Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Tanzania hatuna Tume ya uchaguzi bali tuna takataka inayoitwa Tume ya Uchaguzi.Kwa ujumla NEC haipo kabisa hata wakenya wametudharau sana. Kama kiongozi wa NEC anapigia kampeni chama fulani unategemea nini. Tuwe na tume huru tu