Kwani wanaosoma arts hawajui ni nini walifuata shuleni mkuu?
 
Huna Akili....
Selfish and Self Centered..
🚮🚮🚮

Baki na upumbavu wako
 
Kila mmoja aangalie matokeo ya shule St. Francis girls.
Wote wana division one ya point 7 *****
 
Hivi kitendo cha serikali kudai kuwa eti wanafunzi waliopata divisheni foo wamefaulu, inatuchukuliaje sisi wananchi wakati uki score divishen foo hata cheti hupati?
 
Kuna shule hapo mtaani huwa inasifika kuwa wengi wa wanafunzi wake hutumia mibange, imezungusha haswa! 😥
Shule gani hiyo mkuu? Sio Kinyerezi Secondary School? Maana ile ni kama shule ya mazombie!
 
Tatizo ni kwamba shule za St huwa wana spoonfeed wanafunzi wao. Wanafunzi hawakuzoea kujitafutia wenyewe. So ukimleta mtoto wa aina hiyo kwenye shule ya A level ya Kayumba lazima atage (0). Ni sawa na kumchukua kuku broiler umchanganye na kuku wa kiswahili. Atakufa tu kwa kuwa hajazoea hustles.

Njia nzuri ya kudeal na mwanafunzi wa St, mwache asome huko huko hadi A level. Akifika UD atakuwa anajitambua, atapambana mwenyewe.
 
Trust me wengi wamesoma huko as Center of exam lkn sio sehemu ya kukusaidia kufaulu wengi hata hawaendi wanashinda tuition za mwenge,mchikichini na huko mitaani pia,kayumba ni kwenda kufanya mock exams/necta only
Kwa mzazi anayejitambua, hili ndilo jambo analotakiwa kulizingatia kama hataki mtoto wake atage kwenye mtihani wa mwisho.
 
Kwani wanaosoma arts hawajui ni nini walifuata shuleni mkuu?
Wengi wao ni wasindikizaji, fungua matokeo ya Shule yoyote ya Kata ambayo Ina masomo ya Sayansi na Arts, au yote(Sayansi, biashara na Arts) Kisha fuatilia ni wepi wamefaulu faulu na wepi wameongoza KWA ku-fail
 
Necta website ina shida gani wakuu, pamoja na webisite ya wizara ya elimu zinagoma kufunguka kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…