NECTA yatangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili na kidato cha nne 2021

NECTA yatangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili na kidato cha nne 2021

Duh,ngoja nisubirie huo muda,inamuhusu mwanangu,sijui atakuwa kapenya...!
 
Baraza la Mitihani la Tanzania leo terehe 15/01/2022 linatarajia kutangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne, Kidato cha Pili na Mtihani wa Kidato cha Nne 2021. Unaweza kutazama tukio hilo live kupitia youtube channel ya NECTA (Nectaonline) kuanzia Saa 4:00 asubuhi. Source FB PAGE YA NECTA
 
Baraza la Mitihani la Tanzania leo terehe 15/01/2022 linatarajia kutangaza Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne, Kidato cha Pili na Mtihani wa Kidato cha Nne 2022. Unaweza kutazama tukio hilo live kupitia youtube channel ya NECTA (Nectaonline) kuanzia Saa 4:00 asubuhi.
mbona tangazo hili halipo kwenye official website yao?
 
Watajua wenyew waliofanya paper

Mim naendelea kusubir salary yangu ya January 2022 kwa iman kubwa zaid ya kumngoja Yesu
 
Baraza la Mitihani la Tanzania leo terehe 15/01/2022 linatarajia kutangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne, Kidato cha Pili na Mtihani wa Kidato cha Nne 2021. Unaweza kutazama tukio hilo live kupitia youtube channel ya NECTA (Nectaonline) kuanzia Saa 4:00 asubuhi. Source FB PAGE YA NECTA
mbona hawatangazi na saa 4 ndo hii
 
Kama una changamoto Yakuona Matokeo weka namba, Tukuangalizie.
 
Shule kumi bora…

BA8ADC3B-12A3-4B04-B0AE-463950CF1C3A.jpeg
 
St. Fransis wametoa wanafunzi bora 7 kitaifa. Kutoka serikali ni mmoja tu wa Ilboru
 
Back
Top Bottom