Uchaguzi 2020 NEC yavitahadharisha Vyama vya Siasa na Wagombea kuhusu uvunjifu wa Sheria za nchi

Uchaguzi 2020 NEC yavitahadharisha Vyama vya Siasa na Wagombea kuhusu uvunjifu wa Sheria za nchi

Nani alikuambia Africa madaraka yanaachiwa kwa kipande cha karatasi.......waambieni hao wabelgiji wajipange vizuri tarehe 28 tunabaki na mkimbizi wao
Ujumbe Kama huu ndio unaamsha hasira mtachinjwa mchana kweupee nyumba zote mlizoweka picha za mumpendae ni Kama mmeziweka alama kikinuka wanaanza Nazo.
 
Sisi tunachosema mbona mgombea wa CCM anavunja utaratibu kila siku, haonywi. Kunya anye kuku, akija bata nongwa
 
Nani alikuambia Africa madaraka yanaachiwa kwa kipande cha karatasi.......waambieni hao wabelgiji wajipange vizuri tarehe 28 tunabaki na mkimbizi wao
Hivi kweli watanzania mnataka kuiga ya mataifa mengine. Je nikweli tumeamua kufanya vurugu kuharibu hiki kidogo tulichonacho. Miundombinu haba tuliyonayo? Kumbuka vita au machafuko hayaishii kumtaka mtu aingie madarakani kwa nguvu. Yataharibu kila kitu, yanaharibu Hadi mipango yenu ya baadae ya Taifa. Katu msidhani mataifa ya nje yanafurahia mnachokifanya au mlichonacho. Waliona mapande ya Tamzanite ya Laizaer wanazidi wachochea mfanye fujo wakae huko mgodini kwa lazizer hata mwaka tu.

Wanatamani wakae Mtwara mwezi tu wanyonye gesi yenu, wanatamani wapige bomu mradi wenu mkubwa wa umeme huko rufiji msifanikiwe. Wanatamani reli yenu ya Kisasa iharibiwe msianze kutumia.

Ioneni Libya leo. Hivi ndo Libya ile kweli. Je baada ya Gadafi nani anaongoza Taifa like kwa shangwe na kufanya makubwa zaidi ya Gadafi?

Kidogo chetu cha leo cha Jasho, ni kizuri kuliko kikubwa cha kesho cha manyanyaso.

TUWE MAKINI SANA, PIA WENGI WANAOTUJAZA HUO UJINGA WA MACHAFUKO HAWAPO HAPA TANZANIA, NARUDIA TUWE MAKINI.
 
Ujumbe Kama huu ndio unaamsha hasira mtachinjwa mchana kweupee nyumba zote mlizoweka picha za mumpendae ni Kama mmeziweka alama kikinuka wanaanza Nazo.
Njoo unadhani nchi ya shangazi yako hii mtaishia tu kutoa povu mitandaoni tu rusha hata kokoto tu ukamuliwe utumbo laini
 
Hii sio tume, ni vibaraka wa ccm tupu ndio wamejazwa huko. Very useless electoral commission.
 
Back
Top Bottom