BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
Wizara ya elimu imekua inasisitiza kuwa mitihani ya siku hizi inapima uelewa zaidi kuliko kukariri.
Na necta nao wakitoa matokeo watoto wamefaulu na division 1 za hatari kuliko zamani.
Sasa kama hawa watoto wamepimwa uelewa na wamefaulu kwa 1 za 7 na 1 za 3 za kutosha ina maaana wanajua thermodynamics, mechancs, anatomy, organic chemistry, electronics, calculus, algebra n.k
Kama hawa watoto wanaelewa haya mambo kwa upana mkubwa tofauti na sisi kizazi cha mchiki down kwanini maendeleo yetu kwenye science ni madogo mno?
Vifaa pamoja na taaluma zote za kisayansi tuna import kutoka nje, Je elimu yetu ya sayansi haina maana na tuache kuwasukuma watoto wenye akili kwenda huko au shida nini?
Na necta nao wakitoa matokeo watoto wamefaulu na division 1 za hatari kuliko zamani.
Sasa kama hawa watoto wamepimwa uelewa na wamefaulu kwa 1 za 7 na 1 za 3 za kutosha ina maaana wanajua thermodynamics, mechancs, anatomy, organic chemistry, electronics, calculus, algebra n.k
Kama hawa watoto wanaelewa haya mambo kwa upana mkubwa tofauti na sisi kizazi cha mchiki down kwanini maendeleo yetu kwenye science ni madogo mno?
Vifaa pamoja na taaluma zote za kisayansi tuna import kutoka nje, Je elimu yetu ya sayansi haina maana na tuache kuwasukuma watoto wenye akili kwenda huko au shida nini?