Chief_mataka
Member
- Jan 27, 2022
- 97
- 95
Watahiniwa 93,136 (98.97%) wamefaulu Mitihani yao, ikielezwa Wasichana ni 40,907 na Wavulana ni 52,229. Aidha, Baraza la Mitihani (NECTA) limesema jumla ya Watahiniwa 83,877 (99.24%) wamefaulu katika Daraja 1 hadi 3
Ufaulu katika Masomo ya Historia, Kiingereza, Kifaransa, Kiarabu, Physics, Chemistry, Biology, Kilimo, Advanced Mathematics, Economics, Accountancy na Food/HumanNutrition umepanda ikilinganishwa na mwaka 2021
Hata hivyo, NECTA imesema Ufaulu wa Masomo mengine yakiwemo General Studies, Geography na Basic Applied Mathematics (BAM) umeshuka
Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009
SHULE 10 BORA
10. Ziba, Tabora - Serikali
9. Mkindi, Tanga - Serikali
8. Mzumbe, Morogoro - Serikali
7. Nyaishozi, Kagera - Binafsi
6. Dareda, Manyara - Serikali
5. Ahmes, Pwani - binafsi
4. Tabora Girls - Serikali
3. Tabora Boys - Serikali
2. Kisimiri, Arusha - Serikali
1. Kemebos, Kagera - Binafsi
10 BORA KIDATO CHA 6 MASOMO YA SAYANSI
1: Catherine Mwakasege,- St.Mary's Mazinde Juu
2: Lucy Magashi - St.Mary's Mazinde Juu
3: Muhewa Kamando - Tabora Boys
4: Minael Mgonja - St.Mary's Mazinde Juu
5: Norah Eliaza - St.Mary's Mazinde Juu
6: Jenifer Chuwa- St.Mary's Mazinde Juu
7: Pauline Mabamba- St.Mary's Mazinde Juu
8: Rachel Joachim- St.Mary's Mazinde Juu
9: Kulwa Elias - Tabora Boys
10: Oscar Eliakim- Tabora Boys
Form Six 2022 Kachungulie Matokeo Yako.
Ufaulu katika Masomo ya Historia, Kiingereza, Kifaransa, Kiarabu, Physics, Chemistry, Biology, Kilimo, Advanced Mathematics, Economics, Accountancy na Food/HumanNutrition umepanda ikilinganishwa na mwaka 2021
Hata hivyo, NECTA imesema Ufaulu wa Masomo mengine yakiwemo General Studies, Geography na Basic Applied Mathematics (BAM) umeshuka
Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2009
- NECTA yatangaza matokeo ya Kidato cha 6 - 2021. Ufaulu waongezeka kwa 0.19%
- Matokeo Kidato cha Sita 2009
SHULE 10 BORA
10. Ziba, Tabora - Serikali
9. Mkindi, Tanga - Serikali
8. Mzumbe, Morogoro - Serikali
7. Nyaishozi, Kagera - Binafsi
6. Dareda, Manyara - Serikali
5. Ahmes, Pwani - binafsi
4. Tabora Girls - Serikali
3. Tabora Boys - Serikali
2. Kisimiri, Arusha - Serikali
1. Kemebos, Kagera - Binafsi
10 BORA KIDATO CHA 6 MASOMO YA SAYANSI
1: Catherine Mwakasege,- St.Mary's Mazinde Juu
2: Lucy Magashi - St.Mary's Mazinde Juu
3: Muhewa Kamando - Tabora Boys
4: Minael Mgonja - St.Mary's Mazinde Juu
5: Norah Eliaza - St.Mary's Mazinde Juu
6: Jenifer Chuwa- St.Mary's Mazinde Juu
7: Pauline Mabamba- St.Mary's Mazinde Juu
8: Rachel Joachim- St.Mary's Mazinde Juu
9: Kulwa Elias - Tabora Boys
10: Oscar Eliakim- Tabora Boys
Form Six 2022 Kachungulie Matokeo Yako.