ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Mambo ya aibu sanaa!Kama wamefanya kuwafaulisha sababu ya siasa kampeni basi wanapeleka zero form six
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya aibu sanaa!Kama wamefanya kuwafaulisha sababu ya siasa kampeni basi wanapeleka zero form six
Jifariji.Sisi tunaamini kwenye hatma baada ya makaratasi na sio kiingereza kukiongea coz kiingereza sio hela Wala pesa ya kununulia chai!!
We nenda kariakoo ongea kiingereza kama utapata Hela ya kula!!
Ondoka kwenye utumwa mkuu wa makaratasi hebu Rudi pale bustani ya Eden "itunzeni na kuipalilia bustani"
Leo muuza mchicha ana tamba mbele ya Graduate aliejazwa ujinga wa theory kichwani coz amerudi Eden Na kulifuata agizo la Mungu kuitunza na kuipalilia Bustani na kitaa anatamba sana!
kuna vijana wamezingua wamepata 1 ya 10
Toka wameacha kupanga wanafunzi walioongoza,shule na Mikoa zoezi la kutangaza limekosa vibes ,binafsi Huwa sifuatilii tenaDar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika kuanzia Novemba 11 hadi Novemba 29, 2024.
Matokeo hayo yametolewa rasmi leo, Alhamisi, Januari 23, 2025, na Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Said Mohammed.
Wanafunzi pamoja na wazazi sasa wanaweza kuyaona matokeo hayo kupitia tovuti rasmi ya NECTA.
Bonyeza hapa kutazama matokeo ya kidato cha nne mwaka 2024/2025
Hongera kwa waliofanikiwa, na kwa wale ambao hawakufikia malengo, bado kuna nafasi ya kujifunza na kufanikiwa zaidi!
===================================================
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limezuia matokeo ya wanafunzi 459 wa kidato cha nne mwaka 2024 kwa sababu mbalimbali zilizosababisha wasifanye mitihani yote.
Hata hivyo wanafunzi hao wamepewa fursa ya kurudia mitihani ya kidato cha nne mwaka huu 2025.
Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Dk Said Mohamed, akitangaza matokeo ya kidato cha nne leo Alhamisi Januari 23, 2025 amesema wanafunzi hao walipata matatizo ya kiafya na kushindwa kufanya mitihani ya kidato cha nne kwa masomo yote au idadi kubwa ya masomo.
Aidha, Baraza la Mitihani limetangaza kufuta matokeo ya wanafunzi 67 wakiwemo watano walioandika matusi kwenye mitihani.
Dk Said Mohammed amesema wanafunzi hao wameandika matusi ni tatizo la maadili.
“Maadili, matusi hayakubaliki chumba cha mtiani na kila mahali, mwaka huu wametokea wanafunzi watano wameandika matusi,”
Nani kakwambia kayumba ni msingi tukayumba sio sekondari, ni shule za msingi
Spoon feedingKi-ukweli sizikandii kabisa EMS hata kidogo, nazikubali kwa asilimia kubwa sanaa. Ila nilipofika chuo ndo nilipokutana na maajabu waliokuwa wanakimbiza almost walikuwa wametoka St Kayumba, wengi wa waliotoka Private walikuwa wababaishaji. Sass sijui nini hutokea hapo katikati
Ni kheri amwambie mapema ili kama ni kusikitika asikitike hiyo kitu imtoke kabla ya mawio.Mwambie tu Ila Kama amebashite mwambie kuwa mtandao unasumbua Sana.
Ni huzuni sanaaa, huzuni kiasi au huzuni kawaida?Nawaza hapa naanzaje kumwambia huyu ndugu yangu matokeo ya kijana wake..
Maana alikua anamsifia Ila muda huu kanambia pia kanipa namba za shule nimwamgalizie..
Nafikilia naanzaje kumweleza haya matokeo ya first born wake 😔😔😔
Kwann Mkuu?Acha kujizima data kimakusudi.
Kama Zero zikienda form six halafu wao wakaendelea kubaki madarakani Wana hasara gani?Kama wamefanya kuwafaulisha sababu ya siasa kampeni basi wanapeleka zero form six
Tokea zamani dv 4 inaanzia D mbili
Kwa mara nyingine Wasichana wamewapelekea moto Vijana wa Kiume,huko tuendako itakuwa kawaida women empowerment imefaulu 👇👇Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika kuanzia Novemba 11 hadi Novemba 29, 2024.
Matokeo hayo yametolewa rasmi leo, Alhamisi, Januari 23, 2025, na Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Said Mohammed.
Wanafunzi pamoja na wazazi sasa wanaweza kuyaona matokeo hayo kupitia tovuti rasmi ya NECTA.
Bonyeza hapa kutazama matokeo ya kidato cha nne mwaka 2024/2025
Hongera kwa waliofanikiwa, na kwa wale ambao hawakufikia malengo, bado kuna nafasi ya kujifunza na kufanikiwa zaidi!
===================================================
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limezuia matokeo ya wanafunzi 459 wa kidato cha nne mwaka 2024 kwa sababu mbalimbali zilizosababisha wasifanye mitihani yote.
Hata hivyo wanafunzi hao wamepewa fursa ya kurudia mitihani ya kidato cha nne mwaka huu 2025.
Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Dk Said Mohamed, akitangaza matokeo ya kidato cha nne leo Alhamisi Januari 23, 2025 amesema wanafunzi hao walipata matatizo ya kiafya na kushindwa kufanya mitihani ya kidato cha nne kwa masomo yote au idadi kubwa ya masomo.
Aidha, Baraza la Mitihani limetangaza kufuta matokeo ya wanafunzi 67 wakiwemo watano walioandika matusi kwenye mitihani.
Dk Said Mohammed amesema wanafunzi hao wameandika matusi ni tatizo la maadili.
“Maadili, matusi hayakubaliki chumba cha mtiani na kila mahali, mwaka huu wametokea wanafunzi watano wameandika matusi,”
Hapana ni First born wa shemeji yangu..Mtoto wako hajafanya vizuri?
Nani kakwambia kayumba ni msingi tu
Huzuni to the maximum kwa shemeji yangu na first born wake..Ni huzuni sanaaa, huzuni kiasi au huzuni kawaida?
Tokea zamani dv 4 inaanzia D mbili
Dactari Tena mwandamizi senior. Mbona umeniuliza ivyo ?Wewe ni daktari wa binadamu?