NECTA kwa kushirikiana na serikali naona mnaenda kuizika rasmi elimu ya Tanzania

Yah
 
Shida ni kwamba hao hao walimu wanatumika sn kipindi cha uchaguz kuiba kura...
Hilo nalo shida mana kwenye kaz za kijinga ndo mwalimu anatumika zaid na wala hata hashtuki

Yeye anachojali ni vi ujira vidogo vidogo ili kukidhi maisha yake
 
Moja kata ya vyama vilivyoshindwa timiza wajibu wake ni hio cwt
CWT Itafanya kazi gani wakati chama hicho kilishakufa watu badala ya kusimamia maslahi ya walimu wao wanagombania posho,hk chama ni cha kijinga sana,kimejaa ugolo mtupu.
 
Hii nchi huwezi kuielewa kabisa hv serikali imewatuma huyu waziri wa Elimu kutengeneza waraka mpya unaokuja na kitu ambacho wao wanaita ni maboresho wakati kwenye mambo mengi failure ni kubwa hasa kwenye Elimu
 
Unawatetea wezi wa kura za 2020, acha wafe tu Kwa stress siwapendi hatari
 
Labda awe waziri ndoanamark, anyway iko hivi mwalimu kupata million moja ni mpaka akakope tu hakuna sehemu yoyote ya kazi yake atatunza au kupokea million
Mkuu unayosema ni kweli kabisa. Ila kwenye suala la marking pale barazani wanakunja zaidi ya m2 na hiyo ndiyo kazi pekee ya mwalimu inayompa pesa nyingi.

Kumbuka pia kazi hiyo sio nyepesi maana wengi wakitoka huko hufikia kulazwa kwanza kwa kutumika kupita kiasi.
 
Cha ajabu unakuta mwalimu kahonga kupata hio nafasi au katoa mbususu mwezi mzima kwa Mkuu wa shule, mratibu au afisa elimu Kwa ahadi hio, au akiwa huko center ya marking kaluwa mbususu na wasimamizi kwa ahadi ataendelea kushiriki hilo zoezi., wengine wanaroga na kuiba nyota ili wapate wao.
Mungu awasaidie hao walimu,
 
Kupata nafasi yenyewe kwa connection, utasikia tunaenda Bukoba mwaka huu, ila walimu wanasikitisha sana
 
Wewe upo Nchi Gani ?? Unaropoka tu marking anaepewa pesa nyingi ni laki 9 tuu hata 1M hakuna anayepata.

Labla kama unazungumzia Makatibu wakuu.
 
CWT Itafanya kazi gani wakati chama hicho kilishakufa watu badala ya kusimamia maslahi ya walimu wao wanagombania posho,hk chama ni cha kijinga sana,kimejaa ugolo mtupu.
Cwt ni ukoo wa panya wameshindwa jua wajibu wao kazi yao kubwa saiz ni kupambana kila mtu apate chake
 
Hii nchi huwezi kuielewa kabisa hv serikali imewatuma huyu waziri wa Elimu kutengeneza waraka mpya unaokuja na kitu ambacho wao wanaita ni maboresho wakati kwenye mambo mengi failure ni kubwa hasa kwenye Elimu
Serikali lazima ibadilike sn la sivo elimu ina hali mbaya
 
Tupe ushuhuda kaka,hizo milion 2zinatoka wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…