletwa duniani,tutende Hali tukijua ipo siku hatutakuwa na Mamlaka Wala Kinga
Hoja ya Lisu kuwa kibaraka inazidi kupata nguvu.
 
Kumbe wakisikia sauti ya beberu nao hutishika, kumbe wanaitambua The Hague. Wao waendele na uchafuzi tu matokeo yake watayaona.
Najiuliza Lisu atapigiwa kura na kutangazwa na Amsterdam?

Huyu jamaa kumbe kweli ni kibaraka
 
Mlivyo wajinga mnashngilia!

Yani huyu Amsterdam haoni anavyomharibia mteja wake?

Yani tume kutoka nchi huru ya kiafrika inatishwa na raia mmoja toka nje kisa Lisu? Alafu unataka awe rais wa taifa letu?

Never
Tume huru inayosemea Watanzania?, Tume inajua wapiga kura wake wanamtaka nani? kulikuwa na haja gani ya kupiga kura ikiwa Watanzania washamchagua? kweli wewe hujui maana ya uhuru.
 
Wala hamualibii imagine viongozi wadini wamesema na kutoa angalizo haki itendeke kwanini watu wanakatwa hovyo angalia kwa mnyeti Nani alipita akasema anaamini hakuna atayerudishwa na ikawa hivyo, huyo niwakili wake anamuwakilisha ngazi za kitaifa ambazo mteja wake hawezi kufika bila msaada.
 
Amsterdam again

Lissu hafai,nchi itaongozwa na Amsterdam.

CDM huyo mzungu anawaharibia kazi zoote mnazozifanya majimboni hasa kipindi hiki neno mabeberu limeshika kasi
 
Sio vitisho ni ukweli wenyewe, sasa wewe chakachua huu uchaguzi utaijua international criminal court of justice ni nini
 
Back
Top Bottom