Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ninavyojua Mimi, mwanafunzi wa darasa la nne anayeingia la tano na wa kidato cha pili anayeingia kidato cha tatu anatakiwa aripoti shuleni siku ya kufunga shule bila kujali kama matokeo yametoka ama la.Tarehe 8/1/2024 shule zinafunguliwa, mpaka leo hii tarehe 05/01/2024 majibu bado mnakwama wapi? Hamjui kuwa kuna maandalizi?
Toeni matokeo mapema ili mzazi ajiandae kama mwanane anarudia anakwenda mbele.
Hata mwanafunzi mwenyewe kuna wakati anahitaji maandalizi pia.