NECTA ACSEE RESULTS: Shule zilizoongoza kwa kila mkoa, wazazi mjue shule nzuri sasa

NECTA ACSEE RESULTS: Shule zilizoongoza kwa kila mkoa, wazazi mjue shule nzuri sasa

Sio ujuaji tunaenda na Takwimu huwezi kulinganisha ufaulu wa wanafunzi 59 dhidi ya shule yenye wanafunzi zaidi ya 300 ambapo kati yao 7 wamepeperusha kwenye kumi bora!!
 
Tumia simu yako kwa manufaa
Nadhani yako ndio ungeitumia vizuri tunaenda na Takwimu huwezi kulinganisha ufaulu wa wanafunzi 59 dhidi ya shule yenye wanafunzi zaidi ya 300 ambapo kati yao 7 wamepeperusha kwenye kumi bora!!
 
NECTA ACSEE RESULTS: SHULE ZILIZOONGOZA KWA KILA MKOA

1.MWANZA- SUMVE SECONDARY SCHOOL

2.TABORA-TABORA BOYS

3.SIMIYU-MKULA SECONDARY

4.KILIMANJARO-USANGI DAY

5.Morogoro-MZUMBE SECONDARY

6.KAGERA- KEMEBOS

7.ARUSHA -KISIMIRI

8.Manyara-Dareda secondary

9.Tanga-mkindi secondary

10.Pwani-Ahmes secondary school

11.DODOMA-MSALATO SECONDARY

Inaendelea...
Kilimanjaro Usangi day[emoji56][emoji56]
 
Kiuhalisia hii ndio bora zaidi ya hio yenye ufaulu wa wanafunzi 57 over one 257 na top 7 kitaifa ikaingiza huwezi kulinganisha na Takwimu zao ni vile tu watu wanaangalia idadi ya waliofaulu ila sio wingi wa waliofaulu...
Screenshot_20220708-114927_Opera%20Mini.jpg
 
Kwani hii itaendendelea imekuwa fasheni saivi au
 
NECTA ACSEE RESULTS: SHULE ZILIZOONGOZA KWA KILA MKOA

1.MWANZA- SUMVE SECONDARY SCHOOL

2.TABORA-TABORA BOYS

3.SIMIYU-MKULA SECONDARY

4.KILIMANJARO-USANGI DAY

5.Morogoro-MZUMBE SECONDARY

6.KAGERA- KEMEBOS

7.ARUSHA -KISIMIRI

8.Manyara-Dareda secondary

9.Tanga-mkindi secondary

10.Pwani-Ahmes secondary school

11.DODOMA-MSALATO SECONDARY

Inaendelea...
Sumve secondary Lenga mbali
 
Back
Top Bottom