Necta mnachelewesha majibu ya darasa la 4 na form two. Tatizo nini?

Necta mnachelewesha majibu ya darasa la 4 na form two. Tatizo nini?

Uwesutanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2019
Posts
1,380
Reaction score
1,686
Tarehe 8/1/2024 shule zinafunguliwa, mpaka leo hii tarehe 05/01/2024 majibu bado mnakwama wapi? Hamjui kuwa kuna maandalizi?

Toeni matokeo mapema ili mzazi ajiandae kama mwanane anarudia anakwenda mbele.

Hata mwanafunzi mwenyewe kuna wakati anahitaji maandalizi pia.
 
Mkuu

Necta inafanya Kazi Kwa taratibu na miongozo tuvute subira.

Mambo yatakapo kaa Sawa kila kitu kitakuwq wazi mtaambiwa lini yanatoka.

Tuvute subira
 
Mbaya zaidi ukiingia kwenye website zao unakuta wameandika
Matokeo ya mtihani NECTA mwaka 2023 lakini ukifunguwa zaidi unakuta Empty.


Ni bora wangetoa ule.upuuzi kuliko kutumalizia bandle zetu.
Mtu unachungulia kila siku labda wameweka matokeo lakini wapi..
 
Yatatoka Tu Kuna Mdau Kasema Katikati Ya January Hii
 
Tarehe 8/1/2024 shule zinafunguliwa, mpaka leo hii tarehe 05/01/2024 majibu bado mnakwama wapi? Hamjui kuwa kuna maandalizi?

Toeni matokeo mapema ili mzazi ajiandae kama mwanane anarudia anakwenda mbele.

Hata mwanafunzi mwenyewe kuna wakati anahitaji maandalizi pia.
We fanya maandalizi mkuu.. mpeleke mtoto shule.
 
Tarehe 8/1/2024 shule zinafunguliwa, mpaka leo hii tarehe 05/01/2024 majibu bado mnakwama wapi? Hamjui kuwa kuna maandalizi?

Toeni matokeo mapema ili mzazi ajiandae kama mwanane anarudia anakwenda mbele.

Hata mwanafunzi mwenyewe kuna wakati anahitaji maandalizi pia.
Mara nyingi matokeo ya form two yanatoka wakati shule zimeshafunguliwa, Kwa hiyo utulie yatatoka
 
Tarehe 8/1/2024 shule zinafunguliwa, mpaka leo hii tarehe 05/01/2024 majibu bado mnakwama wapi? Hamjui kuwa kuna maandalizi?

Toeni matokeo mapema ili mzazi ajiandae kama mwanane anarudia anakwenda mbele.

Hata mwanafunzi mwenyewe kuna wakati anahitaji maandalizi pia.

Yaonesha walikuwa busy na shughuli za krismasi na mwaka mpya
 
Wamechelewa kivipi? mbona uzoefu unaonesha wanatoaga kipindi teyari shule zimefunguliwa
 
Sio kweli. Sasa shule zinafunguliwa kesho kutwa tu hapo. Mwanafunzi ataenda kama wa la 4 au la 3 maana kuna kurudia mzee
Sio kweli kivipi ndugu?. Kwani Kwa uzoefu wako matokeo Huwa yanatokaga kabla ya ufunguzi wa shule mana kwa uzoefu wangu miaka mingi utoka baada ya ufunguzi wa shule. mwanafunzi anajiandaa na nini Sasa wakati yeye kazi yake ni kusoma TU
 
Yaonesha walikuwa busy na shughuli za krismasi na mwaka mpya
SASA HIVI WATUMISHI WA UMMA KARIBU WOTE HAWATAKI KUWA CHINI YA WANANCHI.
KATIBA IMEANDIKWA,
KILA MAMLAKA ITAPATA MADARAKA YAKE KUTOKA KWA WANANCHI.
SASA WALE TUNAO FUATA.MAANDIKO, TUNAPATA TABU SANA.
NA YOTE HAYA YANASABABISHWA NA AJIRA ZA KUDUMU (PERMANENT AND PENSIONABLE) MAANA HAKUNA CHA KUMFANYA MTUMISHI WA UMMA. SANA KUMTAJIRISHA KWA KUMSABABISHIA UHAMISHO.
HATA WATOA MATOKEO YA DARASA LA NNE HAWASHTUKI KWA KUWA NI WA KUDUMU.
HAWAJALI KUNA WALIO FELI WATAKAO KARIRI DARASA LA NNE, WANATOA MAJIBU MEPESI KWENYE SWALI GUMU. HATUJUI KAMA HATA MUNGU BADO ATAWEZA KUIRUDISHA NCHI HII KWENYE MSTARI TENA, KUITOWA KWA WANAO MILIKI.
 
Shule zinafunguliwa matokeo bado hawajatoa NECTA mara nyingi wanafanya vitu bila kujipanga...
 
Back
Top Bottom