NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2024. Yatazame hapa!
Wapenzi watazamaji wa ukurasa wa NECTA Tiyali muda mchache kwa watu kupata mchecheto kundi la kwanza ni

1.Waalimu hasa wa private😂
2.Wazazi hawa wana hofu kuliko watoto waliofanya
3.Wanafunzi wenyewe wengine hawana habari na wanayajua matokeo yao kabisa hata hawajichoshi😂

Mzazi unayesoma ujumbe huu baada ya matokeo usimkatie tamaa kijana wako aliyepata Division four bali mtie moyo ya kwamba anaweza kujaribu nafasi nyingine katika vyuo vya ufundi

Ewe kijana uliyefanya mtihani bila shaka unayafahamu matokeo yako mpaka sasa lakini tu hujui ni Division four ya ngapi utapata,Basi nawewe usikate tamaa lipo tumaini jipya hata baada ya matokeo

Ukiona unatatizika na matokeo na hujui ufanye nini
Hujui usomee nini basi ondoa shaka

Nitumie ujumbe tusaidizane

Kwa pamoja tunajenga taifa letu
Vijana ni nguvu kazi
Vijana ni taifa la Kesho tuwalinde

Tusiwakatishe tamaa wanapojikwaa tuwafundishe kwani umri wao ni wakujifunza
 
Ki-ukweli sizikandii kabisa EMS hata kidogo, nazikubali kwa asilimia kubwa sanaa. Ila nilipofika chuo ndo nilipokutana na maajabu waliokuwa wanakimbiza almost walikuwa wametoka St Kayumba, wengi wa waliotoka Private walikuwa wababaishaji. Sass sijui nini hutokea hapo katikati
Acha kujizima data kimakusudi.
 
Nawaza hapa naanzaje kumwambia huyu ndugu yangu matokeo ya kijana wake..

Maana alikua anamsifia Ila muda huu kanambia pia kanipa namba za shule nimwamgalizie..

Nafikilia naanzaje kumweleza haya matokeo ya first born wake 😔😔😔
 
Eti wakuu ikiwa baba sikuwa na akili Kuna uwezekano na mtoto wangu akawa hana akili ?
Naomba mnijibu haraka maana nahisi naweza kwenda jela leo
Simba hawezi zaa Chui. Kama huna akili tegemea mtoto kutokuwa na akili. Anaweza kuwa na akili endapo mama atakuwa na akili. Ila kwa kuzingatia ule msemo kuwa "Utapewa wa kufanana naye" ina maana mkeo ni kama wewe.
 
Nawaza hapa naanzaje kumwambia huyu ndugu yangu matokeo ya kijana wake..

Maana alikua anamsifia Ila muda huu kanambia pia kanipa namba za shule nimwamgalizie..

Nafikilia naanzaje kumweleza haya matokeo ya first born wake 😔😔😔
Mwambie tu Ila Kama amebashite mwambie kuwa mtandao unasumbua Sana.
 
Simba hawezi zaa Chui. Kama huna akili tegemea mtoto kutokuwa na akili. Anaweza kuwa na akili endapo mama atakuwa na akili. Ila kwa kuzingatia ule msemo kuwa "Utapewa wa kufanana naye" ina maana mkeo ni kama wewe.
Ila Mimi ni ndugu yako hata Kama unanishushua hivi ,hili la dogo kuzungusha sio aibu yangu pekee yangu hata kwako ndugu
 
Back
Top Bottom