NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024. Yatazame hapa!
We need to see some invention from those schools that can impact the globe.
Hivi Kuna mdada yeyote st Francis akafanya wonders kweli jamani, mie naweza nikafundisha akawa innovative ama akafaulu ili nikazidi kuaminika na wateja wangu wazidi kuniletea pesa. Jamani pesa inatafutwa kwa namna yoyote Ile hata kuua unaua sembuse ku maintaining best performance kweli nizidi kuwa na wateja lukuki yaani wawe wananigombania, yaani ni biashara as usual, otherwise show us st Francis wamefanya nini la ajabu la ku reflect matokeo yake, badala yake tunaona kayumba waki make ndege ama helicopter
kayumba yupi katengeneza ndege?
 
We need to see some invention from those schools that can impact the globe.
Hivi Kuna mdada yeyote st Francis akafanya wonders kweli jamani, mie naweza nikafundisha akawa innovative ama akafaulu ili nikazidi kuaminika na wateja wangu wazidi kuniletea pesa. Jamani pesa inatafutwa kwa namna yoyote Ile hata kuua unaua sembuse ku maintaining best performance kweli nizidi kuwa na wateja lukuki yaani wawe wananigombania, yaani ni biashara as usual, otherwise show us st Francis wamefanya nini la ajabu la ku reflect matokeo yake, badala yake tunaona kayumba waki make ndege ama helicopter
Kukaririshwa tu hamna kitu kichwani! Hizo GPA mbona wakienda Chuo hatuzioni?
 
Hizi takwimu zi walishafuta huu utaratibu wa kutaja shule ya kwanza sijui mkoa wa kwanza kwamba zitabaki kama taarifa za ndani ama wamebadilika tena?
Hizo sio taarifa rasmi za NECTA

Ila kiuhalisia ndio hivo.
 
Wanangu wa Mzimuni sec na Salma Kikwete wako namba ngapi? Nadhani St Francis wapewe NECTA kama zawadi maana hiyo namba moja wameimiliki.
 
Back
Top Bottom