Hahahahahahahaha jamani daahhForm lini? Kuna toto limefilisi uchumi wa familia apa tuone km kuna mwanga
Sijapata uchambuzi huu pia.Halmashauri Bora ni zipi.
Mwenye mkeka
Waombe radhi MkuuHivi vilaza wanarudishwa darasa au wanapeta
Samahani wale wote niliowaita vilazaWaombe radhi Mkuu
Hali ya maisha inachangia Sana matokeo mabaya ya Watoto.
Lishe Bora inamchango mkubwa kukuzanuelewa wa mtoto.
Watoto weng wanaudumavu wa ubongo ambao haiwez kufikiria kuchambua ku analyse mambo.
Weng hawana kumbukumbu Kwa sababu walikosa lishe inasaifdia si watoto tu, wapo watu wazima wenye udumavu
Shule Gani?Sioni matokeo ya STD IV ya kijana wangu nimeshangaa sana
Hawatoi kuepuka shule kufanga udanganyifu,haswaa private ndo wezi WA mitihani wakubwaHivi mbona hawatoi uchambuzi ki ushindani siku hizi.
Mwenye hizi docs aweke..
Inaowezekana aliandika matusi akafutiwa mtihani maana matoto ya siku hizi ni chenga.Sioni matokeo ya STD IV ya kijana wangu nimeshangaa sana
Unafuata nini humu mkuu ikiwa unashindwa kuangalia hapa.Nina binti mwaka huu form two,
Sijui Hali ya matokeo ya mwanangu ikoje[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu haba tabia za kibangebangeInaowezekana aliandika matusi akafutiwa mtihani maana matoto ya siku hizi ni chenga.
Wewe kabisa .. aisee..Nina binti mwaka huu form two,
Sijui Hali ya matokeo ya mwanangu ikoje[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani amekwambia hawezi!?Unafuata nini humu mkuu ikiwa unashindwa kuangalia hapa.
View attachment 2468868
Kuingia JF unaweza ila kuingia www.necta.go.tz huwezi