NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024. Yatazame hapa!
Sisi tunaamini kwenye hatma baada ya makaratasi na sio kiingereza kukiongea coz kiingereza sio hela Wala pesa ya kununulia chai!!

We nenda kariakoo ongea kiingereza kama utapata Hela ya kula!!
Ondoka kwenye utumwa mkuu wa makaratasi hebu Rudi pale bustani ya Eden "itunzeni na kuipalilia bustani"

Leo muuza mchicha ana tamba mbele ya Graduate aliejazwa ujinga wa theory kichwani coz amerudi Eden Na kulifuata agizo la Mungu kuitunza na kuipalilia Bustani na kitaa anatamba sana!
Lakini huyo ambaye hajui kiingereza na kafanikiwa kariokoo huwezi mkuta anakipuuza au anasomesha mwanae shule ya hovyo kwasababu anajua umhimu wa kile ambacho wazazi wake walishindwa kumpa Kwa sababu mbalimbali hawataki watoto wao wakose
 
Jina la kayumba lilitokana na matangazo ya video ambayo lilichezwa na wanafunzi wa shule za mwanafunzi wa msingi tu
Hapana lilikuwa linahusu shule ya sekondari kama unakumbuka moja ya swali lilikuwa linahusu global warming
 
SHULE ZILIZOONGOZA

  1. S0239 ST. FRANCIS GIRLS' SECONDARY SCHOOL MBEYA
  2. S2325 CANOSSA SECONDARY SCHOOL DAR ES SALAAM
  3. S1601 TENGERU BOYS' SECONDARY SCHOOL ARUSHA
  4. S0119 KIBAHA SECONDARY SCHOOL PWANI
  5. S0295 PRECIOUS BLOOD SECONDARY SCHOOL ARUSHA
  6. S6003 AHAVA SECONDARY SCHOOL KIGOMA
  7. S0189 FEZA BOYS' SECONDARY SCHOOL DAR ES SALAAM
  8. S5555 KEMEBOS SECONDARY SCHOOL KAGERA
  9. S3881 AHMES SECONDARY SCHOOL PWANI
  10. S0268 BETHEL SABS GIRLS' SECONDARY SCHOOL IRINGA
 
SHULE ZILIZOONGOZA

  1. 🔥 S0239 ST. FRANCIS GIRLS' SECONDARY SCHOOL MBEYA 🔥
  2. S2325 CANOSSA SECONDARY SCHOOL DAR ES SALAAM
  3. S1601 TENGERU BOYS' SECONDARY SCHOOL ARUSHA
  4. S0119 KIBAHA SECONDARY SCHOOL PWANI
  5. S0295 PRECIOUS BLOOD SECONDARY SCHOOL ARUSHA
  6. S6003 AHAVA SECONDARY SCHOOL KIGOMA
  7. S0189 FEZA BOYS' SECONDARY SCHOOL DAR ES SALAAM
  8. S5555 KEMEBOS SECONDARY SCHOOL KAGERA
  9. S3881 AHMES SECONDARY SCHOOL PWANI
  10. S0268 BETHEL SABS GIRLS' SECONDARY SCHOOL IRINGA
Hiyo list umejipangia mwenyewe
 
SHULE ZILIZOONGOZA

  1. 🔥 S0239 ST. FRANCIS GIRLS' SECONDARY SCHOOL MBEYA 🔥
  2. S2325 CANOSSA SECONDARY SCHOOL DAR ES SALAAM
  3. S1601 TENGERU BOYS' SECONDARY SCHOOL ARUSHA
  4. S0119 KIBAHA SECONDARY SCHOOL PWANI
  5. S0295 PRECIOUS BLOOD SECONDARY SCHOOL ARUSHA
  6. S6003 AHAVA SECONDARY SCHOOL KIGOMA
  7. S0189 FEZA BOYS' SECONDARY SCHOOL DAR ES SALAAM
  8. S5555 KEMEBOS SECONDARY SCHOOL KAGERA
  9. S3881 AHMES SECONDARY SCHOOL PWANI
  10. S0268 BETHEL SABS GIRLS' SECONDARY SCHOOL IRINGA
Al Haramain wapo vizuri
 
We need to see some invention from those schools that can impact the globe.
Hivi Kuna mdada yeyote st Francis akafanya wonders kweli jamani, mie naweza nikafundisha akawa innovative ama akafaulu ili nikazidi kuaminika na wateja wangu wazidi kuniletea pesa. Jamani pesa inatafutwa kwa namna yoyote Ile hata kuua unaua sembuse ku maintaining best performance kweli nizidi kuwa na wateja lukuki yaani wawe wananigombania, yaani ni biashara as usual, otherwise show us st Francis wamefanya nini la ajabu la ku reflect matokeo yake, badala yake tunaona kayumba waki make ndege ama helicopter
 
SHULE ZILIZOONGOZA

  1. 🔥 S0239 ST. FRANCIS GIRLS' SECONDARY SCHOOL MBEYA 🔥
  2. S2325 CANOSSA SECONDARY SCHOOL DAR ES SALAAM
  3. S1601 TENGERU BOYS' SECONDARY SCHOOL ARUSHA
  4. S0119 KIBAHA SECONDARY SCHOOL PWANI
  5. S0295 PRECIOUS BLOOD SECONDARY SCHOOL ARUSHA
  6. S6003 AHAVA SECONDARY SCHOOL KIGOMA
  7. S0189 FEZA BOYS' SECONDARY SCHOOL DAR ES SALAAM
  8. S5555 KEMEBOS SECONDARY SCHOOL KAGERA
  9. S3881 AHMES SECONDARY SCHOOL PWANI
  10. S0268 BETHEL SABS GIRLS' SECONDARY SCHOOL IRINGA
Shule Dar zimeongezeka kwa kasi sana sasa zitafika 500 siku sio nyingi.
 
Back
Top Bottom