Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Asante Kwa Taarifa Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PamojaAsante Kwa Taarifa Mkuu.
Ngoja tusubiri Mkuu [emoji119][emoji119]Weekend inahusiana VP na kutangaza matokeo
mbona tangazo hili halipo kwenye official website yao?Baraza la Mitihani la Tanzania leo terehe 15/01/2022 linatarajia kutangaza Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne, Kidato cha Pili na Mtihani wa Kidato cha Nne 2022. Unaweza kutazama tukio hilo live kupitia youtube channel ya NECTA (Nectaonline) kuanzia Saa 4:00 asubuhi.
Official page yao ya Facebook lipo ambayo ni verifiedmbona tangazo hili halipo kwenye official website yao?
mbona hawatangazi na saa 4 ndo hiiBaraza la Mitihani la Tanzania leo terehe 15/01/2022 linatarajia kutangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne, Kidato cha Pili na Mtihani wa Kidato cha Nne 2021. Unaweza kutazama tukio hilo live kupitia youtube channel ya NECTA (Nectaonline) kuanzia Saa 4:00 asubuhi. Source FB PAGE YA NECTA
Hao wadada huwa wanaongoza sana mwaka huu ndio wametolewa rasmi kwenye namba moja…St. Fransis wametoa wanafunzi bora 7 kitaifa. Kutoka serikali ni mmoja tu wa Ilboru