ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,767
- 6,575
kweli,km necta ni mkweli,basi waandishi ni makanjanja. Ilihitaji dk kama kumi tu na resources kidogo,kufanya research ya baadhi ya mambo.mfano kujua km mwanafunzi Y amewekewa matokeo au laa!,ni swala la pale news room kuconfirm kwenye mtandao. Pia mwandishi alipashwa kuwasikiliza na upande wa pili,yaani necta wao wana data gani! Kweli hapa wameingizwa cha kike!
mkuu ungekuwa unajua waandishi walio wengi bongo ni ushuzii usingepoteza muda wako hata kutoa maoni yako yaani ukishawapa hela tu wataandika tofauti na mawazo ya wengine..
Ref: kesi ya eddy macha na gazeti la mwananchi
