Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Nadhani yako ndio ungeitumia vizuri tunaenda na Takwimu huwezi kulinganisha ufaulu wa wanafunzi 59 dhidi ya shule yenye wanafunzi zaidi ya 300 ambapo kati yao 7 wamepeperusha kwenye kumi bora!!Tumia simu yako kwa manufaa
Kilimanjaro Usangi day[emoji56][emoji56]NECTA ACSEE RESULTS: SHULE ZILIZOONGOZA KWA KILA MKOA
1.MWANZA- SUMVE SECONDARY SCHOOL
2.TABORA-TABORA BOYS
3.SIMIYU-MKULA SECONDARY
4.KILIMANJARO-USANGI DAY
5.Morogoro-MZUMBE SECONDARY
6.KAGERA- KEMEBOS
7.ARUSHA -KISIMIRI
8.Manyara-Dareda secondary
9.Tanga-mkindi secondary
10.Pwani-Ahmes secondary school
11.DODOMA-MSALATO SECONDARY
Inaendelea...
Kiuhalisia hii ndio bora zaidi ya hio yenye ufaulu wa wanafunzi 57 over one 257 na top 7 kitaifa ikaingiza huwezi kulinganisha na Takwimu zao ni vile tu watu wanaangalia idadi ya waliofaulu ila sio wingi wa waliofaulu...
Sumve secondary Lenga mbaliNECTA ACSEE RESULTS: SHULE ZILIZOONGOZA KWA KILA MKOA
1.MWANZA- SUMVE SECONDARY SCHOOL
2.TABORA-TABORA BOYS
3.SIMIYU-MKULA SECONDARY
4.KILIMANJARO-USANGI DAY
5.Morogoro-MZUMBE SECONDARY
6.KAGERA- KEMEBOS
7.ARUSHA -KISIMIRI
8.Manyara-Dareda secondary
9.Tanga-mkindi secondary
10.Pwani-Ahmes secondary school
11.DODOMA-MSALATO SECONDARY
Inaendelea...