NECTA, kwanini msitumie teknolojia ya malipo kwa wasimamizi wa mitihani ili kuepusha malalamiko kama mkoani Tabora?

NECTA, kwanini msitumie teknolojia ya malipo kwa wasimamizi wa mitihani ili kuepusha malalamiko kama mkoani Tabora?

A HUMBLE LEADER

Senior Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
138
Reaction score
343
MKOANI TABORA

Wasimamizi wa mitihani ya NECTA ya Darasa la nne,kidato cha pili na cha nne walioitwa kwenye semina maalumu pale AMUCTA tarehe 15 na pale Themi Hill tarehe 17 wamelalamika kutolipwa posho za semina na nauli kwa kisingizio eti muongozo wa malipo haujatoka kutokea NECTA.

Wanasemina hao waliotoka vijiji Mbali mbali vya kanda maalumu kijiografia wamesikika wakilalamikia Hatua hiyo iliyowakera Sana kwani wengi wao wanatokea mazingira tata kijiografia na kiusafiri na kujikuta wakitumia nauli kubwa Sana kufika mjini TABORA wamelaani kukopwa Fedha hizo!

Kilichowakera zaidi ni kauli ya katibu tawala msaidizi kulopoka eti kukopwa ni sehemu ya siri ya semina hiyo eti wasiseme seme!

Wanasemina hao wametaka Tabia hiyo ikome na kama hawana uhakika wa kulipa semina hizo ni bora wasiwaite kwenye semina hadi taratibu za malipo zitakapokamilika!!

USHAURI

NECTA MUDA umefika Sasa wa kunitumia teknolojia kulipa wasimamizi, Fedha ziwekwe kwenye akaunti moja kwa moja ili kuepuka sarakasi hizi!

Kwamfano mnaweza agiza majina ya wasimamizi mapema hata mwezi MMOJA kabla mkaratibu malipo yao kabla ya semina kwa KUTUMIA taarifa za kitumishi kuliko kuwaaachia Halmashauri ambapo huzitumia kwa mambo BINAFSI kabla ya malipo!!

Wasimamizi hao wameilaumu Sana kamati ya mitihani ya mkoa kwa uzembe huo,Hadi wengine wachache walisusia kufika kwenye semina ya tarehe 17 na kuombwa kufika tarehe 22 ya mwezi HUU oktoba!

Nimeifikisha kama nilivyoipokea!katibu wa Baraza la mitihani makinika, wasimamizi Wana hasira kabla hata zoezi la usimamizi kuanza!HII itaharibu zoezi zima.
 
Mmmh, haya mambo haya.

Nimeandika na kufuta, itoshe kuishia hapa.
Kila mtu atakula alikopeleka mboga
 
MKOANI TABORA.

Wasimamizi wa mitihani ya NECTA ya Darasa la nne,kidato cha pili na cha nne walioitwa kwenye semina maalumu pale AMUCTA tarehe 15 na pale Themi Hill tarehe 17 wamelalamika kutolipwa posho za semina na nauli kwa kisingizio eti muongozo wa malipo haujatoka kutokea NECTA!!

Wanasemina hao waliotoka vijiji Mbali mbali vya kanda maalumu kijiografia wamesikika wakilalamikia Hatua hiyo iliyowakera Sana kwani wengi wao wanatokea mazingira tata kijiografia na kiusafiri na kujikuta wakitumia nauli kubwa Sana kufika mjini TABORA wamelaani kukopwa Fedha hizo!

Kilichowakera zaidi ni kauli ya katibu tawala msaidizi kulopoka eti kukopwa ni sehemu ya siri ya semina hiyo eti wasiseme seme!

Wanasemina hao wametaka Tabia hiyo ikome na kama hawana uhakika wa kulipa semina hizo ni bora wasiwaite kwenye semina hadi taratibu za malipo zitakapokamilika!!


USHAURI

NECTA MUDA umefika Sasa wa kunitumia teknolojia kulipa wasimamizi, Fedha ziwekwe kwenye akaunti moja kwa moja ili kuepuka sarakasi hizi!

Kwamfano mnaweza agiza majina ya wasimamizi mapema hata mwezi MMOJA kabla mkaratibu malipo yao kabla ya semina kwa KUTUMIA taarifa za kitumishi kuliko kuwaaachia Halmashauri ambapo huzitumia kwa mambo BINAFSI kabla ya malipo!!

Wasimamizi hao wameilaumu Sana kamati ya mitihani ya mkoa kwa uzembe huo,Hadi wengine wachache walisusia kufika kwenye semina ya tarehe 17 na kuombwa kufika tarehe 22 ya mwezi HUU oktoba!


Nimeifikisha kama nilivyoipokea!katibu wa Baraza la mitihani makinika, wasimamizi Wana hasira kabla hata zoezi la usimamizi kuanza!HII itaharibu zoezi zima
Kwaio wasimamizi NECTA itawajua wote na Accounts zao? Pambaneni na Mwajiri wenu mpate haki yenu ila eti NECTA iwalipe direct sioni kama inawezekana maana wasimamizi hubadilika kila mara
 
Kwaio wasimamizi NECTA itawajua wote na Accounts zao? Pambaneni na Mwajiri wenu mpate haki yenu ila eti NECTA iwalipe direct sioni kama inawezekana maana wasimamizi hubadilika kila mara
Waajiri watume majina Mwezi MMOJA kabla au wiki mbili kabla ya semina kuanza ili zoezi lianze bila figisu hujaelewa nini Sasa hapo!!?
 
MKOANI TABORA.

Wasimamizi wa mitihani ya NECTA ya Darasa la nne,kidato cha pili na cha nne walioitwa kwenye semina maalumu pale AMUCTA tarehe 15 na pale Themi Hill tarehe 17 wamelalamika kutolipwa posho za semina na nauli kwa kisingizio eti muongozo wa malipo haujatoka kutokea NECTA!!

Wanasemina hao waliotoka vijiji Mbali mbali vya kanda maalumu kijiografia wamesikika wakilalamikia Hatua hiyo iliyowakera Sana kwani wengi wao wanatokea mazingira tata kijiografia na kiusafiri na kujikuta wakitumia nauli kubwa Sana kufika mjini TABORA wamelaani kukopwa Fedha hizo!

Kilichowakera zaidi ni kauli ya katibu tawala msaidizi kulopoka eti kukopwa ni sehemu ya siri ya semina hiyo eti wasiseme seme!

Wanasemina hao wametaka Tabia hiyo ikome na kama hawana uhakika wa kulipa semina hizo ni bora wasiwaite kwenye semina hadi taratibu za malipo zitakapokamilika!!


USHAURI

NECTA MUDA umefika Sasa wa kunitumia teknolojia kulipa wasimamizi, Fedha ziwekwe kwenye akaunti moja kwa moja ili kuepuka sarakasi hizi!

Kwamfano mnaweza agiza majina ya wasimamizi mapema hata mwezi MMOJA kabla mkaratibu malipo yao kabla ya semina kwa KUTUMIA taarifa za kitumishi kuliko kuwaaachia Halmashauri ambapo huzitumia kwa mambo BINAFSI kabla ya malipo!!

Wasimamizi hao wameilaumu Sana kamati ya mitihani ya mkoa kwa uzembe huo,Hadi wengine wachache walisusia kufika kwenye semina ya tarehe 17 na kuombwa kufika tarehe 22 ya mwezi HUU oktoba!


Nimeifikisha kama nilivyoipokea!katibu wa Baraza la mitihani makinika, wasimamizi Wana hasira kabla hata zoezi la usimamizi kuanza!HII itaharibu zoezi zima
Wazo zuri chief
 
Waajiri watume majina Mwezi MMOJA kabla au wiki mbili kabla ya semina kuanza ili zoezi lianze bila figisu hujaelewa nini Sasa hapo!!?
Vipi ukipata udhuru ndani ya huo mwezi? Huoni mtawachosha sana hao NECTA kuanza tena kutekebusha huo mchakato? Na usiasahu hilo zoezi ni la nchi nzima! Siyo Tabora pekee!!

Halafu mwalimu punguza hasira bhana! Yaani umemchukulia jamaa kama ndiye huyo Katibu Tawala vile aliye wakopa hizo fedha zenu!!

Hapo shida ni kwamba NECTA huwa hawatumi posho zenu kwa wakati! Hivyo baadhi ya Halmashauri huamua kujiongeza kuwalipa, then wakitumiwa hizo hela zenu, wana replace.
 
Vipi ukipata udhuru ndani ya huo mwezi? Huoni mtawachosha sana hao NECTA kuanza tena kutekebusha huo mchakato? Na usiasahu hilo zoezi ni la nchi nzima! Siyo Tabora pekee!!

Halafu mwalimu punguza hasira bhana! Yaani umemchukulia jamaa kama ndiye huyo Katibu Tawala vile aliye wakopa hizo fedha zenu!!


Hapo shida ni kwamba NECTA huwa hawatumi posho zenu kwa wakati! Hivyo baadhi ya Halmashauri huamua kujiongeza kuwalipa, then wakitumiwa hizo hela zenu, wana replace.
Kasema fedha zipo Ila mwongozo wa malipo bado.
 
Hizo kazi huwa sipelekwi Mimi ...huwezi kunipotezea muda Bila malipo lazima tuambizane ukweli....halmashauri Nyingi Ni mbovu sana
 
MKOANI TABORA.

Wasimamizi wa mitihani ya NECTA ya Darasa la nne,kidato cha pili na cha nne walioitwa kwenye semina maalumu pale AMUCTA tarehe 15 na pale Themi Hill tarehe 17 wamelalamika kutolipwa posho za semina na nauli kwa kisingizio eti muongozo wa malipo haujatoka kutokea NECTA!!

Wanasemina hao waliotoka vijiji Mbali mbali vya kanda maalumu kijiografia wamesikika wakilalamikia Hatua hiyo iliyowakera Sana kwani wengi wao wanatokea mazingira tata kijiografia na kiusafiri na kujikuta wakitumia nauli kubwa Sana kufika mjini TABORA wamelaani kukopwa Fedha hizo!

Kilichowakera zaidi ni kauli ya katibu tawala msaidizi kulopoka eti kukopwa ni sehemu ya siri ya semina hiyo eti wasiseme seme!

Wanasemina hao wametaka Tabia hiyo ikome na kama hawana uhakika wa kulipa semina hizo ni bora wasiwaite kwenye semina hadi taratibu za malipo zitakapokamilika!!


USHAURI

NECTA MUDA umefika Sasa wa kunitumia teknolojia kulipa wasimamizi, Fedha ziwekwe kwenye akaunti moja kwa moja ili kuepuka sarakasi hizi!

Kwamfano mnaweza agiza majina ya wasimamizi mapema hata mwezi MMOJA kabla mkaratibu malipo yao kabla ya semina kwa KUTUMIA taarifa za kitumishi kuliko kuwaaachia Halmashauri ambapo huzitumia kwa mambo BINAFSI kabla ya malipo!!

Wasimamizi hao wameilaumu Sana kamati ya mitihani ya mkoa kwa uzembe huo,Hadi wengine wachache walisusia kufika kwenye semina ya tarehe 17 na kuombwa kufika tarehe 22 ya mwezi HUU oktoba!


Nimeifikisha kama nilivyoipokea!katibu wa Baraza la mitihani makinika, wasimamizi Wana hasira kabla hata zoezi la usimamizi kuanza!HII itaharibu zoezi zima
Ushaambiwa kukopwa ni sehemu ya Siri ya serikali.. na ushakula kiapo.piga Kazi pesa utaipta. Ni mara Yako ya kwanza kwenda semina za mitihani?? Yaani ulipwe Leo mtihan cjui Wiki ijayo,mingne wa kumi na Moja katikati huko. Ur not siriaz.. kma vipi Temana Nayo(japo najua huwez Kabsa).
 
Ila walimu wanaonewa sana kuna Shangazi yangu ni mwalimu ila alija nyumbani hana nauli ya kurudi anapewa nyumbani na akikuta kitu kizuri anabeba nikasema kama ualimu ndio huu mimi bora niuze mkaa
 
Tunawalaumu NECTA Bure tu, ni kueleweshana tu modality ya malipo na walimu wawe na subira Kwa sbb hata mitihani yenyewe Bado sana.
Jambo la pili, mitihani ni Siri na anayesimamia hapaswi kuwa hadharani katika Kila mfumo kama tunavyotaka.
Uadilifu, subira na haki ni jawabu zuri
 
Semina bila hela? .Wamulikwe hao maafisa elimu.Mi bila hela huniseminishi aisee.
 
Tunawalaumu NECTA Bure tu, ni kueleweshana tu modality ya malipo na walimu wawe na subira Kwa sbb hata mitihani yenyewe Bado sana.
Jambo la pili, mitihani ni Siri na anayesimamia hapaswi kuwa hadharani katika Kila mfumo kama tunavyotaka.
Uadilifu, subira na haki ni jawabu zuri
Kama muda wa mitihani bado Sana kwanini wanawahisha hizo semina?
 
Back
Top Bottom