Uchaguzi 2020 NEC yavitahadharisha Vyama vya Siasa na Wagombea kuhusu uvunjifu wa Sheria za nchi

Uchaguzi 2020 NEC yavitahadharisha Vyama vya Siasa na Wagombea kuhusu uvunjifu wa Sheria za nchi

Kwa ujumla NEC haipo kabisa hata wakenya wametudharau sana. Kama kiongozi wa NEC anapigia kampeni chama fulani unategemea nini. Tuwe na tume huru tu
Tanzania hatuna Tume ya uchaguzi bali tuna takataka inayoitwa Tume ya Uchaguzi.
 
Nami natoa ramli yangu,Magufuli na CCM watashinda na baada ya uchaguzi Magufuli atabadilka sana.Zanzibar itakuja Jecha part two na pre emptying itakayofanyika hakuna atayeketoka nje kwa siku tatu!!!
Hiyo badilika yake mbona hujaiweka wazi? 😅 ... for better or WORSE!?
 
Hapo kwenye ubaguzi, tunaamini hao Tume waanze kushusha rungu kwa Magufuli mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM.

Kwani ni yeye ambaye kila mwananchi amemsikia akiwabagua waziwazi wapinzani wa nchi hii, kwa kuwaeleza wananchi kila anapohutubia mikutano yake ya kampeni kuwa hataleta maendeleo pale ambapo wamechagua mbunge wa upinzani!

Tume inajua wazi kuwa kwa kuyatamka hayo, Magufuli anavunja waziwazi Maadili ya uchaguzi ambayo wameyatunga wenyewe!
 
Mgombea wa tume yupo garage why mwingine apewe likizo ya lazima kwann asiye garage asiendelee kuhudumia abiria.
 
Hawa NEC wanautendea haki msemo wa wahenga ''Nyani haoni kundule''
Mimi sichangii, ila nakutaarifu wewe mwenye ID hii kuwa mwenye picha na maneno unayotumia amekwishafariki. Ni heshima na kawaida kutotumia tena utambulisho wa huyo Marehemu. Sijui hapa, lakini kwingine ni katazo la kisheria kabisa
 
Kinachozungumzwa ni tofauti kabisa na kinachotendeka. The referee is biased.
 
Katibu mkuu wizara ya Elimu, Dkt Avemaria Semakafu amesema wizara imefuta mafunzo ya ualimu wa S/M ngazi ya cheti

Baada ya saa sita

Rais Propesa. Magu amewataka walimu kupuuza taarifa ya kipumbavu inayoeleza kuwa serikali imefuta mafunzo ya ualimu S/M ngazi ya cheti

Ukisikia utawala uliofitinika basi ni huu wa Jiwe
Mnara wa Babel!
 
Kuna mgombea anawafokea wapiga kura kwamba atawashughulikia wasipomchagulia awatakao, anatumia kilugha, anasimama njiani kuwasalimia watu, anatoa ahadi za uongo, anatukana watu, anatoa rushwa hapa NEC wanasaemaje.
NEC ndiye wanataka hayo na huyo.
 
Huyu Mahera nadhani ni mpinzani anayetumika kuitengeneza Tanzania mpya.
 
NEC hawana tofauti na wauzaji wa kimboka,wao wanamtumikia anaewapa mshahara,gari,nyumba yani hiyo sio tume ni genge la vibaka wa kuiba kura
 
There are some powerful people in our country trying to make it difficult for us to vote for Tundu Antipas Lissu. You know why? Because they know when we vote, things change.
 
Kwahiyo unashauri wananchi waingie barabarani kwakuwa CCM haiwezi kuachia madaraka kwa kushindwa uchaguzi?
Bado mapema. Muda wa wananchi kuingia barabarani sio leo wala kesho. Ila kizazi kilichozaliwa miaka ya 2000 na kuendelea kikiwa na majukumu ndio watakaoamua
 
Tume itende haki tu amani ni default setting haihitaji hizo kelele zao
 
Back
Top Bottom