mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Sababu ni wewe.Daah demu wangu kazungurusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ni wewe.Daah demu wangu kazungurusha
Mkuu hayo uliyosema ni kweli kabisa, ila nakuhakikishia kuwa hizo factors kwa elimu ya Tanzania hazisaidii chochote au hazisaidii kwa kiwango kikubwaUsomaji umekuwa rahisi zaidi siku hizi siyo kama zamani.
Material, walimu wakutosha
Ni akili zake mwenyeweSababu ni wewe.
Wabongo kwa kupapatikia maraisi bhnRais Samia Suluhu amekuwa ni kioo kwa wasichana wengi ambao hapo awali walikua hawaamini katika kuongoza kwenye nyanja yoyote.
Baada ya Rais Samia kuwa Rais na kufanya mageuzi makubwa kwenye sekta mbalimbali, imewafanya wanawake nchini kuamini kwamba kila kitu kinawekezana endapo ukifanya kazi kwa bidii.
Wakati serikali ikihamasisha wanafunzi kusoma masomo ya sayansi, katika mchepuo huo wasichana wameibuka kidedea kwa kuchukua nafasi 7 kati ya 10 bora kitaifa.
Wanawake wakiwezeshwa wanaweza, Kazi iendelee
MPE pole,mwambie aache kudandia treni mbele,Ni akili zake mwenyewe
Kunguru yupi tenaMPE pole,mwambie aache kudandia treni mbele,
akutuliza akili kichwani mambo mengi,haya sasa kashafika round abaut azunguke sasa na kunguru yupo kati.
Mambo yamebadirika,siku hizi Kuna vitabu maalum ambavyo NECTA huvitumia kutunga mitihani.Hivyo mwanafinzi akinyoka na vitabu anatoboa.Siku hizi hata mm nashangaa nyuma PCB na PCM in ilikuwa mtu kupata Daraja la I & II ni genius lkn siku hizi wanaoga division I & II kama maji
Kunguru mwenye miguu miwili na mikono miwili.Kunguru yupi tena
Sawa mchumbaKunguru mwenye miguu miwili na mikono miwili.
Kapiga 0 combi gani mkuuDaah demu wangu kazungurusha