ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
NdioNimeuliza kama ufaulu 92% wanajumuisha na wenye D mbili tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioNimeuliza kama ufaulu 92% wanajumuisha na wenye D mbili tu
Kwahiyo mkuu unatoka ukoo wa wasomi hongera Sana.Hapana ni First born wa shemeji yangu..
Kuhusu Mimi kwenye ukoo wetu hususani baba zangu wotee...ukoo wa mama wotee..
Pia kwenye tumbo letu katika watoto wa Tano mama alio wazaa hakuna AMBAE amewai ku fail kielimu na wote Wana degree na wote Wana Maisha yao.......last born wetu ndio kamaliza udsm hapo last year so kuhusu elimu hio sekta tupo vizuri
Kwaio Mimi automatically siwezi kuzaa mtoto kilaza 😊😊
Shule za kata zinachosha, ndio maana wanafunzi wanaandika matusi. Serikali izimulike hizi shule kwa jicho la tatu. Hizi shule zimekuwa makaburi ya kuzikia elimu ta watoto wa wakulima.Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika kuanzia Novemba 11 hadi Novemba 29, 2024.
Matokeo hayo yametolewa rasmi leo, Alhamisi, Januari 23, 2025, na Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Said Mohammed.
Wanafunzi pamoja na wazazi sasa wanaweza kuyaona matokeo hayo kupitia tovuti rasmi ya NECTA.
Bonyeza hapa kutazama matokeo ya kidato cha nne mwaka 2024/2025
Hongera kwa waliofanikiwa, na kwa wale ambao hawakufikia malengo, bado kuna nafasi ya kujifunza na kufanikiwa zaidi!
===================================================
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limezuia matokeo ya wanafunzi 459 wa kidato cha nne mwaka 2024 kwa sababu mbalimbali zilizosababisha wasifanye mitihani yote.
Hata hivyo wanafunzi hao wamepewa fursa ya kurudia mitihani ya kidato cha nne mwaka huu 2025.
Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Dk Said Mohamed, akitangaza matokeo ya kidato cha nne leo Alhamisi Januari 23, 2025 amesema wanafunzi hao walipata matatizo ya kiafya na kushindwa kufanya mitihani ya kidato cha nne kwa masomo yote au idadi kubwa ya masomo.
Aidha, Baraza la Mitihani limetangaza kufuta matokeo ya wanafunzi 67 wakiwemo watano walioandika matusi kwenye mitihani.
Dk Said Mohammed amesema wanafunzi hao wameandika matusi ni tatizo la maadili.
“Maadili, matusi hayakubaliki chumba cha mtiani na kila mahali, mwaka huu wametokea wanafunzi watano wameandika matusi,”
Nahisi ni ngekewa TU. Sio hata usomi wa kutisha 😊Kwahiyo mkuu unatoka ukoo wa wasomi hongera Sana.
Naunga mkono hoja mastaTanzania hakuna mitihani.
Kuna shule Ina four 400 na zero 150Shule za kata zinafelisha watoto, imagine unakuta shule ina zero 100. Serikali iifanyie kazi hili swala
Powaa your welcome.Nina maswali ila private
Ingekua hivyo basi usingepata 0 form 4Tanzania hakuna mitihani.
Nimeangalia shule zote nilizosoma naona madogo wame jiita Idi.Kuna shule Ina four 400 na zero 150
Ila miaka ya hapa karibuni madogo wanafaulu Sana sio Kama miaka ya 2009 kurudi nyumaa..Nimeangalia shule zote nilizosoma naona madogo wame jiita Idi.
Mwaka ya 2011 mtoto WA j.k alipata 4 ya mwisho, ilkua aibu na matangazo nchi nzima. Kilichofata wakaanza kutoa namba tuNaomba mnipe 7bu why matokeo ya SFNA,PLSE na FTNA hawafichi majina ila CSEE wanaficha wanaweka namba tu za watahiniwa
Iundwe Tume ya Uchaguzi oooh, sorry iundwe Tume ya UchunguziKuna shule Ina four 400 na zero 150
Shule za kata zinachosha, ndio maana wanafunzi wanaandika matusi. Serikali izimulike hizi shule kwa jicho la tatu. Hizi shule zimekuwa makaburi ya kuzikia elimu ta watoto wa wakulima
Tafsiri yake wale wanaochukua masomo ya Sayansi au masomo ya biashara huwa wengi wao wanajitambua nini wamefuata shuleni. Si kwamba kwenye masomo ya Sanaa hawapo, la haha wapo ila ni kwa idadi ndogo sanaa. Na hao wanasoma hayo masomo ya Sayansi au Biashara unakuta ni wale waliotazamia kuingia shule za ufundi, mkoa au wilaya.Shule za kata zinachosha, ndio maana wanafunzi wanaandika matusi. Serikali izimulike hizi shule kwa jicho la tatu. Hizi shule zimekuwa makaburi ya kuzikia elimu ta watoto wa wakulima.
Babangu alikuwa miongoni mwa wanafunzi wa Ilboru walioshiriki saidia fundi kwenye kuujenga uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha mwaka 1976. Babangu mdogo naye kasoma Ilboru. Hizi akili zangu nyingi ni za kurithi.Hapana ni First born wa shemeji yangu..
Kuhusu Mimi kwenye ukoo wetu hususani baba zangu wotee...ukoo wa mama wotee..
Pia kwenye tumbo letu katika watoto wa Tano mama alio wazaa hakuna AMBAE amewai ku fail kielimu na wote Wana degree na wote Wana Maisha yao.......last born wetu ndio kamaliza udsm hapo last year so kuhusu elimu hio sekta tupo vizuri
Kwaio Mimi automatically siwezi kuzaa mtoto kilaza 😊😊
Kweli mkuu maji hufuata mkondo.. trust me.Babangu alikuwa miongoni mwa wanafunzi wa Ilboru walioshiriki saidia fundi kwenye kuujenga uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha mwaka 1976. Babangu mdogo naye kasoma Ilboru. Hizi akili zangu nyingi ni za kurithi.
Mimi sijawahi kufanya huo mtihani wa form 4Ingekua hivyo basi usingepata 0 form 4