Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe umeanza kumuelewa lengo lake?...kwamba huyu hawazi matokeo 🤔🤔Kwani unataka waalimu wafanye mtihani wa mwanao?watoto mnawalea vibaya halafu utegemee wafaulu,kwa hyo shule nzima iwe na waalimu vilaza
Kwani anaye faulisha ni mwalimu?Hoja yangu tuhamishe watoto toka shule zenye walimu vilaza wadiofaulisha.
Kumbe na wewe umeanza kumuelewa lengo lake?...kwamba huyu hawazi matokeo 🤔🤔
Samahani kwa kukuuliza...Kazi ya mwalimu ni kufaulisha achemi visingizio walimu.
Iweje St. Framcis, ifaulishe wote point 7 halafu shule unayomiliki wakungute zero zaidi ya nusu ya dararsa.
Acha kuajiri walimu ambao ni cheap labour ambao ni vilaza. Ajiri walimu competent na uwalipe mishahara.
Kufaulisga ni investment. Usitipie mzaxi mzigo wako wa kufaulisha, mzazi haingii darasani na wala shuleni haji.
Huna laboratory utafaulishaje na kwa nini tusikuite mbabaishaji na tuhamishe watotot wetu.
Huna library kwa nini tusikuite shuke ya kibanaishaji.
Shule ysko ina mazingira machafu vyoo vichafu kwa nini tudikuite mabaishaji.
Walimu wako wakibanwa madwali na wanafunzi nadala ya kujibu concept unaishia kuwachapa eti haeana adabu kumbe swali limekugonga.
Shule ina chakuka hafifu kisicho na ladha watoto afya ni mgogoro kwa nini tudikuite shule ya kibabaishaji.
Shule yako walimu hujawalipa miezi miwili na wanagunzi wanajua hivuo kwa nini usiitwe mbabaishaji na kilaza.
Ubanaishaji huu unakomeshwa na matokro ili tukomboe watoto wetu kwa kuziacha shule hizo zijigie kwa kukosa wanagunzi.
Hivi Kuna ushenzi gani pale? Funguka kidogoTemeke secondary wakikosa zero Kuanzia 100+ niite Mbwa nimekaa pale
Bangi Me umalaya KEHivi Kuna ushenzi gani pale? Funguka kidogo
Samahani kwa kukuuliza...
Je uliishawahi kuongoza taasisi yeyote au kupata cheo atacha ubalozi was nyumba kumi??
Wapo Sana,mwanangu niligundua ni member wa JF akiwa form IIII
Inamaana sikuhiz humu kuna wanafunzi wa skondari😵
[emoji1][emoji1][emoji1]form two tayari zero 94,Temeke secondary wakikosa zero Kuanzia 100+ niite Mbwa nimekaa pale
Umalaya wa kuchukuana wanafunzi kwa wanafunzi? au walimu wa kiume na wakike?Bangi Me umalaya KE
Waalimu ICU
Form Two Temeke Secondary resultsTemeke secondary wakikosa zero Kuanzia 100+ niite Mbwa nimekaa pale
Ok wahi kulala shule jumatatu maana umefaulu 🤝🤝Hoja imekuingia hadi unaoshia kuuliza maswali yasoyohusiana na hoja.
Matokeo yanasumbua sana hasa kama ulikuwa mzee wa totoz!Sema tu unaulizia matokeo yako
FTNA is out kazi kwake kama ni QTMatokeo yanasumbua sana hasa kama ulikuwa mzee wa totoz!