Necta mnachelewesha majibu ya darasa la 4 na form two. Tatizo nini?

Necta mnachelewesha majibu ya darasa la 4 na form two. Tatizo nini?

Tarehe 8/1/2024 shule zinafunguliwa, mpaka leo hii tarehe 05/01/2024 majibu bado mnakwama wapi? Hamjui kuwa kuna maandalizi?

Toeni matokeo mapema ili mzazi ajiandae kama mwanane anarudia anakwenda mbele.

Hata mwanafunzi mwenyewe kuna wakati anahitaji maandalizi pia.
Ninavyojua Mimi, mwanafunzi wa darasa la nne anayeingia la tano na wa kidato cha pili anayeingia kidato cha tatu anatakiwa aripoti shuleni siku ya kufunga shule bila kujali kama matokeo yametoka ama la.
 
Vuta subra ,ww muandae mtoto tar 8 aende shule ,Necta ni taasisi imara na yenye umakini wahali yajuu
 
Tarehe 8/1/2024 shule zinafunguliwa, mpaka leo hii tarehe 05/01/2024 majibu bado mnakwama wapi? Hamjui kuwa kuna maandalizi?

Toeni matokeo mapema ili mzazi ajiandae kama mwanane anarudia anakwenda mbele.

Hata mwanafunzi mwenyewe kuna wakati anahitaji maandalizi pia.
Kuna shule zinatumia hiyo nafasi ya kuwahi matokeo kufukuza wanafunzi waliopata below av ya 50
 
Back
Top Bottom