Kiufupi matokeo ya darasa la nne na ya form two hayana umuhimu tena wa kuwekwa mapema.
Hii ni kutokana na wanafunzi wengi wakurudia kugoma kwenda shule na wazazi kuto kufanya maandalizi ya watoto wao waliofeli ambao wanapaswa kurudia darasa.
Hivyo basi muandae tu mtoto na mwaka wa masomo wa 2025/2026 matokea atayapata akiwa darasani baada ya shule kufunguliwa.
Asante kwa kusoma ujumbe wangu🙏🙏🙏🙏